Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Psychological sett up, tatizo kubwa la wanawake wa Kiafrika ni kutofanya mazoezi. Uchumi wako ukiwa vizuri, una afya njema, life goals, hutakuwa na muda wa kulala kanisani ukiomba ndoa.
Aisee....kumbe nyie wenyewe mnapenda kuwa loose ball🤣🤣🤣🤣
 
Psychological sett up, tatizo kubwa la wanawake wa Kiafrika ni kutofanya mazoezi. Uchumi wako ukiwa vizuri, una afya njema, life goals, hutakuwa na muda wa kulala kanisani ukiomba ndoa.
Ni ukweli kabisaa halafu tunanenepeanan kama mabosi wa tanroad sisi wenyewe tunajifungiaga bahati .
Tunajibweteka hadi keroo .
Ila ukiona wazungu always they are looking good hawana manyama nyama.
Hata awe 40 hujui hadi aseme
 
Psychological sett up, tatizo kubwa la wanawake wa Kiafrika ni kutofanya mazoezi. Uchumi wako ukiwa vizuri, una afya njema, life goals, hutakuwa na muda wa kulala kanisani ukiomba ndoa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sure kabsa
 
Psychological sett up, tatizo kubwa la wanawake wa Kiafrika ni kutofanya mazoezi. Uchumi wako ukiwa vizuri, una afya njema, life goals, hutakuwa na muda wa kulala kanisani ukiomba ndoa.
Unakuwa mhuni tu.
Hata wenzako wataogopa usiwasogelee waume zao

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Nimekutana nao kwenye semina ya afya mmoja amesema kwa uchungu nanukuu "Wanawake tupo wengi kuliko wanaume, inatulazimu tukubali tu hata kama ni waume za watu maana mahitaji ya kimaumbile hatuwezi kushindana nayo, lakini tunaumizwa sana, huko tukienda inabidi tujikinge, kinga zenyewe zinatupa mateso maana sijui zinapitia wapi zinatuwasha ni majanga tu" alisikika mhanga akilalamika
Wewe ndio yule "kufa kufaana.."??
 
Back
Top Bottom