Wanawake waislam wanaheshimu sana wapenzi wao

Wanawake waislam wanaheshimu sana wapenzi wao

Wasalaam JF

Nimekoshwa sana na hulka na tabia ya wanawake waislam, wadada, wamama na mabinti ama kweli kama dini imewapa maarifa mema sana, mna heshima, mnajua kujishusha, kuomba radhi hamchoki, unyenyekevu na utii, heshima, adabu, usikivu pia hadi raha.

Mungu awatie nguvu mshichoke wala kukengeuka.

Inshallah imani isiwatoke vyovyote hata ukiteleza katika ukanda wa Dunia basi hivo hivo Mungu awe ndani yako Daima.

Hongereni sana sana, mashekhe, walezi, na wazazi.

[emoji120][emoji120][emoji120]

Wadiz
ni kweli ila kuwa making, hii ni kwa wanawake wa kiislamu, yaani wanawake waumini wa kiislamu, sio wanawake wenye majina ya kiislamu, wanaoitwa waislamu kwa Sababu wamerithi uislamu jina kutoka kwa wazazi wao na kupewa majina ya kiislamu.
 
Wasalaam JF

Nimekoshwa sana na hulka na tabia ya wanawake waislam, wadada, wamama na mabinti ama kweli kama dini imewapa maarifa mema sana, mna heshima, mnajua kujishusha, kuomba radhi hamchoki, unyenyekevu na utii, heshima, adabu, usikivu pia hadi raha.

Mungu awatie nguvu mshichoke wala kukengeuka.

Inshallah imani isiwatoke vyovyote hata ukiteleza katika ukanda wa Dunia basi hivo hivo Mungu awe ndani yako Daima.

Hongereni sana sana, mashekhe, walezi, na wazazi.

🙏🙏🙏

Wadiz
Aisee sio Waislamu wote, waswahili hujawahi kukutana nao.
 
Waoga tu wakuongezewa mke wa pili hadi wanne hakuna lolote ni heshima ya woga .mke wenza noma hakuna anayetaka ni ugumu wa maisha tu .

USSR
Maamuzi ni ya mwanaume, mimi nikiamua kuoa mke wapili naoa atake asitake

Na ukikuta mwanamke wa kiislam anayeishi kiislamu hawezi kukataa mumewe kuoa mke wa pili
 
Una maana ipi?
Dini inamchango wake kwahiyo usi ignore mimi niliwahi kuelezewa na rafiki yangu mmoja wa kike wa kislamu sisi wakristo hatuna system nzuri ya kufundisha mafundisho ya ndoa kwa kina tofauti na wenzetu wa kislamu ukimkuta binti wa kikristo ni yule ambaye kapata malezi mazuri ya Wazazi pamoja mila ya kikabila
 
Wasalaam JF

Nimekoshwa sana na hulka na tabia ya wanawake waislam, wadada, wamama na mabinti ama kweli kama dini imewapa maarifa mema sana, mna heshima, mnajua kujishusha, kuomba radhi hamchoki, unyenyekevu na utii, heshima, adabu, usikivu pia hadi raha.

Mungu awatie nguvu mshichoke wala kukengeuka.

Inshallah imani isiwatoke vyovyote hata ukiteleza katika ukanda wa Dunia basi hivo hivo Mungu awe ndani yako Daima.

Hongereni sana sana, mashekhe, walezi, na wazazi.

🙏🙏🙏

Wadiz
Ukweli mtupu....
 
Wasalaam JF

Nimekoshwa sana na hulka na tabia ya wanawake waislam, wadada, wamama na mabinti ama kweli kama dini imewapa maarifa mema sana, mna heshima, mnajua kujishusha, kuomba radhi hamchoki, unyenyekevu na utii, heshima, adabu, usikivu pia hadi raha.

Mungu awatie nguvu mshichoke wala kukengeuka.

Inshallah imani isiwatoke vyovyote hata ukiteleza katika ukanda wa Dunia basi hivo hivo Mungu awe ndani yako Daima.

Hongereni sana sana, mashekhe, walezi, na wazazi.

🙏🙏🙏

Wadiz
Hata kwenye mapishi wengi wao wapo vizuri sana.
 
Wasalaam JF

Nimekoshwa sana na hulka na tabia ya wanawake waislam, wadada, wamama na mabinti ama kweli kama dini imewapa maarifa mema sana, mna heshima, mnajua kujishusha, kuomba radhi hamchoki, unyenyekevu na utii, heshima, adabu, usikivu pia hadi raha.

Mungu awatie nguvu mshichoke wala kukengeuka.

Inshallah imani isiwatoke vyovyote hata ukiteleza katika ukanda wa Dunia basi hivo hivo Mungu awe ndani yako Daima.

Hongereni sana sana, mashekhe, walezi, na wazazi.

🙏🙏🙏

Wadiz
kuna kipindi nilijafanya kutoa dawa sana dini na kuhusu islamu mpaka wake za watu nikala ?.kumbuka dini sio tabia bali tabia ya mtu
 
Dini inamchango wake kwahiyo usi ignore mimi niliwahi kuelezewa na rafiki yangu mmoja wa kike wa kislamu sisi wakristo hatuna system nzuri ya kufundisha mafundisho ya ndoa kwa kina tofauti na wenzetu wa kislamu ukimkuta binti wa kikristo ni yule ambaye kapata malezi mazuri ya Wazazi pamoja mila ya kikabila
Nimejibu kutokana na ninayoyaona kwenye jamii inayonizunguka. Hayo uliyoandika ni ya kwako kutokana na mtizamo wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom