Aisee....kumbe nyie wenyewe mnapenda kuwa loose ball🤣🤣🤣🤣Psychological sett up, tatizo kubwa la wanawake wa Kiafrika ni kutofanya mazoezi. Uchumi wako ukiwa vizuri, una afya njema, life goals, hutakuwa na muda wa kulala kanisani ukiomba ndoa.
siwezi,dada zangu na wao watapambana hukoNi mama na dada zetu ujue.
Tuwahurumie mkuu
Ni ukweli kabisaa halafu tunanenepeanan kama mabosi wa tanroad sisi wenyewe tunajifungiaga bahati .Psychological sett up, tatizo kubwa la wanawake wa Kiafrika ni kutofanya mazoezi. Uchumi wako ukiwa vizuri, una afya njema, life goals, hutakuwa na muda wa kulala kanisani ukiomba ndoa.
Yote unayataka wewe ujue, hebu njoo huku tukisubiri siku za kuzikana, huwezi teseka mimi nipo ujue.Uzi unachoma huu, ila muhimu uhai[emoji849]
Sitaki kuwa mke wa pili mimi😂😂 nna wivu mno naweza kukumeza ili ubaki ndani hata nje usotoke😀Yote unayataka wewe ujue, hebu njoo huku tukisubiri siku za kuzikana, huwezi teseka mimi nipo ujue.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sure kabsaPsychological sett up, tatizo kubwa la wanawake wa Kiafrika ni kutofanya mazoezi. Uchumi wako ukiwa vizuri, una afya njema, life goals, hutakuwa na muda wa kulala kanisani ukiomba ndoa.
We nimeze tu, mie mwenyewe namezeka vizuri tu, wala sikukwami kwenye koo[emoji23][emoji23]Sitaki kuwa mke wa pili mimi[emoji23][emoji23] nna wivu mno naweza kukumeza ili ubaki ndani hata nje usotoke[emoji3]
Shida yako hiyo tu, basi wewe utakuwa mke wa kwanza yeye wa pili, unasemaje[emoji23][emoji1787]Sitaki kuwa mke wa pili mimi[emoji23][emoji23] nna wivu mno naweza kukumeza ili ubaki ndani hata nje usotoke[emoji3]
Unakuwa mhuni tu.Psychological sett up, tatizo kubwa la wanawake wa Kiafrika ni kutofanya mazoezi. Uchumi wako ukiwa vizuri, una afya njema, life goals, hutakuwa na muda wa kulala kanisani ukiomba ndoa.
Nimesema wanawake sio wa kuhurumia acha wapgike mpaka akili ziwakae sawa.
Thamani ya mtu sio miaka usijikatie tamaaUzi unachoma huu, ila muhimu uhai[emoji849]
Wewe ndio yule "kufa kufaana.."??Nimekutana nao kwenye semina ya afya mmoja amesema kwa uchungu nanukuu "Wanawake tupo wengi kuliko wanaume, inatulazimu tukubali tu hata kama ni waume za watu maana mahitaji ya kimaumbile hatuwezi kushindana nayo, lakini tunaumizwa sana, huko tukienda inabidi tujikinge, kinga zenyewe zinatupa mateso maana sijui zinapitia wapi zinatuwasha ni majanga tu" alisikika mhanga akilalamika
Uzi unachoma huu, ila muhimu uhai[emoji849]
Usahihi wa mtu ni upi?lakini ni muhimu uingie kwenye ndoa na mtu sahihi
Kabisa.Yote yanasababishwa na umasikini.
Ahsante mdogo wangu[emoji23][emoji23]pole dada angu