Wanawake wa Kichaga wanawapenda sana Wanaume wa Kisukuma

Wanawake wa Kichaga wanawapenda sana Wanaume wa Kisukuma

Wanaume wa kisukuma wana uzito fulani vichwani, wanawahitaji wachaga ili wawachangamshe.
Kama kweli aisee... Chaga na Sukuma huwa maisha yana match vizuri sana... Wasukuma ni watu wa kuridhika faster ila kuchapa kazi no uvivu and chaga hawezi ridhika au kukata tamaa kirahisi so huyu analala huyu anamuamsha so kuna kuwa na perfect movements and Msukuma anakuwa kinga ya mchaga hata akiiba anasema sisi ni wachapa kazi... and hii imekuwa hivyo miaka na miaka.. and ni rahasi sana kuelewana ndani ya nyumba Msukuma huwa anajishusha kupunguza kelele and hana visasi vikali kama Wanaume wa makabila mengine kama Wasmbaa, Meru, Kurya n.k

Hivi niulize kuna mwanamke wa kichagga keshaolewa na Mkurya? naombeni hints japo kidogo
 
Hivi dada wachaga ndo huwa wanamiliki ile miguu kama ya oscar pistorius na ka sura kazuri kazuri hivi na hips bila tako?! au ni wapare! wasukuma pale lazima wafike bei kwa sababu ya rangi. msukuma huwa hawez kutofautisha ngozi nyeupe na uzuri.
 
Nyie wasukuma endeleeni kujipendekeza kwa hawa dada zetu wakichagga siku likiwapata mtajua hamjui kuwa hawa wako kipesa zaidi, natafuta msukuma wa kuoa jamani 😂😂
 
Wengi wao wanajuuuta wala hawana hamu tena !

Kama ingewezekana kuanza upya kurudisha umri nyuma wangeweza kuamua vingine!
 
Hata wanyakyusa wengi hawajatahiriwa, sijui kwanin hata lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mikoa inayotahiri hapa tz ni ntwara lindi dsm tanga moro knjaro arusha manyara singida na dodoma hivyo mikoa ambayo ambayo haijatajwa hapa hawana utamaduni wa kutahiri including nshomile
 
Si wasukuma tunasemekana tunapenda wanawake weupe..na wao wachaga wengi weupe so wanajua kabisa hapo tayari wana uhakika wa kupendwa
 
Wanatupenda sisi Wasukuma kwa sababu pipe zetu ni kubwa na zina nguvu ya asili.
 
Back
Top Bottom