Wanawake wakiamua kushirikiana kwa dhati wanaume mpo hatarini

Wanawake wakiamua kushirikiana kwa dhati wanaume mpo hatarini

Afu vifanyio vyenyewe vilivyo adimu sasa. Hivi hawaoni wenzao wanavyosababisha bei za matango kupanda?

Unaona sasa.... japo inaonekana kuwa hadimu huo uhadimu unapingana kabisa na theories za uchumi kwa bidhaa hadimu

Na hapo ndio unajua uzinzi ni laana

Vinginevyo wanaume ndio mngekua mnalipwa😆😆
 
Unaona sasa.... japo inaonekana kuwa hadimu huo uhadimu unapingana kabisa na theories za uchumi kwa bidhaa hadimu

Na hapo ndio unajua uzinzi ni laana

Vinginevyo wanaume ndio mngekua mnalipwa😆😆
Huko tuendako lazima mtulipe. Si umeona tushaanza kuwapa rushwa ya urais?

Mdogomdogo wenyewe mtalipia huduma. Au hujaona tulivyokuwa wachache? Utafiti wangu wa kipagazi umethibitisha pasipo na shaka kuwa ratio ya vifanyio vya kiume na viburudisho vya kike ni 1 kwa 5.

Imagine wachuchu watano mnampigania legend mmoja... afu mje msikie kuna mmoja wenu kacharanga kifanyio chenu... itatokea vita ya nane ya dunia wallah
 
Ila majirani na Kakamega yenu mnatia aibu sana...
 
Hiyo ndio dawa muhimu ila huwezi kujua jamaa alikuwa kwenye hali gani maana wanasema njaa ikizidi yule simba anaweza kula hata nyasi !

Imemgharimu sana
 
Kama uliwahisikia yale maandiko yanayosema "Halafu ile tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi, na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti." Hii nayo ni maana yake sasa[emoji116]


Yaani mwanaume unaacha mkeo nyumbani unaamua kuchepuka.. Kule unakochepukia unashindwa kuulipa mchepuko malipo yake, unapigwa na mchepuko, marafiki wa mchepuko nao wanakupiga, unakatwa uume, unatibiwa kisha unawekwa ndani kwa kosa la kudaiwa malipo ya uzinzi......

Uukitoka huko ndani/ police unakuta mchepuko na team yake wamewalipa wanaume wenzio wakupige tena[emoji134]‍♂️[emoji134]‍♂️[emoji134]‍♂️[emoji134]‍♂️

Muwe na sabasaba njema yenye furaha, utulivu na amani
Wanawake washirikiane??
 
Kimeumanaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa kweli hiyo ni gharama isiyolipika hao kina dada waliamua kukata "mzizi wa fitna"...uzinzi kwisha habari yake🤣

Hafanyi tena. Kifanyio hamnaaà
 
Back
Top Bottom