Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Kinacho waponza wanawake wa Kitanzania ni kudanganywa na viongozi wa dini na motivation speakers kwamba Mwanaume atakaye kutaka lazima awe na pesa lazima akutunze kama malkia...
Ukweli ni kwamba ukiona mwanaume ana pesa za kuweza kukuridhisha ujue kuna mwanamke nyuma yake alianza naye from zero, kwahiyo kwako anatumia pesa kujiburudisha na kukudampo baada ya muda na kubaki na mwanamke wake...
Ndiyo maana sikuhiz wanawake wengi wanajikuta ni malaya kwasabab ya kupenda pesa wanakuja kushituka miaka 30 hii hapa, ndiyo wanatambua kumbe mahusiano sio pesa ni kuwa committed na mtu, the moment akili zina warudi hakuna mwanaume anataka kuoa mwanamke ana miaka 30 kashazeeka kachoka na sura imepoteza nuru kwa kulala na Wanaume...
Mimi nashauri vijana endeleeni kuwachezea hawa wanawake wanaopenda pesa hadi wafe bila kizaz. Uzuri kijana wa kiume unaoa muda wowote unaotaka wewe kazi kwao. Wanawake ambao mpo below 30 badirikeni otherwise mtaishia kuitwa Madungaembe...
Mzee baba naunga mkono hoja yako ni kweli Wanawake wa Siku hizi wamekuwa wanapenda pesa kupita kiasi na ndiomaana wengine wanaenda uko uwarabuni wanakuwa mavi ya warabu Eti Lisa pesa na wengine wameingia kwenye biashara ya kudanga
 
Kumbe...ila wanawake nanyi mnakuaga akili fyatu sana...sasa miaka minne wee u ageggedwagwa tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hustiki kuwa unahitaji kuolewa.

Mie mbona wangu alinipa ultimatum alivyoona mwaka na nusu hamna muelekeo wa mzabzab kuoa.....na kweli akaenda akolewa
[emoji3][emoji3] apo kwenye uelekeo Kuna aina 2 bhana. Kuna yule unamuona kabisa yupo vyema kiuchumi na uwezo wa kulea familia anao lakini Hana Muda wa kukwambia nataka kwenda kwenu, apa Sasa Binti anatakiwa kukimbia vizuri tuu, maana uwenda yupo mwengine aayetarajiwa kuolewa. Na siku ya kugundua ni ndoa ya huyo mwenzie. Haiwezekani 6 yrs unagegedwa tu na mwanaume uwezo anao wa kukuoa na kulea familia.

Na Kuna aina ya 2, ndo hii ya mtoa mada, kwamba bado hajajitengemaa kimaisha, ndo anatafuta, apo ni haki ya mwanamke kukusubiria wewe maana anakupenda kiukweli, kwa iyo usije ukamcheka Kwa kukaa 4 yrs akikusubiri ww upande kiuchumi na huo ndiyo upendo wa kweli. Si kwasbb Hana ndiyo umkimbie.
 
[emoji3][emoji3] apo kwenye uelekeo Kuna aina 2 bhana. Kuna yule unamuona kabisa yupo vyema kiuchumi na uwezo wa kulea familia anao lakini Hana Muda wa kukwambia nataka kwenda kwenu, apa Sasa Binti anatakiwa kukimbia vizuri tuu, maana uwenda yupo mwengine aayetarajiwa kuolewa. Na siku ya kugundua ni ndoa ya huyo mwenzie. Haiwezekani 6 yrs unagegedwa tu na mwanaume uwezo anao wa kukuoa na kulea familia.

