Wanawake wa JF tukutane hapa

Wanawake wa JF tukutane hapa

Uu uzi wa wanawake na kilichonileta uku sijui nn!!siku ishaharibika
 
150115133825-south-sudan-refugee-stories-aziz-super-169.jpg
Mimi Tozi25
 
Weeee kwahy ni shombe shombe hiv[emoji134]

Ngoja nimuulize kwanza mbona naona kama malengo yangu yanatimia sasa
Chura ipo???[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Dada yangu emmyta usivujishe siri
 
Ahahahahah
Ukikuta wa hivi na kitandani yuko poa wachache sana,,wengi wao hovyo halaf kuringa sasa eheheh kama anamiliki mgodi kumbe anamiliki kibamia kitakatifu dakika moja chali

Hahahaha nmecheka kwa nguvu daah et kibamia kitakativu ........
 
Siku hiz mambo ya flat screen bana,chogo(chura) mambo ya kizamani hayo usidanganyike[emoji23]
Hapo naona CV inazidi kuimarika.

Sasa kwa nini ninyi mtake shombe shombe ilihali mnayoyatarajia yanataka ubinifu wa hali ya juu.
 
Hivi kuna mwanamke humu ashakutana na mwanaume wa jf yuko hivi au anafanana hata kidogo ,au hata kumfikia huyu kaka ,,tuseme tu ukweli maana vidume vya humu kwa kujiona[emoji23][emoji23]havijambo
Tuseme tu ukweli wala tusifichane na msitaje id zao,,huyu mkaka ni Mtz kabisa anajiita dokta ulimwengu sasa sijajua kama ni mwanaume mashine ama la,,na nahisi muda si mrefu atawahiwa na kina wolper[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],mi huwa nikikutana na wa hivi lazima nigeuke kusafisha macho ,,mim sijawah kukutana na mwanaume wa jf,so semeni nyie [emoji23][emoji23] ,nje ya jf zamani kabla sijawa bibi niliwah kukutana na wawili kama huyu sasa wana vibamia vilivyotukuka Mungu hakupi vyote
View attachment 623985View attachment 623986
Hahahaha aisee sidhani kama nishawahi tamani muonekano wa mwanaume mwenzangu maana mimi pia ni moto wa kuotea mbali
Huyo wa kawaida tu afu ishu ya vibamia mbona ni maamuzi tu ya mtu maana akiamua kukukuzia inches 8 ni wiki mbili tu dude linakua halishikiki


Me ni handsome bhna
 
Back
Top Bottom