MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
- Thread starter
-
- #101
Hahahahaha, mimi sina kazi za ofisini.Mkuu wewe mshahara bado haujaisha eeh. Maana hayo ni mawazo batili ukiwa na fedha za mchezo mchezo
Hongera mkuuHahahahaha, mimi sina kazi za ofisini.
Mimi nimejiajiri nalima miwa huku kwetu Kagera,
Well this is somethingBeautiful Natural Dreadlocks.
Enheee upi huo kaka ???Kaka Malcom Lumumba nishajua udhaifu wako kaka.
Hii picha ya huyu ndio imenikosha sana 😛.
Kuna mmoja nilishawahi kuhonga kuku na vifaranga wake
Nakuunga mkono mkuu,kuna wana boa kishenzi unamkuta usoni mweupe lkn miguuni mweusi tii!!Roho yangu huwa inasimama nikukutana nao
Hahahaha,Nakuunga mkono mkuu,kuna wana boa kishenzi unamkuta usoni mweupe lkn miguuni mweusi tii!!
Huyu wa pili anaitwa Teyonah ParrisAisee!.. kweli duniani wawili wawili... Mac hawa unawapata majina yao!?..Nayaomba.
Mi kwa kweli huwa napatwa na kichefu chefu ije sasa nywele zenye kunuka daaah!!Hahahaha,
Kama pundamilia aiseee