wanawake wa kipare

wanawake wa kipare

Mi nadhani kikubwa ni wewe ndugu kujua na kumwelewa mwenza wako vizuri kabla ya hatua nyingine yoyote kwani swala la kuwa huyu ni kabila fulani ndio uweze kuwa nae ilo ondoa kwa sasa jitahidi sana kumfahamu mwenza ndio cha msingi mimi mwenyewe ni mpare.
 
Jiandae kufunga kiuno motor .......................................!:ballchain:

Namnani avae..............tena motor usiwe wa kutumia nishati moja kama umeme, gesi, diesel, au makaa ya mawe pekee yake bora uwe unatumia nishati hata tatu kwa wakati tofauti ili kama kuna mgao atumie lau gesi ya Ntwara au Diesel
 
Hakuna exaggration hapo, nna marafiki wengi wapare wanaroho mbaya....

Rafiki upooooo!!!!!!!!!! Yaani mkono mia kwa mia na hata wanaume same same. Pia wana kisifa kingine wakikutana mjini wakishaanza Namnani....... lazima ngoma ikeshe.
 
kwanza wapare tunajua kupenda, huyo anayesema eti ukioa mpare ufunge mota kwenye kiuno hayo ni maneno ya mkosaji,usiogope mwaya nenda katoe mahari...
 
kwanza wapare tunajua kupenda, huyo anayesema eti ukioa mpare ufunge mota kwenye kiuno hayo ni maneno ya mkosaji,usiogope mwaya nenda katoe mahari...

Waambie bana! Waache kuwadhalilisha dada zetu
 
Kila mmoja. Anatoa dukuduku zake! So tusizidharau! Aliyeuliza swali atachambua yote na kupima uzito wa kila comment!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom