Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Tena kwa kasi ya mwendokasi'mwanaume, kiumbe kinachokaribia kutokomea'
Aisee kama tembo wetu!! Inasikitisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena kwa kasi ya mwendokasi'mwanaume, kiumbe kinachokaribia kutokomea'
Aisee kama tembo wetu!! Inasikitisha.
Ndio[emoji1] [emoji23]Hahahaha Kweli kabisaa.... Ila mkuu ulitaka mwanamke aweke avatar kulingana na kiwango chake cha uzuri
No I can't judge abt jina au avatar bt for my research nimeona hiv vitu havirelate na mtu halisi 80% hiv...Hahahaha Kweli kabisaa.... Ila mkuu ulitaka mwanamke aweke avatar kulingana na kiwango chake cha uzuri
😀😀😀😀😀Jf unaweza ukapenda avatar ukafikiria dem atakua chombo kumbee lahaulaa..nilishasemaga sitafuti tena dem jf..maana mara 3 zote vry disappointed, jina zurii avatar nzuriii ila sasa....ngoja niishie hapo
Hahahaaaa" mkuu acha tu sema watsapp imesaidia sanaUnaingia kichwa kichwa unapigwa za uso[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Mwambie tukutane stendi ya ubungo halafu unamthaminisha kwa mbali km mita 200
My beHaina maana heri maujumbe yako uyamwage hapa hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]😀😀😀😀😀
Tutaandamana hadi huko uliko ohooo
Vipi lakini ulivyoongea nao kwenye simu sauti zao! zinamtoa nyoka pangoni, kasuku au kama kinanda[emoji23]Hahahaaaa" mkuu acha tu sema watsapp imesaidia sana
Hahaha mkuu inabdi ujaribu naww kila mtu na bahati yake ase... m niliishia hapo..[emoji23] [emoji23]Vipi lakini ulivyoongea nao kwenye simu sauti zao! zinamtoa nyoka pangoni, kasuku au kama kinanda[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dash!Hahahaaaa" mkuu acha tu sema watsapp imesaidia sana
[emoji28][emoji28]Zamani ilikua ni Private Message
Sahivi ni Public Message
Kwakweli ata mm sijali atajua yy anamuonyesha screenshotKweli kabisaaa!!
tunafunga kwa kuwa watu wengine wapumbavu
Mi ht ukiskrinishot 'unanila shauri yako'
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Shunie[emoji28][emoji28]
Poa mkuu ngoja nitafute sample nitarudi na mrejesho kamili[emoji1] [emoji1] [emoji23]Hahaha mkuu inabdi ujaribu naww kila mtu na bahati yake ase... m niliishia hapo..[emoji23] [emoji23]
Sauti kama kasuku adimu sikuhiz watt wakike wanagigida konyagi unafikir hyo sauti watakua nayo [emoji23]
MweeTena kwa kasi ya mwendokasi
Hahahhh poleJf unaweza ukapenda avatar ukafikiria dem atakua chombo kumbee lahaulaa..nilishasemaga sitafuti tena dem jf..maana mara 3 zote vry disappointed, jina zurii avatar nzuriii ila sasa....ngoja niishie hapo
Hahahahaaa" tuma pichaa " nipe jina lako la IG au FB ndio dawa yenu sikuhz, maana hata tuma picha haisaidii sana kuna watu wanapicha zao special hzo wakiambiwa tuma pichaa..lazma zianze hzo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dash!
mababoon tunakomaaa
Kakake mamboMwee
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]geni onea huruma mbavu zangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]aiseeehh!pole sana!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewee!unajua we wajua wachat na cleopatraa!!
kumbe kina sie mababoon mwisho wa Siku ndo mnatuskrini shot!