Hahhaha mm kapuku ndio ilinifanya jf nianze kubebishwa na mapenzi ya jf [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti watu mle tulikuwa na wapenzi wetu, alafu kwa real life tuna familia kabisa. Nakumbuka mke wangu aliwahi kuniambia, "asee, wewe na jf ni sawa na mama na mwana, siwawezi".
Acha kabisa shunieWatu hawaelewi kabisa maisha ni mapenzi ndio mana mapenzi yana run dunia kila siku
Kweli kabisa tumsamehe tuKweli dadangu, ukiwa na kasoro huwa roho ya kujishuku na kujiona umepungukiwa inawaandama sana
Khaaaa makubwa haya jamani au wewe ni mkaka wa arShunie fambaf...wanijua sana hadi sur...
Tuna hulka tofauti.Kafukuza wengi kwa kejeli, kule walikuja hadi akina Mshana jr lkn uzalendo uliwashinda, jamaa mbinafsi sana
Couple yenu nayo ilikuwa [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]Hahhaha mm kapuku ndio ilinifanya jf nianze kubebishwa na mapenzi ya jf [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa dadae.Nawasubiri kwa hamu jamani
Hilo liko wazi, na wengine tumeumbiwa roho ya kusameheTuna hulka tofauti.
Wanaume wa 'dizaini' hiyo ni wabaya hadi kwenye familia zao.Hivi yupoje yule mtu anajifanya yeye ndio mwanzilishi wa kapuku alikuwa anakera sana Ila nilikuwa nampa yake nikiongea anaomba msamaha shunie basi yaishe mwanaume unakuwaje vile unafki tu
Mzee mwenzangu naona pengo.Nimesoma comments hadi hapa... tehteehhh
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji8]Khaaaa makubwa haya jamani au wewe ni mkaka wa ar
He heCouple yenu nayo ilikuwa [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Mdomo wako haujabaki wazi kweliNimesoma comments hadi hapa... tehteehhh
Yeye alitaka kuonekana ndo 'the top of' pale kf.Hiko ndio alichokuwa anakosea ooh busy na matani ya mapenzi sijui bla bla gani
Too much gubu utakoma ukikosea kila siku wimbo ni huo huoWanaume wa 'dizaini' hiyo ni wabaya hadi kwenye familia zao.
Khaaaaa kwahiyo siku zote ni wewe[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji8]
Alikuwa anakera aiseeeYeye alitaka kuonekana ndo 'the top of' pale kf.
Hahahaaaa..... Tatizo gani atii, mbona hukuwahi nambia braza?Mjinga sana, alinisababisha nimfuatilie nijue anatatizo gani.
Nilipomfahamu na tatizo lake nilijilaumu kumhukumu.
Usinikumbushe jamani, kama akina @Lizybety.Ule utani wetu wa kumgombania mrembo
Patience123, mwanamke mrembo na mwerevu, hakunaga kama enzi zile aisee
sumbai