Wanawake wa kiislamu mbona hawangaiki na ndoa?

Wanawake wa kiislamu mbona hawangaiki na ndoa?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Hawa wanawake wa kiislamu huwezi kukuta wanakosa mwanaume wa kumuweka ndani.

Kumbe ukivaa vizuri, ukajitunza, basi wanaume watakuweka ndani. Sasa hawa wanajipoa weee then wanaishia kuwa single mother na kujiingiza katika kampeni uchawara za feminist.

Nimegundua hili jambo kuwa mwanaume mwenye upendo na focus hawezi kuokoteza mwanamke hasa wanaosuka makatani kichwani, na kucha za super-glue.

Maisha ni formula ukitaka kuolewa vaa vizuri, kuwa na adabu salimia watu, achana na kusuka katani kichwani, wanaume hawapendi uchafu maana ni roho mtakatifu.

Huko kwa Mwamposa hutoboi, hata dada zangu nyumbani nimewapa hii mbinu na juzi tumepokea barua moja na sukari ya Ramadhan.
 
Katika Uislam hata mwanamke akiwa na watoto 5 halafu akaja akaachwa bado ana uhakika wa kuolewa tena, Hali ni tofauti ktk ukristo ukiwa single mother ata wa mtoto mmoja tu una asilimia 90 ya kukosa ndoa mpaka unakufa
 
Katika Uislam hata mwanamke akiwa na watoto 5 halafu akaja akaachwa bado ana uhakika wa kuolewa tena, Hali ni tofauti ktk ukristo ukiwa single mother ata wa mtoto mmoja tu una asilimia 90 ya kukosa ndoa mpaka unakufa
dah aisee, kazi kwelikweli
 
Huku mtaani kwetu single maza wengi wakina mwajuma,Asha,pili sasa sijui utafiti wako umefanyia wapi.
 
Back
Top Bottom