Utapiamlo haupo TanzaniaNi kweli Watu ni raslimali ya Taifa. Lakini ni wale wenye afya njema tu. Wale Wenye utapiamlo na afya mgogoro badala ya kuwa rasilimali, wanageuka kuwa mizigo kwa Taifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapiamlo haupo TanzaniaNi kweli Watu ni raslimali ya Taifa. Lakini ni wale wenye afya njema tu. Wale Wenye utapiamlo na afya mgogoro badala ya kuwa rasilimali, wanageuka kuwa mizigo kwa Taifa.
Umewachamba sana ila umeongea facts tena kwa mpangilio mzuri sana.Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba
Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.
Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!
Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.
Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.
Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.
Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho
Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.
Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
Nilitembelea mji mdogo wa Isaka, pale kila mwanamme kama hanyonyeshi basi ana mimba. Serikali hauoni kuwa hili ni tatizo la kiuchumi na mambo ya nyota ya kijani, UMATI nk yamebaki kwenye makaratasi na kulipana mishahara tuNaandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba
Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.
Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!
Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.
Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.
Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.
Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho
Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.
Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
we jamaa waache Wapemba wazaliane kwasbab wanatunza watoto wao hata mpemba akizaa watoto 20, bas hutakuta mtoto hata mmoja analala njaa au anakosa cha kuvaa. Wewe umeenda kutembea ila sisi wengine tumeish huko Pemba.Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba
Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.
Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!
Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.
Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.
Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.
Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho
Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.
Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
Kwenye mkoa wako tu ndo hakuna mayai,nyama na maziwa maana mpaka ununue,kama unataka uzaz wa mpango ni wewe na mwenz wako,ethic haisem kulazisha uzaz wa mpango. Kanda hiyo watu wana ekari za kutosha za mazao,wanafuga kuku,mbuzi ,kondoo na ng'ombe,akose hata maziwa na mayai? Hata asiye mfugaji,kipnd cha mavuno ndo huwa kuna vikao vya ukoo ambavyo unaweza kuta ni vya cku kadhaa na zote hazo ni nyama hakuna mboga nyingne,sherehe za kuoana ni nyingi usiseme,na uzur wa huko hata kama huna mwaliko utakula na kushiba.By the way hata sindano unazosema zina madhara ya kutosha,ukitaka ntakuelezea.Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba
Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.
Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!
Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.
Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.
Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.
Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho
Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.
Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
Uyo jamaa amepandikizwa chuki. Ameandika kwa chuki kutoka moyoni mwake. Kama kwao wamezaliwa watatu atulize mshono,Kwenye mkoa wako tu ndo hakuna mayai,nyama na maziwa maana mpaka ununue,kama unataka uzaz wa mpango ni wewe na mwenz wako,ethic haisem kulazisha uzaz wa mpango. Kanda hiyo watu wana ekari za kutosha za mazao,wanafuga kuku,mbuzi ,kondoo na ng'ombe,akose hata maziwa na mayai? Hata asiye mfugaji,kipnd cha mavuno ndo huwa kuna vikao vya ukoo ambavyo unaweza kuta ni vya cku kadhaa na zote hazo ni nyama hakuna mboga nyingne,sherehe za kuoana ni nyingi usiseme,na uzur wa huko hata kama huna mwaliko utakula na kushiba.By the way hata sindano unazosema zina madhara ya kutosha,ukitaka ntakuelezea.
Acha weee! Labd kwako,sisi simiyu hata mboga ya majan,dagaa inatiwa maziwa,mtoto anaamkia kuchoma viaz na karanga akiwa anasubiri kifungua kinywa,mchana anachoma mahind akiwa anasubiri chakula,mda wowote ukiamua kula samaki hata kama huna hela unaingia mto SimiyuSimiyu
hasie taka familia ni mchoyo mfano wasukuma waha wazigua ni baadhi ya makabila yanao zaa sana lakini hayo makabila pia ni miongoni mwamakala yanayo fanya sana kazi hayana njaaHuo wakoni wivu tena uliopindukia mipaka.
Wewe lini umesikia Pemba kuna tatizo la chakula au labda watoto asilimia kadhaa wamekufa kwa kukosa chakula??
Wewe mtoto wa kiume acha umbea umbea, wacha watu wazae kama nyie wabara hamtaki kuzaa waachieni Wapemba wazae[emoji16].
Alaf nyiny si nd mnasema wanakulana nyuma wale, sasa wanaoliwa nyuma anaeza kuzaa sana ?
Naona zile kauli zenu zinawasuta wenyewe.
Ukishindwa kuzaa,unatulia wanazaa wengine,msiwe na wivu,weng wenu mnajikuta uzaz umegoma ndo mkawaonea wivu wengneKufyatua watoto huku umejaa ufukara hadi kwenye kope ni matumizi duni ya akili.
Makurya majitu ila kama majinga majinga ukikuta yanazungumza lugha yao utadhani yanagombana kale ka cheko kao ndio katakuambia wapo sawa maana uso umekunja. (Watani)Kanda ya ziwa gani hiyo unaongelea mkuu.
Huku ukuryani maziwa ndo mboga, chai ya rangi ukinywa unaonekana una laana.
Hebu fafanua
Huku ndo kuna watu warefu, ma giants kuashiria shibe
Hili Jamaa kumbe lipumbavu kiasi hiki?Hakuna cha sheria kutungwa, kila mmoja azae kulingana na uwezo wake aliojaliwa, pamoja na kuweza kuwapa mahitaji.
Hata asipojaa ufukara lini uliwahi kuwezesha hao wasio mafukara ilihali bado hupambana wenyewe kujipatia rizki kuliko kuwashwa washwa na maisha ya Watu?Kufyatua watoto huku umejaa ufukara hadi kwenye kope ni matumizi duni ya akili.
Akili za kindeziSijui kwenu mmezariwa wangapi?Sisi wengine ni zile familia za kuzaliwa watoto 10, hakuna nguo za skuku wala sijui mambo ya kitajiri,Kinyume chake wale waliokuwa malezi bora sijui kwao wanaishi kizungu,wazazi wao walishakufa, na unakuta na ndugu yake naye alikufa, sababu walizaliwa wawili, aliyebaki pekeyake amebaki mkiwa
Uzazi wa hovyo hovyo matokeo yake ni kutengeneza watoto majambazi,Watoto madada poa,Watoto Panya road,Watoto wapiga debe,Watoto waendesha boda boda,Watoto wafanyakazi za ndani,Watoto wanaotegemea 100% mbeleko ya Serekali na mwisho Watoto wasiokuwa na uhakika wa kesho yao.Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba
Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.
Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!
Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.
Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.
Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.
Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho
Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.
Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
ATHARI ZA UZAZI WA MPANGO:Kuna mmoja alitumia dawa za uzazi wa mpango akakondeana, makalio na matiti yakawa flat. Ikabidi atafute makalio na matiti bandia kuweka umbo lake apendeze