gambakhuffu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2010
- 488
- 504
HAHAHAnyie wanafki mnawasifia dada zetu hapa halafu mkiwa bar mnawaponda wana nyonyo kubwa kalio dogo.
enewei wakija huko tunawapa mission na watawanyoosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAHAHAnyie wanafki mnawasifia dada zetu hapa halafu mkiwa bar mnawaponda wana nyonyo kubwa kalio dogo.
enewei wakija huko tunawapa mission na watawanyoosha.
Huyo wa kupigwa stuli ya ugoko kwa vyovyote vile atakuwa ni BM - Benard Morrison. 😂🤣Ila moto waliupata.
Kuna mmoja hapo aliwahi kupigwa na stuli ya ugoko hadi goti likateguka...😂
Kuna huyo mwingine anae fuata aliuona moto hadi akaamua kuama na kuisusia nyumba akaenda kuishi kwa mpango wa kando..😜
We bingwa sana mkuu, hahaNimezaa Na Mchagga, Msukuma, Mhangaza Na Mmwela. Kila mtoto wangu ni first born
daah, hahahaUkiona hivyo jua watoto wananyonya na kushiba hakuna mtoto ananyonya kalio mkuu🤣
hahahaHuyo wa kupigwa stuli ya ugoko kwa vyovyote vile atakuwa ni BM - Benard Morrison. 😂🤣
mkuu unafaidiwajanja tumeoa kaskaziniii....mke wangu anarun shamba langu na tuna ngombe wa maziwa zaidi ya 120..tunavuta mpunga kimya kimya tuu
View attachment 3167418
Halafu hivi huyo mdada anafanya kilimo kweli au zuga tuu? 🤔mkuu unafaidi
Na hamnaga mwanamke wa kichaga mjingani kwamba tu tunapenda kuelimisha mabinti zetu kwahiyo hawaishi kimakengeza.
Na hatuendeshwagi Na yeyote Wala hatukubali kuendeshwani kwamba tu tunapenda kuelimisha mabinti zetu kwahiyo hawaishi kimakengeza.
wamefurahi waume zao kufa maana wao hupenda mali1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani.
2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji wanakuja kuharibu familia na Mali za marehemu (RIP Dr Machache).
Orodha ya watu maarufu waliooa Uchagani
1. Mafuru (RIP)
2. Dr. Ndugulile (RIP)
3. Mhe. Dr Lameck Madelu Nchemba - BA Economics (Hons.) First Class, MA Economics, PhD.
4. Mhe. January Makamba (MP),
5. Prof Kitila Mkumbo (PhD),
6. Jumaa Awesso (MP),
7. Majizzo,
8. Rich Mitindo,
9. Prof Mukandala (PhD),
10. Nabii Mkuu Mwingira.
11. Dr Salmin,
12. Prof Lipumba (PhD).
eti ebhana ndiooo, hahahaLowassa naye amebahatisha.
Warangi hawachelewi kukuweka zezeta Kila kitu uwe "ebhana ndiooo".
Warangi sio poa kabbissa.
warangi wakristo hawanaga shida na mostly ni wakatoliki, wamenyooka mnoNdio nasema Lowassa alibahatika.
Ila warangi nao sio poa kabisa mkuu.
Aah wapi mkuu.warangi wakristo hawanaga shida na mostly ni wakatoliki, wamenyooka mno
Unamjua kwanza mke wake!Mke wa Mwigulu ni mnyakyusa.
Ukitoboa una bahati sana, ni sawa na kutoboa ukiwa na 100yrsKuna code hujaijua hapo,ukioa mchaga miaka 60 hutoboi
Kama ni hivyo Jua kuwa kuna tatizo, na vijana wengi watakuwa wanashinikizwa kuingia kwenye pingu za maisha pasipo kutambuana vizuri na utakuta kuna msukumo flani kutoka kwa binti wa iwe isiwe lazima ndoa ifungwe, wakati kuna makabila mengine kufunga ndoa sio lazima sana ilimradi tu nyie ishini kwa amani mkijisikia kufunga ndoa fanya hivyo kwa wakati wenu mnaotaka nyie na sio mashinikizo kutoka kwa wazazi wa binti.Pia kati ya ndo 5 zinazofungwa maeneo ya mjini kama Dar 3 lazima Mchaga awe mmoja
ya couple hiyo