Wanawake wa zama hizi wakija maghetoni hawafanyi usafi

Kila.mbuzi atakula kulingana na urefu wa kamba yake

[emoji38][emoji38][emoji38] Binti wa watu una mpa tu vipesa vichache chache ulafu unategemea return kubwaaa ?
Mkuu hawa hawana formula ,ni kuishi nao kimkakati tuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kama unataka wa kusafisha geto inabidi uoe sio binti wa watu katoka kwao kafanya mikazi kibao na aje kwako pia afanye na hizo ngono zenu[emoji57][emoji57]mfanye [emoji849]baba unapajua leba?
 
Mi nikija kwako ni mwendo wa mahaba tu kama huwezi kupika nunua leta tule!!!

Habari za kufika niaze kufua,kuosha vyombo,sio kazi yangu,mara moja moja nitakusaidia kukupangia nyumba!!!

Usafi utafanya mwenyewe!!!
 

NAKUBALI
 
Ukirudi chumba kama kilikua kidogo u adhangaa ki.aekua kikubwa maana vitu vimepangwa mpaka nafasi ikapatikana....na pananukia hatari mpaka unasema.mke si huyu....

Sasa hawapo tena

Walikufa na corona sijui[emoji28]
 
Mi nikija kwako ni mwendo wa mahaba tu kama huwezi kupika nunua leta tule!!!

Habari za kufika niaze kufua,kuosha vyombo,sio kazi yangu,mara moja moja nitakusaidia kukupangia nyumba!!!

Usafi utafanya mwenyewe!!!

Khaaa[emoji24]
 

Wamestukia sisi sio wahoaji ni kupiga na kuingia mitini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…