Wanawake wa sasa wamekataa kile wanachokiita Utumwa katika ndoa lakini wamekubali Utumwa katika Pesa

Wanawake wa sasa wamekataa kile wanachokiita Utumwa katika ndoa lakini wamekubali Utumwa katika Pesa

Mwanamke anajua kuwa anafanyiwa udhalilishaji endapo ikiwa hajalipwa pesa ambayo anaona inastahili yeye kufanyiwa huo udhalilishaji. Kama ukimlipa pesa ambayo anaona ni bei sahihi kwake basi unaweza kumfanyia udhalilishaji wowote na yeye ndie atatafuta sababu ya kutetea huo udhalilishaji uliomfanyia
Hahaha means Kwamba Kama Tungekuwa Tunawalipa kila Mwezi au kila Wiki wake zetu kwa kule Kuwa wake zetu Huu Utumwa Unaozungumziwa Na Feminists Ungekuwa ni Jambo la Kujivunia kabisa!!!
 
Hahaha means Kwamba Kama Tungekuwa Tunawalipa kila Mwezi au kila Wiki wake zetu kwa kule Kuwa wake zetu Huu Utumwa Unaozungumziwa Na Feminists Ungekuwa ni Jambo la Kujivunia kabisa!!!
Moja ya kanuni ya kuishi na mwanamke ni kumpuuza tu, mfano mzuri harakati zao za 50/50 wanazozipigia debe, kwa mtu mwenye akili ya kawaida tu unaona ni kitu ambacho practicaly hakiwezekani.

Hawa wenzetu sio wa kuwachukulia siriaz hawana uwezo wa kutafakari kimantiki ndio maana hata siku moja hauwezi kuona mwanafalsafa mwanamke. Nenda jukwaa la jamii inteligence huwezi kukuta michango ya wanawake kwa sababu mada zinazojadiliwa zimewazidi akili.
 
Salaam,

Wanawake wanaharakati wa Sasa Wanadai Ndoa Ni Utumwa kwa Mwanamke kwani anakuwa kama vile anamtumikia Mwanaume pia anakuwa hayupo Huru Kufanya Mambo yake. credit #The dadaz.

Pia wanapinga vikali Suala la mahali kwamba ni kana kwamba Mwanamke ni Bidhaa inayoweza kununuliwa.

Lakini Wakati Huo Huo Wanawake hao hao Wapo tayari kufanya Chochote kwa Mwanaume kwa ajili ya kupata hela.

Sijawahi kusikia feminists wakipaza sauti zao juu ya wanawake wanaojiuza (makahaba) maeneo mbalimbali ya majiji karibu kila mkoa.

Hutosikia wakipinga jambo lile jambo ambalo ndio khasa mwanamke amefanywa bidhaa inayoweza kununuliwa tena kwa makubaliano na kupunguziana bei. (Je feminists wanajua kweli wanachokitetea?)

Wanawake wanachezeshwa uchi kwenye kumbi za starehe ama nusu uchi kwenye music videos (sijui mnawaita vixens) lakini sijawahi kusikia hili likikemewa na feminists kwani linashusha heshima ya mwanamke sababu mwanamke anafanywa kama chombo cha starehe katika macho ya watu.

Iweje hata tangazo la matairi ya magari picha iwekwe mwanamke yupo robo tatu uchi. Lakini feminist hawana muda na haya mambo ambayo ndio khasa yanashusha heshima na utu wa mwanamke.

Hivi sasa kuna makampuni makubwa ya ku record video za wanawake wakifanya ngono kisha kurushwa hewani kwenye hizo videos wanawake wanafanyiwa mambo mengi ya ajabu ikiwemo kuingiliwa kinyume na maumbile kufanyiwa domination lakini hutosikia feminists wakisema kitu katika hili wao wapo busy na familia na ndoa.

Sasa hizi ukiwa na pesa nyingi unaweza kumchukua mwanamke hata hao wanaojiita super women na ukamfanyia chochote utakacho ilimradi uumpe hela nyingi ya vacation, au iphone au gari.

Mabinti nowdays uzinzi na umalaya(udangaji) sio jambo kubwa tena kama pesa ya kutosha itatolewa.
Lengo la feminist sio kupigania haki za wanawake bali Women Destruction of marriages( Ndoa).

Kasoro ya kwanza inakuja Feminists wote ni wale Loosers wa kwenye Ndoa.

Huwezi kuona Mwanamke aliyefanikiwa kwenye Ndoa akiwa Feminist.

