Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Wanawake wa JF mbona huwa mnafunga PM zenu?

Haha sirudiagi tena kamwe kumfata mdada wa jf pm

Kuna sku nilimfataga mmoja hiv ahha sjui anajiitaga miss naniliu aisee wanawake wa jf wanahifadh sna bad memory zetu for future use niliishiwa kufululiwa makaburi hadi nikaomba poo
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom