Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Kuna kuvumilia miaka mingi hiyo kwa sababu unaona kabisa kwa wakati huu Mimi na mwenzangu haitowezekana kufunga ndoa kwa sababu ya shule, mipango n.k na unaona kabisa huyu mtu yupo serious. Ila pia mtu akisema akuache akaolewe na mwingine mwenye utayari wa ndoa mnalaaani hao; na kuomba huko alikokwenda aachike. Siku ukisikia ex wako ndoa imemshinda unafanya sherehe as if una uhakika kuwa ungekuwa naye mngeishia ndoani. Hamna jema baadhi yenu na bila hata kujua kuwa sometimes likuepukalo lina kheri nawe.
 
Na kwa nini mnajiingiza kwenye mapenzi wakati bado mnasoma?
 
Huyu mwanamke bonge la genius...alikuwa anajua kabisa kuwa duniani principle ni kwamba mwanaume anahudumia mwanamke anatoa mbususu
Tatuzo ya wanawake wengi wanataka kupiga wanaume mizunga alafu mbususu hataki kutoa.
Kwa hiyo huyo ndiyo mke mwema na hajatumika kuliko hawa singles wa 30s?
 
Hao mm ndowangu Sasa kwanza wapo chipu sana ukiwa na dagaa tu ukampelekea anakupa yote habakishi hata chenji
 
Neema kachokaaaaaaa
 
Jamani sii ameolewa mapema sasa inakuwaje anatumika kuliko single na miaka 30
Alikuwa na wanaume zaidi ya watatu wakati huo; ndiyo mmoja akatangaza ndoa; so hajatumika sana huyo na ana tabia njema ya wife material? Na hakuna wake za watu wanaotumika nje?
 
Alikuwa na wanaume zaidi ya watatu wakati huo; ndiyo mmoja akatangaza ndoa; so hajatumika sana huyo na ana tabia njema ya wife material?
Unajua tatizo lenu lipo sehemu moja....ishu sio idadi ya wanaume anao juggle kwa wakati mmoja ishu ni kwamba unagegedwa kabla ya ndoa.

Hukukutokugegedwa na wanaume wengi ni maamuzi yako wewe mwanamke lakini bado una kosa sifa za wife material as long as unagegedwa kabla ya ndoa.

Same applies kwa mwanaume. Mzabzab nagegeda wanawake labd arobani kwa mwaka mwengine anagegeda mmoja huyo huyo mwaka mzima. Hapa sie wote ni wazinzi tuuna hatuna sifa za kuwa husband material
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…