Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,751
- Thread starter
- #421
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mdada nilimpm baada ya kusalimiana na maongez ya hapa na pale akadai mtungi wa gesi ,gesi yake imeisha anahitaji 180,000/= nikamwambia nitumie namba yako nikutumie naona mpaka leo kakimbia Sasa sijui alitaka nimtumie kwa njia gani[emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
kilicho akilini kitumie
Sent using Jamii Forums mobile app