Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mdada anaefunga Pm hajiamini na inawezekana akawa mwajuma mlango wazi ukibisha hodi tu ndani, sasa ili kukwepa hilo anaona bora afunge tu maana mtu anaejiamini anajua hili yes hili no so hana haja ya kufunga PM. Jf wangetoa kwanza hii kitu wengine kuanza kuanzishiana thread humu kisa mtu unamkubali lakini kafunga PM unaamua kwenda public hatuwezi mnatupa tabu kweli[emoji38] [emoji38] [emoji38] .
Hahah! Sawa nikipata huo mzuka nitabadiri tuHuwezi sahaulika ww expert bhana...
Yaani nikiona vimaswali flan hivi namuacha hewaniSababu ya kutotoa ushirikiano ni ipi?
Shem naww wakulalamika kwelii...[emoji22]Hongereni mnao funguliwa PM
Mnabahati wenzetu
Koh koh koh.Ngoja tusubiri majibu yao...
ndo hivyo mkuuItakuwa mtongozo tu huo si ndyo?
HahahaShem naww wakulalamika kwelii...[emoji22]
DuuhWakati mwingine mkubali tu kusumbuliwa, Umeshaumbwa jike, Lazima madume yajipange, Ukipita mwezi mmoja haujapigiwa mluzi wala kutongozwa huwa unajisikiaje?
Huwa haunung'uki?
Hautamani kwenda loliondo?
Haujihisi kwamba haukukamilika?
MMENGUWA MADUME SISI TUKAWA MAJIKE, JE USUMBUFU HAUNGEKUWEPO?
HahahahahaSijawahi kufikiri kufunga pm, pia sijawahi pata usumbufu, ila huwa sitoi ushirikiano
Nimeipenda like yakoKoh koh koh.
Hahahaaaa jamaani lol.Nimeipenda like yako
ha ha ha mmmh wewe Hajar wewe ha hahaHahahaaaa jamaani lol.
Na mie nimeilewa sana post yako. [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] .