Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mtu alitung'ang'ania eti hizi I'd mbili zinamilikiwa na mtu mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu huwa sijui ni kwanini kuna watu huwa wanafanana uandishi na swaggs na baadhi huamini ni mtu mmoja, kumbe walaa'..!

Wewe na Joanah mna ufanano ka kaumafia flani, na kujiamini kusiko kawaida na yale majibu yenu flani hivii ya kuwekwa quarantine.!! 😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Malizia ikawaje sasa?
Carleen hebu futa hilo neno "mdogo angu"
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haki nimecheka eti majibu ya kuwekwa quarantine [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hahahahh eti majibu ya kuwekwa quarantine!!
 
Msg zao

Hi cute

Hello Mamito

Hi Cham


Hello usingiz wangu

Yaan msg zako ukicomment unaonekana una ulimi mtamu

Nk. Ukiwaandikia maneno matamu matamu wanajiona wako sijui sayar gani

Sasa mm na wew hatujawah kuonana kwann nianze kukupa sifa zisizo????


kilicho akilini kitumie
 
Broo ukiona kimya ujue sio wadada,wanatumia ID za kike kumbe ni waume.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Indeed, inapendeza kama mmewahi kukutana kwenye mijadala mbali mbali. Hata ukienda mp, mhusika anakuwa tayari anakujua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…