Wanawake wa Pemba na Kanda ya Ziwa wapigwe sindano ya uzazi wa mpango kwa lazima, wanatesa watoto

Wanawake wa Pemba na Kanda ya Ziwa wapigwe sindano ya uzazi wa mpango kwa lazima, wanatesa watoto

Najua unaongea tu hujafika huko vijijini ukiwa na kauwezo kidogo nyumba yako inageuka kituo cha omba omba,wanaomba hadi mchicha pori,tuzae watoto tunaowamudu,watoto kumi sio jambo jepesi hata kama una uwezo.
Sijui kwenu mmezariwa wangapi?Sisi wengine ni zile familia za kuzaliwa watoto 10, hakuna nguo za skuku wala sijui mambo ya kitajiri,Kinyume chake wale waliokuwa malezi bora sijui kwao wanaishi kizungu,wazazi wao walishakufa, na unakuta na ndugu yake naye alikufa, sababu walizaliwa wawili, aliyebaki pekeyake amebaki mkiwa
 
Sijui kwenu mmezariwa wangapi?Sisi wengine ni zile familia za kuzaliwa watoto 10, hakuna nguo za skuku wala sijui mambo ya kitajiri,Kinyume chake wale waliokuwa malezi bora sijui kwao wanaishi kizungu,wazazi wao walishakufa, na unakuta na ndugu yake naye alikufa, sababu walizaliwa wawili, aliyebaki pekeyake amebaki mkiwa
Mambo yamebadilika mkuu
 
Kwani tupo china hapa?? Magufuli alisemaje tufyatuwe tu. Hio mikoa ulotembea wazazi wangapi wame kuomba msaada juu ya watoto wao??
Magufuli aliwaingiza cha kike yeye hata watoto mia mbili angeweza kuwatunza
 
Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba

Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.

Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!

Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.

Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.

Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.

Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho

Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.

Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
Huo wakoni wivu tena uliopindukia mipaka.
Wewe lini umesikia Pemba kuna tatizo la chakula au labda watoto asilimia kadhaa wamekufa kwa kukosa chakula??

Wewe mtoto wa kiume acha umbea umbea, wacha watu wazae kama nyie wabara hamtaki kuzaa waachieni Wapemba wazae😁.

Alaf nyiny si nd mnasema wanakulana nyuma wale, sasa wanaoliwa nyuma anaeza kuzaa sana ?
Naona zile kauli zenu zinawasuta wenyewe.
 
Nakumbukaga yule mama mmja alipoulizwa mara yako kuona siku zako ilikuwa lini akajibu "sijawahi kuzio'naga ,na hapo mtu ana four kids na ni mjamzito
 
Naandika nikiwa Simiyu baada ya kutoka safarini Pemba

Nimetembea mikoa mingi Tanzania ila haya maeneo tajwa yanashangaza.

Karne hii mwanamke anazaa watoto kumi!!!

Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi.

Unakuta mama ana mtoto wa miezi mitatu tayari ana mimba. Kabla hajakaa sawa binti yake wa miaka 15 naye ni mjamzito. Yaani unakuta mjomba ni mdogo kiumri kuliko mpwa wake. Imetokea mara kadhaa mama na binti yake wanakutana labor kujifungua, sasa, sasa mtoto wa huyu binti unakuta wakati mwingine ananyonya maziwa ya bibi yake maana nae ananyonyesha.

Itungwe sheria watoto mwisho watano tu.

Hali ya chakula sio nzuri siku hizi, mabadiko ya tabianchi yameathiri kilimo, watoto hawashibi, wakishiba ni vyakula visivyo na virutubisho

Mtoto mpaka anavunja ungo hajawahi kula yai, soseji, nyama mpaka mbuzi afe,maziwa mpaka unywe sumu bahati mbaya,mtoto hajui hata kiatu kinavaliwaje.

Acheni kutesa watoto mtoto ana haki ya kunyonya miaka miwili
Sijajua kama umewahi kusikia kitu kinaitwa "HAKI ZA BINADAMU" unaanzaje kulazimisha mtu achome sindano za uzazi wa mpango ?

Mbaya zaidi umeshajua tatizo lipo wapi umeandika hapa
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

"Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi."

Unaonaje serikali ikaandaa semina maalum ya kuwafundisha namna miili yao inavyofanya kazi hasa kwenye mzunguko wa hedhi na namna ya kupanga uzazi wa mpangi usio na gharama?
 
Inaonekana wewe umetumwa,na watu wa ndoa ya jinsia mmoja, hao watu walishawahi kuja kukuomba chakula? Je kwa kuzaa watoto wachache wewe umenufaika na nani?

Sisi tunakwenda na Amri ya mwenyezi Mungu, nendeni mkazaliane mkaongezeke
Uzi ufungwe 👏👏
 
Sijajua kama umewahi kusikia kitu kinaitwa "HAKI ZA BINADAMU" unaanzaje kulazimisha mtu achome sindano za uzazi wa mpango ?

Mbaya zaidi umeshajua tatizo lipo wapi umeandika hapa
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇

"Nilichogundua, wanawake wengi huku hawajui mensturation cycle inafanyaje kazimama mtu mzima hajui tarehe yake ya kuwa hedhini, hajui siku za hatari na salama ni zipi."

Unaonaje serikali ikaandaa semina maalum ya kuwafundisha namna miili yao inavyofanya kazi hasa kwenye mzunguko wa hedhi na namna ya kupanga uzazi wa mpangi usio na gharama?
Uko sahihi
 
Back
Top Bottom