Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

mzabzab ukute ni mtu mzima kabisa na family yake,lakini sasa unavyojichetua[emoji23]



Sent using Jamii Forums mobile app
Ah mie wala sina familia....nipo nipo tuu sina mbele wa nyuma kama mche wa sabuni.....sii unajua tena vijana na bodaboda zetu mnatudharau sana nyie wananwake lakini sie ndio wagegedaji wazuri wa wake za watu
 
Ah mie wala sina familia....nipo nipo tuu sina mbele wa nyuma kama mche wa sabuni.....sii unajua tena vijana na bodaboda zetu mnatudharau sana nyie wananwake lakini sie ndio wagegedaji wazuri wa wake za watu
Ndo maana sipendi bodaboda Mir[emoji23]

Unapaki wapi nianze Doria kuanzia Leo[emoji2440]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie nipo huku mbande ya kaliua
Ukiona hivi ujue ni mawardat[emoji1541]
IMG_20220429_100749.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindi unamfukuzia alisumbua sana mpaka ukata taama kumuoa ikabidi uchukue mwengine. Muda wakati age ina bamba alikuwa anataka vigezo na masharti ni yupi mwanaume gani ampendaye.

Hivi vitu viwili ndivo baadae umri ukifika miaka 30 kwa wanawake wanatia huruma sana yani anaomba hata umzalishe au hawe nyumba ndogo maana hakuna wa kumsimamia kwenye maisha yake.

Ukienda makanisani wakisema watoke mbele wanaotaka maombi ya kuolewa yaani kundi litakalotoka hapo unaweza kusema msafara wa nyumbu na wote age zishakata.

Umri kuanzia miaka 30 kwenda mbele mbwembwe zinakuwa zimepoa sana zile za usumbufu sijui kila dakika kuomba pesa wanapompata mwanaume ili wasije kumkosa.

Umri kuanzia miaka 30 ukimwambie tuzae yani kama umefungulia mnara wa redio tanzania masafa yote ni wewe tu idadi utakayotaka ili mradi matunzo.

Umri kuanzia 30 kwenda mbele ukimtongoza cha kwanza kuna mawili kumuomba mungu sana utulie au kwenda kukupiga ban hata ya Jf ndogo ili usifurukute.

Yaani wale wote waliokukataa ukikutana nao wanitia huruma.
Mengi hayasemeki
 
Back
Top Bottom