Wanawake wa sasa wamekataa kile wanachokiita Utumwa katika ndoa lakini wamekubali Utumwa katika Pesa

Wanawake wa sasa wamekataa kile wanachokiita Utumwa katika ndoa lakini wamekubali Utumwa katika Pesa

Me and me

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2023
Posts
226
Reaction score
496
Salaam,

Wanawake wanaharakati wa Sasa Wanadai Ndoa Ni Utumwa kwa Mwanamke kwani anakuwa kama vile anamtumikia Mwanaume pia anakuwa hayupo Huru Kufanya Mambo yake. credit #The dadaz.

Pia wanapinga vikali Suala la mahali kwamba ni kana kwamba Mwanamke ni Bidhaa inayoweza kununuliwa.

Lakini Wakati Huo Huo Wanawake hao hao Wapo tayari kufanya Chochote kwa Mwanaume kwa ajili ya kupata hela.

Sijawahi kusikia feminists wakipaza sauti zao juu ya wanawake wanaojiuza (makahaba) maeneo mbalimbali ya majiji karibu kila mkoa.

Hutosikia wakipinga jambo lile jambo ambalo ndio khasa mwanamke amefanywa bidhaa inayoweza kununuliwa tena kwa makubaliano na kupunguziana bei. (Je feminists wanajua kweli wanachokitetea?)

Wanawake wanachezeshwa uchi kwenye kumbi za starehe ama nusu uchi kwenye music videos (sijui mnawaita vixens) lakini sijawahi kusikia hili likikemewa na feminists kwani linashusha heshima ya mwanamke sababu mwanamke anafanywa kama chombo cha starehe katika macho ya watu.

Iweje hata tangazo la matairi ya magari picha iwekwe mwanamke yupo robo tatu uchi. Lakini feminist hawana muda na haya mambo ambayo ndio khasa yanashusha heshima na utu wa mwanamke.

Hivi sasa kuna makampuni makubwa ya ku record video za wanawake wakifanya ngono kisha kurushwa hewani kwenye hizo videos wanawake wanafanyiwa mambo mengi ya ajabu ikiwemo kuingiliwa kinyume na maumbile kufanyiwa domination lakini hutosikia feminists wakisema kitu katika hili wao wapo busy na familia na ndoa.

Sasa hizi ukiwa na pesa nyingi unaweza kumchukua mwanamke hata hao wanaojiita super women na ukamfanyia chochote utakacho ilimradi uumpe hela nyingi ya vacation, au iphone au gari.

Mabinti nowdays uzinzi na umalaya(udangaji) sio jambo kubwa tena kama pesa ya kutosha itatolewa.
 
Tatizo sio mabinti, tatizo ni mfumo ulioundwa kumtoa mwanamke nyumbani, lengo ni kuvuruga Familia.


 
Bongo hakuna feminist , na wala haki za wanawake bado hazijapewa kipaumbele ,na sheria za kuwalinda wanawake bado hazina makali , tena mshukuru sana mwanamke anakupa pole ukitoka kazini na kukuuliza kama umekula na kuwapasia na kuwafulia nguo 🤔
 
Salaam,

Wanawake wanaharakati wa Sasa Wanadai Ndoa Ni Utumwa kwa Mwanamke kwani anakuwa kama vile anamtumikia Mwanaume pia anakuwa hayupo Huru Kufanya Mambo yake. credit #The dadaz.

Pia wanapinga vikali Suala la mahali kwamba ni kana kwamba Mwanamke ni Bidhaa inayoweza kununuliwa.

Lakini Wakati Huo Huo Wanawake hao hao Wapo tayari kufanya Chochote kwa Mwanaume kwa ajili ya kupata hela.

Sijawahi kusikia feminists wakipaza sauti zao juu ya wanawake wanaojiuza (makahaba) maeneo mbalimbali ya majiji karibu kila mkoa.

Hutosikia wakipinga jambo lile jambo ambalo ndio khasa mwanamke amefanywa bidhaa inayoweza kununuliwa tena kwa makubaliano na kupunguziana bei. (Je feminists wanajua kweli wanachokitetea?)

Wanawake wanachezeshwa uchi kwenye kumbi za starehe ama nusu uchi kwenye music videos (sijui mnawaita vixens) lakini sijawahi kusikia hili likikemewa na feminists kwani linashusha heshima ya mwanamke sababu mwanamke anafanywa kama chombo cha starehe katika macho ya watu.

Iweje hata tangazo la matairi ya magari picha iwekwe mwanamke yupo robo tatu uchi. Lakini feminist hawana muda na haya mambo ambayo ndio khasa yanashusha heshima na utu wa mwanamke.

Hivi sasa kuna makampuni makubwa ya ku record video za wanawake wakifanya ngono kisha kurushwa hewani kwenye hizo videos wanawake wanafanyiwa mambo mengi ya ajabu ikiwemo kuingiliwa kinyume na maumbile kufanyiwa domination lakini hutosikia feminists wakisema kitu katika hili wao wapo busy na familia na ndoa.

