Wanawake wa mjini hawaridhishwi kimapenzi, vijana kuweni makini

Wadada WA mjini, Wana mambo mengi, akilalamika humridhishi achana nae HUWEZI kuridhisha, wapo wanatumia Tango, chupa ya bia, carrot 🥕 na kwa sasa wamehama kwenye kibomba.
🤔🤔🤔Hatimae wamefikiwa Hawa au Wana makini mahaba yanawasumbua
 
Kumridhisha sio muhimu sana maana hata asiporidhika atazaa tu. Kama Muumba hakuzingatia, we kiumbe unapata wapi ujasiri wa kuzingatia.
Usijiumize. Pambana kadiri utakaona inafaa afu pita hivi. Una muda mchache wa kkusaka pesa na kula bata.
 
Yale mabomba yakubonyeza yanatoka maji kwa presha! Mara nyingi kweny vyoo vya kishua utaviona
Vyoo vya kishua kivipi wakati mimi kwangu nalitumia na ofisini pia nalitumia
 
Vyoo vya kishua kivipi wakati mimi kwangu nalitumia na ofisini pia nalitumia
We wakishua!! Sisi wengine zaid ya kutumia kopo hatutoboi... Na ofisi zetu miguu yetu! Elimu ya Darasani mpaka sasa haikutusaidia kitu zaid ya kupoteza muda tuu..
 
Kila siku nawaambia vijana achaneni na huu upumbavu wa kutaka kumridhisha mwanamke. Tupo kwenye zama za 50/50 mkiwa katika mahusiano kila mmoja ajihudumie mwenyewe, ajiridhishe mwenyewe. Haki sawa/wajibu sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…