Wanawake wa Pemba na Kanda ya Ziwa wapigwe sindano ya uzazi wa mpango kwa lazima, wanatesa watoto

Wanawake wa Pemba na Kanda ya Ziwa wapigwe sindano ya uzazi wa mpango kwa lazima, wanatesa watoto

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba

Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.

Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!

Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.

Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.

Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.

Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho

Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.

Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
 
Njia za uzazi wampango zina mtu na mtu, unaweza ukatumia zikakupa athar ukajutia ila zikikuendea sawa unatumia tu, lakini mkuu wengine hawataki wanakwambia tu aka tumeambiwa tujaze dunia na kila mwana huja na rizikie
 
Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba

Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza...
Kanda ya ziwa gani hiyo unaongelea mkuu.

Huku ukuryani maziwa ndo mboga, chai ya rangi ukinywa unaonekana una laana.

Hebu fafanua

Huku ndo kuna watu warefu, ma giants kuashiria shibe
 
Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba

Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza...
Inaonekana wewe umetumwa,na watu wa ndoa ya jinsia mmoja, hao watu walishawahi kuja kukuomba chakula? Je kwa kuzaa watoto wachache wewe umenufaika na nani?

Sisi tunakwenda na Amri ya mwenyezi Mungu, nendeni mkazaliane mkaongezeke
 
Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba

Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.

Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!

Nilichogundua,wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini,hajui siku za hatari na salama ni zipi.

Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.

Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.

Hali ya chakula sio nzuri siku hizi,mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo,watoto hawashibi ,wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho

Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai,soseji,nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.

Acheni kutesa watoto.mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili



Hizo mimba wanatiwa na nani? Kama wanazinywa kwenye maji Sawa!
 
Inaonekana wewe umetumwa,na watu wa ndoa ya jinsia mmoja, hao watu walishawahi kuja kukuomba chakula? Je kwa kuzaa watoto wachache wewe umenufaika na nani? Sisi tunakwenda na Amri ya mwenyezi Mungu, nendeni mkazaliane mkaongezeke
Najua unaongea tu hujafika huko vijijini ukiwa na kauwezo kidogo nyumba yako inageuka kituo cha omba omba,wanaomba hadi mchicha pori,tuzae watoto tunaowamudu,watoto kumi sio jambo jepesi hata kama una uwezo.
 
Back
Top Bottom