Hamjiulizi shida iko wapi?
 
Mwanamke anajua kuwa anafanyiwa udhalilishaji endapo ikiwa hajalipwa pesa ambayo anaona inastahili yeye kufanyiwa huo udhalilishaji. Kama ukimlipa pesa ambayo anaona ni bei sahihi kwake basi unaweza kumfanyia udhalilishaji wowote na yeye ndie atatafuta sababu ya kutetea huo udhalilishaji uliomfanyia
Mwamba nondo zako kama kawaida hujawahi niangusha.
 
Mwanamke anajua kuwa anafanyiwa udhalilishaji endapo ikiwa hajalipwa pesa ambayo anaona inastahili yeye kufanyiwa huo udhalilishaji. Kama ukimlipa pesa ambayo anaona ni bei sahihi kwake basi unaweza kumfanyia udhalilishaji wowote na yeye ndie atatafuta sababu ya kutetea huo udhalilishaji uliomfanyia
Aisee......mpaka unashangaa anakupeleka ukamfanyie udhalilishaji yeye mwenyewe. Hata wale majeda waliofungwa ndio maana watu waliamini huenda walimnunua sema issue ilivuja sana
 
Moja ya kanuni ya kuishi na mwanamke ni kumpuuza tu, mfano mzuri harakati zao za 50/50 wanazozipigia debe, kwa mtu mwenye akili ya kawaida tu unaona ni kitu ambacho practicaly hakiwezekani.

Hawa wenzetu sio wa kuwachukulia siriaz hawana uwezo wa kutafakari kimantiki ndio maana hata siku moja hauwezi kuona mwanafalsafa mwanamke. Nenda jukwaa la jamii inteligence huwezi kukuta michango ya wanawake kwa sababu mada zinazojadiliwa zimewazidi akili.
Anayepigania 50/50 huwezi kumsikia anapigania Bills 50/50.

Wanafanya hivyo iliwalipwe tu . Huku kwa Ground ni mambo tofauti.

Nilipata Demu wa Kichaga alikuwa Kaksi ile mbaya......ukimsikia stori zake na mitandaoni anavyowajaza vichwa wasichana utajua hapa hakuna mwanamke.

Akija kwangu ananipigia magoti, ananifuria nguo ananitandikia na kunipikia chakula.

Nikishashiba namjaza na rungu.

Akitoka sasa akiwa nje anasema yeye hawezi pika, hawezi fua na kama mwanaume atakayemuona hana washing mashine atajijua.

Anawalisha matango wenzie kuwa yeye hajazaliwa kuwatumikia wanaume😅😅😅
 
Salaam,

Wanawake wanaharakati wa Sasa Wanadai Ndoa Ni Utumwa kwa Mwanamke kwani anakuwa kama vile anamtumikia Mwanaume pia anakuwa hayupo Huru Kufanya Mambo yake. credit #The dadaz.

Pia wanapinga vikali Suala la mahali kwamba ni kana kwamba Mwanamke ni Bidhaa inayoweza kununuliwa.

Lakini Wakati Huo Huo Wanawake hao hao Wapo tayari kufanya Chochote kwa Mwanaume kwa ajili ya kupata hela.

Sijawahi kusikia feminists wakipaza sauti zao juu ya wanawake wanaojiuza (makahaba) maeneo mbalimbali ya majiji karibu kila mkoa.

Hutosikia wakipinga jambo lile jambo ambalo ndio khasa mwanamke amefanywa bidhaa inayoweza kununuliwa tena kwa makubaliano na kupunguziana bei. (Je feminists wanajua kweli wanachokitetea?)

Wanawake wanachezeshwa uchi kwenye kumbi za starehe ama nusu uchi kwenye music videos (sijui mnawaita vixens) lakini sijawahi kusikia hili likikemewa na feminists kwani linashusha heshima ya mwanamke sababu mwanamke anafanywa kama chombo cha starehe katika macho ya watu.

Iweje hata tangazo la matairi ya magari picha iwekwe mwanamke yupo robo tatu uchi. Lakini feminist hawana muda na haya mambo ambayo ndio khasa yanashusha heshima na utu wa mwanamke.

Hivi sasa kuna makampuni makubwa ya ku record video za wanawake wakifanya ngono kisha kurushwa hewani kwenye hizo videos wanawake wanafanyiwa mambo mengi ya ajabu ikiwemo kuingiliwa kinyume na maumbile kufanyiwa domination lakini hutosikia feminists wakisema kitu katika hili wao wapo busy na familia na ndoa.

