DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
😄 swaumu kali sana ndio kwanza saa 5 hali ishakuwa hivi
[emoji23][emoji1] swaumu kali sana ndio kwanza saa 5 hali ishakuwa hivi
Hakika Nina ushahidi nalo hiliKatika Uislam hata mwanamke akiwa na watoto 5 halafu akaja akaachwa bado ana uhakika wa kuolewa tena, Hali ni tofauti ktk ukristo ukiwa single mother ata wa mtoto mmoja tu una asilimia 90 ya kukosa ndoa mpaka unakufa
Kuna ka harufu ka ukweli hapa... Huku kitaa binafsi nashuhudia haya uliyosema.Katika Uislam hata mwanamke akiwa na watoto 5 halafu akaja akaachwa bado ana uhakika wa kuolewa tena, Hali ni tofauti ktk ukristo ukiwa single mother ata wa mtoto mmoja tu una asilimia 90 ya kukosa ndoa mpaka unakufa
dah aisee, kazi kwelikweliKatika Uislam hata mwanamke akiwa na watoto 5 halafu akaja akaachwa bado ana uhakika wa kuolewa tena, Hali ni tofauti ktk ukristo ukiwa single mother ata wa mtoto mmoja tu una asilimia 90 ya kukosa ndoa mpaka unakufa
Subiri uolewe mwananguDamn!this shit is overrated!
Nishaolewa hakuna jipya babaSubiri uolewe mwanangu
Kuna kabila moja la Wameru.Katika Uislam hata mwanamke akiwa na watoto 5 halafu akaja akaachwa bado ana uhakika wa kuolewa tena, Hali ni tofauti ktk ukristo ukiwa single mother ata wa mtoto mmoja tu una asilimia 90 ya kukosa ndoa mpaka unakufa
Hata mimi unanidanganya mwanangu?Nishaolewa hakuna jipya baba
Baba umesahau mashtaka ninayoleta ya mkweo kila uchao?Hata mimi unanidanganya mwanangu?