Wanawake wa Kichaga wapewe maua yao!

Watu porini (Chasaka)bana watu mnachuki Sana na wachagga aisee
 
Jaji Joseph Warioba
Endrew Chenge
General Mabeyo
Nape Nnauye.
Jumaa Aweso
Andy Chenge kachukua jiko upareni. Ana makosa mengi lakini sio katika kuchagua jiko.
Hivi Ndugulile naye Ni Mkerewe?
Maana wakerewe hawapendi kuoa kwao.
Dada zao hawaoleki.
Ukinionyesha MTU maarufu ambaye sio Mkerewe au mgita aliyeoa Ukerewe na ndoa ikadumu nabadili ID
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…