Sasa hizi ukiwa na pesa nyingi unaweza kumchukua mwanamke hata hao wanaojiita super women na ukamfanyia chochote utakacho ilimradi uumpe hela nyingi ya vacation, au iphone au gari.

Mabinti nowdays uzinzi na umalaya(udangaji) sio jambo kubwa tena kama pesa ya kutosha itatolewa.
Hapo kuna mafunzo ya dini yanapigwa vita.
Suala la ndoa ni la Mungu, lipo vitabuni.
Shetani na washirika wake wanatafuta wenza wa kuwa nao ktk maisha ya dhiki na adhabu huko mbinguni, hivyo wanaqatumia wanawake kutimiza mission
 
Anayepigania 50/50 huwezi kumsikia anapigania Bills 50/50.

Wanafanya hivyo iliwalipwe tu . Huku kwa Ground ni mambo tofauti.

Nilipata Demu wa Kichaga alikuwa Kaksi ile mbaya......ukimsikia stori zake na mitandaoni anavyowajaza vichwa wasichana utajua hapa hakuna mwanamke.

Akija kwangu ananipigia magoti, ananifuria nguo ananitandikia na kunipikia chakula.

Nikishashiba namjaza na rungu.

Akitoka sasa akiwa nje anasema yeye hawezi pika, hawezi fua na kama mwanaume atakayemuona hana washing mashine atajijua.

Anawalisha matango wenzie kuwa yeye hajazaliwa kuwatumikia wanaume😅😅😅
Ustawi wa jamii zote hapa duniani ulianza kuanguka kuanzia ile moment tuliyoanza kuwachukulia siriaz wanawake kwa kudhani tunawapa haki bila kutafakari kama wanao huo uwezo wa kuzitumia izo haki kiufasaha.

The worst mistake we did is to freed women from household duties.
 
Ustawi wa jamii zote hapa duniani ulianza kuanguka kuanzia ile moment tuliyoanza kuwachukulia siriaz wanawake kwa kudhani tunawapa haki bila kutafakari kama wanao huo uwezo wa kuzitumia izo haki kiufasaha.

The worst mistake we did is to freed women from household duties.
Duuh
 
Salaam,

Wanawake wanaharakati wa Sasa Wanadai Ndoa Ni Utumwa kwa Mwanamke kwani anakuwa kama vile anamtumikia Mwanaume pia anakuwa hayupo Huru Kufanya Mambo yake. credit #The dadaz.

Pia wanapinga vikali Suala la mahali kwamba ni kana kwamba Mwanamke ni Bidhaa inayoweza kununuliwa.

Lakini Wakati Huo Huo Wanawake hao hao Wapo tayari kufanya Chochote kwa Mwanaume kwa ajili ya kupata hela.

Sijawahi kusikia feminists wakipaza sauti zao juu ya wanawake wanaojiuza (makahaba) maeneo mbalimbali ya majiji karibu kila mkoa.

Hutosikia wakipinga jambo lile jambo ambalo ndio khasa mwanamke amefanywa bidhaa inayoweza kununuliwa tena kwa makubaliano na kupunguziana bei. (Je feminists wanajua kweli wanachokitetea?)

Wanawake wanachezeshwa uchi kwenye kumbi za starehe ama nusu uchi kwenye music videos (sijui mnawaita vixens) lakini sijawahi kusikia hili likikemewa na feminists kwani linashusha heshima ya mwanamke sababu mwanamke anafanywa kama chombo cha starehe katika macho ya watu.

Iweje hata tangazo la matairi ya magari picha iwekwe mwanamke yupo robo tatu uchi. Lakini feminist hawana muda na haya mambo ambayo ndio khasa yanashusha heshima na utu wa mwanamke.

Hivi sasa kuna makampuni makubwa ya ku record video za wanawake wakifanya ngono kisha kurushwa hewani kwenye hizo videos wanawake wanafanyiwa mambo mengi ya ajabu ikiwemo kuingiliwa kinyume na maumbile kufanyiwa domination lakini hutosikia feminists wakisema kitu katika hili wao wapo busy na familia na ndoa.

Sasa hizi ukiwa na pesa nyingi unaweza kumchukua mwanamke hata hao wanaojiita super women na ukamfanyia chochote utakacho ilimradi uumpe hela nyingi ya vacation, au iphone au gari.

Mabinti nowdays uzinzi na umalaya(udangaji) sio jambo kubwa tena kama pesa ya kutosha itatolewa.
Da!!! nasikia sauti ya uluzi kichwani mwangu!!!
 