Sasa hizi ukiwa na pesa nyingi unaweza kumchukua mwanamke hata hao wanaojiita super women na ukamfanyia chochote utakacho ilimradi uumpe hela nyingi ya vacation, au iphone au gari.

Mabinti nowdays uzinzi na umalaya(udangaji) sio jambo kubwa tena kama pesa ya kutosha itatolewa.
Kuna dubwana linaitwa system ilo achana nalo
Kuna utaratibu unaumbwa Kuna maisha tunaandaliwa kuyaishi siku za usoni
kimepenyezwa kitu cha haki sana na sasa tunaishi kinyume cha uwalisia wanapambana na adui ambaye siyo adui kwao. Adui halisi akifika atawakuta wamekwisha kuchoka.
Mfumo unatuzikia jamii yetu ingali hai
 
Sure am telling you kama sio generation ijayo basi ya watoto wa watoto wetu italeta wanawake ambao hawajui kufua ,kupika kupiga deki wala kuosha vyombo hasa hasa wanaokaa mijini wengi wao hawataweza kufanya kazi za juumbani ..na kwa asilimia kubwa watotot wa kike wanaandaliwa kifikra hawaolewi kwa ajili ya kuwa watumwa wa waume zao kwa ajili ya kuwapikia na kuwafulia na kulea watoto pekee inatakiwa wafocus kutafuta pesa..na nakuahakikishia kuna familia hizo kazi za nyumbani hazifanywi na watoto zinafanywa na dada wa kazi ama mashine enhee vipi mtoto wa aina hiyo akutane na mwanaume wa mshahara wa chini ya milioni ataweza kumudu gharama za uendeshaji wa familia?zinaitwa kazi zisizo na malipo na kuwa watumwa wa wanaume na wanawake kuzika ndoto zao za kusaka pesa.
 
Lakini Wakati Huo Huo Wanawake hao hao Wapo tayari kufanya Chochote kwa Mwanaume kwa ajili ya kupata hela.
Anajitumikisha kwa hiari mkuu...sijui umenielewaaa!
Kwenye ndoa ukitaka kilakitu ufanye kwa hiari ....kisu Cha shingo au Rudi kwenu
 
Anajitumikisha kwa hiari mkuu...sijui umenielewaaa!
Kwenye ndoa ukitaka kilakitu ufanye kwa hiari ....kisu Cha shingo au Rudi kwenu
Mkataba wa Ndoa huwa unalazimishwa?

Kwenye kila kitu utaambiwa Terms and conditions.

Sasa Wadada Wamechagua Njia ya Kuwaangamiza lakini ndio tayari wameshaona kuwa ni Uhuru.
 
Kuna dubwana linaitwa system ilo achana nalo
Kuna utaratibu unaumbwa Kuna maisha tunaandaliwa kuyaishi siku za usoni
kimepenyezwa kitu cha haki sana na sasa tunaishi kinyume cha uwalisia wanapambana na adui ambaye siyo adui kwao. Adui halisi akifika atawakuta wamekwisha kuchoka.
Mfumo unatuzikia jamii yetu ingali hai
Inasikitisha sana. Wanawake ndio wa kwanza kushabikia lakini wao ndio Wanadhalilishwa mno.

Hivi angalia lile jambo la kuwa unaenda Maeneo ya Dada poa na unakuta mabinti wamejipanga unachagua na una mshusha bei hadi elfumbili if this is not slavery what is slavery?
 
Sure am telling you kama sio generation ijayo basi ya watoto wa watoto wetu italeta wanawake ambao hawajui kufua ,kupika kupiga deki wala kuosha vyombo hasa hasa wanaokaa mijini wengi wao hawataweza kufanya kazi za juumbani ..na kwa asilimia kubwa watotot wa kike wanaandaliwa kifikra hawaolewi kwa ajili ya kuwa watumwa wa waume zao kwa ajili ya kuwapikia na kuwafulia na kulea watoto pekee inatakiwa wafocus kutafuta pesa..na nakuahakikishia kuna familia hizo kazi za nyumbani hazifanywi na watoto zinafanywa na dada wa kazi ama mashine enhee vipi mtoto wa aina hiyo akutane na mwanaume wa mshahara wa chini ya milioni ataweza kumudu gharama za uendeshaji wa familia?zinaitwa kazi zisizo na malipo na kuwa watumwa wa wanaume na wanawake kuzika ndoto zao za kusaka pesa.
1. Your writing is so pathetic.
2. You have a tainted soul and a corrupted spirit.
3. Stop masturbation.
4. Write properly like a Man.
 
Masculinity.png
 
Tatizo sio mabinti, tatizo ni mfumo ulioundwa kumtoa mwanamke nyumbani, lengo ni kuvuruga Familia.




Ni worldwide problem. Kuvuruga familia. Na bila familia imara, hakuna dunia imara. Itakuwa dunia ya watu wababaishaji na wasiowajibika
 
Back
Top Bottom