Nina imani neno rais limetoholewa toka lugha nyingine mostly kiarabu.. Na baada ya kusanifiwa likageuzwa fasaha 'raisi'Safi kabisa.
Maana yake kiswahili sanifu ni kiswahili na kiswahili fasaha ni kiswahili. Katika kaida za kisarufi ya kiswahili hakuna tamko la kiswahili linalokosa irabu mwisho wake. Swali, ni je kwanini tamko "Rais" liwe fasaha wakati limekiuka kaida za kiusuli za sarufi ya Kiswahili ?
Nina imani neno rais limetoholewa toka lugha nyingine mostly kiarabu.. Na baada ya kusanifiwa likageuzwa fasaha 'raisi'
Mengine ni Zanzibar/ Zenjiber, Kiswahili/ Kiswahel nk
Watanzania wengi wakiwemo viongozi wetu hawakifahamu Kiswahili fasaha na sanifu.. Ni bora liendeSahihi kabisa ya kuwa tamko "Rais" la asili ya Kiarabu.
Swali langu ni kuwa tamko "Rais" iweje liwe ni Kiswahili fasaha hali ya kuwa linakinzana na kaida za kiusuli za sarufi ya Kiswahili ?
Tamko Zanzibar kwa usahihi huandikwa Zanzibari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amina na iweKwa mara ya kwanza tangu kujulikana kwa Taifa la Tanganyika na baadae Tanzania... Hakujapata kutokea rais mwanamke
Kama bahati ya mtende Mungu kawashushia mana.. Nyota ya jaha imewawakia! Ni wakati wenyu sasa.
Kuna wakati niliwahi kuandika hapa kwamba wanawake wa JF ndio wanawake bora zaidi.. Beauty with brains...hawa wa huku ni wale wanaojitambua ukiachana na wapuuzi wachache sana.. Hawa ndio majasiri waongoza njia.. Sio kama wale wa kujianika nyeti zao kule kwengine na kutwa kucha ni umbea majungu na ku fake maisha...
Ni wakati wenyu sasa,msituangushe...msijiangushe.. Onesheni kuwa mnaweza na haikuwa bahati (mbaya) , mkifeli sasa mmefeli milele, mkifaulu sasa mtakumbukichwaView attachment 1732983
Babu is my neighbor, si yule kidonge kitulizo cha maumivu? Basi timu mojaThanks Bujii
Mwaah mwaah mwaah...! (Babu asione hapa 😛).
Uko sahihi kabisa na hawataki kujifunza kiswahili chao.Watanzania wengi wakiwemo viongozi wetu hawakifahamu Kiswahili fasaha na sanifu.. Ni bora liende
Karibia tunafika mjini kwa mara ya pili kula ubwabwa pilau nk pale magogoniKimbiji kisiju moja iyo...!!! Dar kimeumana...[emoji3]
Alkasusu itakuwepo!?[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]Karibia tunafika mjini kwa mara ya pili kula ubwabwa pilau nk pale magogoni
Sherehe zinaanza upya kujisherehesha Eid vijikutano vya hapa na pale kula kashata na kahawa (wanaume mpooo) ni raha fullu
Tupo tupo kupika pika makorokocho
Magogoni kulipoa
Mjiandae kucheza bao (wanaume) pale kwa nyumba nyeupe
Tuko pamoja.Nimekubaliana nawe kwakuwa inakosekana irabu mwishoni..hivyo uko sahihi
Babu is my neighbor, si yule kidonge kitulizo cha maumivu? Basi timu moja