Bongo hakuna feminist , na wala haki za wanawake bado hazijapewa kipaumbele ,na sheria za kuwalinda wanawake bado hazina makali , tena mshukuru sana mwanamke anakupa pole ukitoka kazini na kukuuliza kama umekula na kuwapasia na kuwafulia nguo 🤔
unasema nini wewe? kuna kesi ilikuwa inaunguruma mahakama moja hapa dsm,mwanamke analalamika mumewe wa ndoa anam"baka!!!..na kwa taarika kumwingilia mkeo bila ruksa yake ni kosa kisheria,,,,,
 
unasema nini wewe? kuna kesi ilikuwa inaunguruma mahakama moja hapa dsm,mwanamke analalamika mumewe wa ndoa anam"baka!!!..na kwa taarika kumwingilia mkeo bila ruksa yake ni kosa kisheria,,,,,
Acha kesi ingurume
 
1. Your writing is so pathetic.
2. You have a tainted soul and a corrupted spirit.
3. Stop masturbation.
4. Write properly like a Man.
Jina lenyewe lipu cjui liko usoni au kalioni
 
Hapo kuna mafunzo ya dini yanapigwa vita.
Suala la ndoa ni la Mungu, lipo vitabuni.
Shetani na washirika wake wanatafuta wenza wa kuwa nao ktk maisha ya dhiki na adhabu huko mbinguni, hivyo wanaqatumia wanawake kutimiza mission
Umesema kweli kabisa. Wanawake Wanatumika na shetani kuangamiza Familia.

Leo tunalalamika Watoto wa elfu mbili lakini hapo Ndio mwanzo wa kutokea Vizazi vya ajabu zaidi ikiwa harakati hizi zitaendelea kupewa Nguvu.


Historia inaonesha ni Rahisi kumuingia Mwanamke na Shetani analijua hilo vyema sana.


Watakuja hapa Super women kukataa lakini huo ndio ukweli. Wahanga wa Wachungaji feki ni Wanawake ,,, waganga Mapateli ni Wanawake.


Mwanamke ni rahisi kumshawishi.
 
Salaam,

Wanawake wanaharakati wa Sasa Wanadai Ndoa Ni Utumwa kwa Mwanamke kwani anakuwa kama vile anamtumikia Mwanaume pia anakuwa hayupo Huru Kufanya Mambo yake. credit #The dadaz.

Pia wanapinga vikali Suala la mahali kwamba ni kana kwamba Mwanamke ni Bidhaa inayoweza kununuliwa.

Lakini Wakati Huo Huo Wanawake hao hao Wapo tayari kufanya Chochote kwa Mwanaume kwa ajili ya kupata hela.

Sijawahi kusikia feminists wakipaza sauti zao juu ya wanawake wanaojiuza (makahaba) maeneo mbalimbali ya majiji karibu kila mkoa.

Hutosikia wakipinga jambo lile jambo ambalo ndio khasa mwanamke amefanywa bidhaa inayoweza kununuliwa tena kwa makubaliano na kupunguziana bei. (Je feminists wanajua kweli wanachokitetea?)

Wanawake wanachezeshwa uchi kwenye kumbi za starehe ama nusu uchi kwenye music videos (sijui mnawaita vixens) lakini sijawahi kusikia hili likikemewa na feminists kwani linashusha heshima ya mwanamke sababu mwanamke anafanywa kama chombo cha starehe katika macho ya watu.

Iweje hata tangazo la matairi ya magari picha iwekwe mwanamke yupo robo tatu uchi. Lakini feminist hawana muda na haya mambo ambayo ndio khasa yanashusha heshima na utu wa mwanamke.

Hivi sasa kuna makampuni makubwa ya ku record video za wanawake wakifanya ngono kisha kurushwa hewani kwenye hizo videos wanawake wanafanyiwa mambo mengi ya ajabu ikiwemo kuingiliwa kinyume na maumbile kufanyiwa domination lakini hutosikia feminists wakisema kitu katika hili wao wapo busy na familia na ndoa.

Sasa hizi ukiwa na pesa nyingi unaweza kumchukua mwanamke hata hao wanaojiita super women na ukamfanyia chochote utakacho ilimradi uumpe hela nyingi ya vacation, au iphone au gari.

Mabinti nowdays uzinzi na umalaya(udangaji) sio jambo kubwa tena kama pesa ya kutosha itatolewa.
Hii ni miongoni mwa thread zangu bora mpaka sasa
 
Back
Top Bottom