Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Ma ex inamaanisha zaidi ya mmoja!Sijui!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma ex inamaanisha zaidi ya mmoja!Sijui!!
Watu wanapandishwa vyeo tu shinyanga hii aiiisee hakika mwanamalundi alipa acha vizuri 😂😂Tena ni kidumu cha kuchotea maji shule ya msingi
Hahahah ina maana hakuna dume au jike?KAMA KONOKONO anayemtaimu mwenzake ndiye anakuwa kampa mimba
Hapo ni timing tuu.. Ila ukiwahiwa umekwisha
Ng'wanamalunde noma sanaWatu wanapandishwa vyeo tu shinyanga hii aiiisee hakika mwanamalundi alipa acha vizuri 😂😂
Haha hao wanaoua waume zao ili warithi mali?🙌Pandeni Kilimanjaro
Ujana umekuja na mambo mengi Tena mchanganyiko sana. Huu uwestern unatumaliza katika maswala ya mahusiano.Wazee wetu walifanikiwa hapo tu, u-morden utatumaliza vijana.
Nasikia ukitaka "kufuga" zaidi ya mmoja haiwezekani kufanya zoezi hilo kichwa kichwa, ni lazima uanzie kilingeni kwanza kupata baraka.Paka mapepe.. Hao inabidi ukichukua uwafanyie na featuring ya kilingeni
Hao wadada ni machotara, sio wasukuma halisi.Ukitaka kwenda kuoa Shinyanga nenda na adabu zote, usije jikuta unaambulia maumivu ya moyo.
Anatumia nini?Hao wadada ni machotara, sio wasukuma halisi.
Dada halisi wa kisukuma hatumii mkorogo.
Ni wachawi wakubwa hao kama hujui 😂Paka mapepe.. Hao inabidi ukichukua uwafanyie na featuring ya kilingeni
😂😂😂😂😂😂😂😂Wazee wa kuunganisha "doti"
Anatumia sabuni ya magwanji pekee ktk kuoga, na huwa wanajipaka mafuta ya rays tuAnatumia nini?
Ila kuna kitu kimoja sisi wanaume hatutaki kukubali. Wanachofanya wanawake sasa hivi ni tit for tat. Zamani ilikuwa karibu kila mwanaume mwenye mke alikuwa amejipa certificate ya kuzini nje ya ndoa na mwanamke akatakiwa awe na adabu zote. Ilikuwa ni uhaini kwa mwanamke kuchepuka ila mwanaume ni ruksa. Nyakati zimebadilika. Utandawazi umefanya wanawake wengi wawe wajanja hivyo wanajibu mapigo.Kabisa mkuu,tabia ni MTU mwenyewe
Mliooa wake wa Shinyanga tunawaombea ndoa ziwe na tija.
Si ndo 50 50....yaan ndoa saivi ni full mashindano.Haeleweki mume ni yupi,mke ni yupiIla kuna kitu kimoja sisi wanaume hatutaki kukubali. Wanachofanya wanawake sasa hivi ni tit for tat. Zamani ilikuwa karibu kila mwanaume mwenye mke alikuwa amejipa certificate ya kuzini nje ya ndoa na mwanamke akatakiwa awe na adabu zote. Ilikuwa ni uhaini kwa mwanamke kuchepuka ila mwanaume ni ruksa. Nyakati zimebadilika. Utandawazi umefanya wanawake wengi wawe wajanja hivyo wanajibu mapigo.
Ni wasukuma au wanyaturu?Ukitaka kwenda kuoa Shinyanga nenda na adabu zote, usije jikuta unaambulia maumivu ya moyo.
Ni wasukuma au wanyaturu?