Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Dogo uko vizuriHizi za Kwenda moja kwa moja Kwenye mada sio nzuri Sana.
Unakuta mtu anakupm kaandika"kwa Jina la mapenzi karibu moyoni"
Hiyo Ni text yake ya kwanza juu kabisa.
Ni vema mtu anapikupm akaanza na salamu na kukujulia Hali kwanza.
Hii inatoa nafasi ya kujua Khali ya mtu anayewasiliana Naye,mf kujua Kama Ni mzima,mgonjwa, Kuna shida anapitia au Yuko bize .
Kuanza tu kujieleza moja kwa moja kwa mtu,unaweza jieleza kumbe Ana Shida au anaumwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa. Hivyo Id yako ya Feb 12 mpaka leo ushatumia wanawake wote hao PM kwa woote hao unatafuta nini?
Dude, It's a brotherly prayer you don't get into any relationship with these slay queens. Niko na donda kumoyo but wanna revenge! I made a promise, got to fulfill it. Time kama hii no singizi cause yake. Totally bankrupt, please please don't ever give it a try. Hizi mutu ni shetwain.
Go to ma profile find a thread nirianzisha narrated vile hawara kanitia gizani. She is here, I am sure waume wengi muko mmemkula. She pretends to be smart upstairs .....me crying here oogh. Thank me later. Ako amelalwa na wanaume wengi umu
Don't make a promise you can't fulfill...
Sio jf, wapo wanaotafuta ndoa Mtandaoniin generalKuna watu wanatafuta Ndoa Jf?
Hii ni mpya kwangu!
Mbona hujanijibu tena PM zang Aurora ?what I usually do is unfollowing that person nisipokee any future messages from him
Sent using Jamii Forums mobile app
Natafuta mmoja tuu ambae ataniliwazaPoa. Hivyo Id yako ya Feb 12 mpaka leo ushatumia wanawake wote hao PM kwa woote hao unatafuta nini?
Kina Id moja hivi siikumbukagi mana ilikuwepo zamani kidogo yaani ile kila baada ya siku mbili au tatu atatuma kauli za matusi yaani nikawa naishangaa tu sa unadhani mtu ka huyo nani atapoteza muda kumjibu?
Wakitaka Pm zao zijibiwe wawe na sababu za msingi za kwenda huko Pm.
Waachage kugeuza PM kuwa ni kijiwe cha kuambiana mambo mambo, sijui tuonane tuonane yaani kila kukipambazuka hiyo ndio kauli. 😅😅😅😅
Wenye hitaji hilo nadhani wanapatikana Love connect na siyo kuPm Mtu kwa hisia anahitaji ndoa.
Ukasinzia saa moja ile? Ila naona bado umesinzia 😀😀Jamani jamani, unaijua series inaitwa "locked up"?? Kwakweli nlisinzia pale pale na laptop yangu nkajutia kusinzia.
Mtu mwenyewe kukupata inabidi nihustle kinoma, si unajua???
Huenda ikawa ndio huyo huyo aliyekuwa akituma na kwangu. Sa sijui anapata raha gani mana si uzima ule.Hahaha iliwahi kunipata pis,
yaani alikua anatuma matusi ya nguoni..kila akikurupuka
Salaam
NdiyooPoa. Hivyo Id yako ya Feb 12 mpaka leo ushatumia wanawake wote hao PM kwa woote hao unatafuta nini?
Ooohh!!!
Hahahaha wewe jamaa naona umebadilisha IdMbona hujanijibu tena PM zang Aurora ?
Wakat tulikua tunaenda fresh tuu [emoji3][emoji3]
Sio lazima ndoa, nyie mnajua tuu maana ya kufuatwa lakini mnafanya mmbo yanakua magumuWenye hitaji hilo nadhani wanapatikana Love connect na siyo kuPm Mtu kwa hisia anahitaji ndoa.