Wanawake waislam wanaheshimu sana wapenzi wao

Wanawake waislam wanaheshimu sana wapenzi wao

Wasalaam JF

Nimekoshwa sana na hulka na tabia ya wanawake waislam, wadada, wamama na mabinti ama kweli kama dini imewapa maarifa mema sana, mna heshima, mnajua kujishusha, kuomba radhi hamchoki, unyenyekevu na utii, heshima, adabu, usikivu pia hadi raha.

Mungu awatie nguvu mshichoke wala kukengeuka.

Inshallah imani isiwatoke vyovyote hata ukiteleza katika ukanda wa Dunia basi hivo hivo Mungu awe ndani yako Daima.

Hongereni sana sana, mashekhe, walezi, na wazazi.

🙏🙏🙏

Wadiz
Mke wa Mwaka Ni muislam,
Mke wa Haji Ni muislam.
 
Wasalaam JF

Nimekoshwa sana na hulka na tabia ya wanawake waislam, wadada, wamama na mabinti ama kweli kama dini imewapa maarifa mema sana, mna heshima, mnajua kujishusha, kuomba radhi hamchoki, unyenyekevu na utii, heshima, adabu, usikivu pia hadi raha.

Mungu awatie nguvu mshichoke wala kukengeuka.

Inshallah imani isiwatoke vyovyote hata ukiteleza katika ukanda wa Dunia basi hivo hivo Mungu awe ndani yako Daima.

Hongereni sana sana, mashekhe, walezi, na wazazi.

[emoji120][emoji120][emoji120]

Wadiz
hata kwenye sex wapo vizuri mno

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Mie msotuchoshe bwana mnaboa kama umeona wakufaa wewe basi mxiuu mnahangaika na hiyo dini yenu mnatia aibu kila kukicha mmechoka kwenye kubadili mnasifu wanawake zenu Nini shida ukiona hatutaki kubadili msitubadilishe .
 
Wasalaam JF

Nimekoshwa sana na hulka na tabia ya wanawake waislam, wadada, wamama na mabinti ama kweli kama dini imewapa maarifa mema sana, mna heshima, mnajua kujishusha, kuomba radhi hamchoki, unyenyekevu na utii, heshima, adabu, usikivu pia hadi raha.

Mungu awatie nguvu mshichoke wala kukengeuka.

Inshallah imani isiwatoke vyovyote hata ukiteleza katika ukanda wa Dunia basi hivo hivo Mungu awe ndani yako Daima.

Hongereni sana sana, mashekhe, walezi, na wazazi.

🙏🙏🙏

Wadiz

Unawazungumzia Kina Shishi bebi na Wema Sepenga?
 
Wasalaam JF

Nimekoshwa sana na hulka na tabia ya wanawake waislam, wadada, wamama na mabinti ama kweli kama dini imewapa maarifa mema sana, mna heshima, mnajua kujishusha, kuomba radhi hamchoki, unyenyekevu na utii, heshima, adabu, usikivu pia hadi raha.

Mungu awatie nguvu mshichoke wala kukengeuka.

Inshallah imani isiwatoke vyovyote hata ukiteleza katika ukanda wa Dunia basi hivo hivo Mungu awe ndani yako Daima.

Hongereni sana sana, mashekhe, walezi, na wazazi.

[emoji120][emoji120][emoji120]

Wadiz
Mm nimempata mtoto wa kiislam, kifupi ni zaidi ya mke na amekubali kubadili dini hata ukweni wanasema tu, ndoa iwe na Amani, wabarikiwe sana mabinti wa Kiislam
 
Back
Top Bottom