Wanawake wa siku hizi mmekua wepesi kutongozeka hadi mnaboa

Dah pole mkuu! mke wa mtu halafu baada ya mechi haogi! WTF!!!!
 
Dada zetu Wazingatie ule wimbo wa Fid Q na matonya,"usinikubali Haraka"ili hamu na thaman yenu kwa muhusika anayetaka juduma yenu iwe na mashiko!!!
Kweli mkuu tena umenikumbusha, Fid aliimba sana mule.
 
Mwanamke ni Ibilisi jaman,unaweza ukawa unakunja kisawa sawa na ukahudumia vzr saana,bt akatiwa na jamaa kiulaini!!!mi nadhan na kutiwa nako imekua fashion kwa Dada zetu!!
 
Siku hizi hatutongozi, tunaandaa mazingira halafu tunachombeza tu... Kiroho safi tunapewa... Ukitongoza tu imekula kwako...
 
Huyo "ndugu yako" na huyo mwanamke wote ni warahisi na hawana tofauti.
 
yaan aliyewaloga kafa na hajaacha urthi mtaponaje wewe kutongoza hovyo huoni hujiheshimu?? kuingia kila mahali unaona ufahar eti unawalaumu wanawake poor mind..
 
Hii ni dharau Kwa wadada kabisa....!
 
yaan aliyewaloga kafa na hajaacha urthi mtaponaje wewe kutongoza hovyo huoni hujiheshimu?? kuingia kila mahali unaona ufahar eti unawalaumu wanawake poor mind..
Against rich mind...

[emoji57]
 
Wanaokula vitamu hawaongei.

At times u gotta play the role of a fool to fool the fool who thinks is fooling you.

Ana gonga ma changu anajisifia. Tehe
 
boss bonge la point... vigezo vigezo vigezo vigezo... kama ni kweli jamaa atakuwa na vigezo vyao plus sura ya mama yake

Na sio mwanamke akiwa mwepesi kwako basi ni mwepesi kwa kila mwanaume
wewe unaweza kumpata leo leo huku mwenzio ana mwaka wa pili anabembeleza
 
Na wewe ni mlaini unatongoza na kupiga siku hiyo hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…