Wanawake wa kiislamu mbona hawangaiki na ndoa?

Wanawake wa kiislamu mbona hawangaiki na ndoa?

Stress anatoa wapi anajua hata mke wanne ataolewa tu. Kimbembe upande wa pili mwanaume mmoja mke mmoja lazima ushinde kwa mwamposa uombe upate wako.
Kuolewa mke wa nne ni dharau sana...yaani spare tairi namba 3
 
Katika Uislam hata mwanamke akiwa na watoto 5 halafu akaja akaachwa bado ana uhakika wa kuolewa tena, Hali ni tofauti ktk ukristo ukiwa single mother ata wa mtoto mmoja tu una asilimia 90 ya kukosa ndoa mpaka unakufa
Nimekuelewa
 
Uislm ulitoka kwa waarabu. Quran inamtaka mwanamke kumtii mumewe tena inasema pepo ya mke ipo mikononi mwa mumewe. Utii, upole, utulivu ndio wanaume wote wanataka.

Quran inaongeza kuwa, laiti kama Mungu angeruhusu binadamu kumwabudu binadam mwezie basi mwanamke angemwabudu mume wake. Yote haya yanamfanya mwanamke wa kiislam kuwa na utii na mumewe, na ndio kitu mume anataka. Waarabu bado wanayafuata maandiko hayo. Na waarabu ndio wana interact na waislam.

Biblia ilitoka kwa wazungu nchi za magharib. Biblia inaeleza vizuri tu juu ya mke kumtii mumewe. Ila wazungu walianza kuleta mambo ya haki sawa. Wanawake wakapoteza utii. Na hao wazungu ndio wana interact na wakristo.

Akili kichwani
 
Back
Top Bottom