Na Kuna aina ya 2, ndo hii ya mtoa mada, kwamba bado hajajitengemaa kimaisha, ndo anatafuta, apo ni haki ya mwanamke kukusubiria wewe maana anakupenda kiukweli, kwa iyo usije ukamcheka Kwa kukaa 4 yrs akikusubiri ww upande kiuchumi na huo ndiyo upendo wa kweli. Si kwasbb Hana ndiyo umkimbie.
Nimependa maneno yako umeongea kwa akili kubwa upo smart kichwani
 
Sasa mbona mnaongelea 30+ as if ndiyo wamechoka kwa uzinzi na wote walioolewa mapema waliolewa mabikra?. Point yangu ilikuwa kwamba kuolewa mapema haimaanishi ya kwamba ndiyo una tabia njema na hujatumika sana. Na kuwa single at 30s hakumanaishi kwamba una tabia mbaya na umetumika sana as wengi mnavyojumuisha humu.
Una point mzuri bidada sema mwamba anashindwa kukuelewa
 
Wako wanawake walioelewa wakaishi na wanaume kwa vipato vyao. Mwsho wa siku yule boko haram alivyopata mafanikio mwanamke huyu hakuna rangi aliacha kuiona. Too sad.

Mara anaanza kuona madhaifu kuwa makubwa sana. Anajifanya kamuona mwngne mwenye tabia na haiba nzuri kushinda huyu alomvumilia. Kwa jeuri anamuacha huyu na kwenda kwa huyu. Hili jambo ndo limefanya wanawake wengi wasitake kusikia habari za kustruggle na mwanaume. Baadhi ya baba zetu baada ya kuyapatia maisha mama zetu wakaletewa ndugu zetu from external sources wengi tu..hata babu zetu pia.

Tuache unafiki. Many of the families ambazo zina bibi watatu au wanne angalia shangazi, mama, baba na uncles kama kuna ule umoja percee. Wajukuu ndo kabisaaa. Kuchanganya madesa kunaharibu unity katika familia.
Nshatoka out of topic mtumeee..
Umenifurahisha sana kwenye Neno External source...nimecheka mnooo!! Wazee wameamua ku outsource baada ya mambo kuwa mukide.
 
Deby umeongea kitu kikubwa sana. Wengi wanaowangelea maex zao vibaya sana au kuchekelea wakipatwa na mabaya; either bado wanawapenda au bado wapo bitter kwa sababu waliachwa. So kuona kwamba watu waliowaacha bado hawajaolewa; kunaupa raha uchungu uliopo moyoni wao. Shit happens kwenye mahusiano lakini tunasamehe na kusonga kwa amani. Tena kama uliachwa na leo upo mahali pazuri; ndiyo kwanza unashukuru uliachwa maana asingekuacha leo usingekuwa na mahusiano yako unayoyafurahia hivyo. Lakini inaonesha wengi hawana furaha na mahusiano yao, ndiyo maana kila siku kuchungulia na kuwatega maex zao; inawapa ahueni kuona mambo hayajawakalia vizuri.

Hata ulimwengu upinduke Leo; haitotokea kwamba wanawake wote waolewe below 30; Kila mtu ataolewa kwa wakati wake. Na haimaanishi aliyeolewa na miaka 23 ni msafi au hakuwahi kufanya makosa ndiyo maana akaolewa mapema; na hawa 30+ ambao hawajaolewa wote ni wachafu na walifanya makosa makubwa huko nyuma ndiyo maana hawajaolewa hadi leo. Au kwamba waliopo kwenye ndoa wana amani sana na mafanikio kuliko single. Ndiyo maana kuna divorces,separation kutoana roho, cheating kila siku kwa wanandoa n.k; je kuolewa mapema ndiyo guarantee ya kuwa wewe ni wife material na kudumu kwenye ndoa?

Binti wa kwanza kuolewa darasani kwetu (chuo) ni wale mabinti ambao kwa macho yetu ya kibanadamu; unasema hakuna mwanaume mwenye akili timamu atakayemuoa huyu. Anakwambia kabisa Mimi nikimaliza kulala na boyfriend wangu naingia kwenye wallet, nachomoa hela naondoka; sifanywi bure. Hapo ana wanaume zaidi ya watatu na anakwambia kabisa katika hawa wote lazima tu kuna mmoja atakuwa na wazo la ndoa so nitaolewa na huyohuyo; unlike nyie mnaodate mtu mmoja for years afu ukija kuachwa umri unakucheka. Na kweli hatujafanya hata graduation alikuwa ameshaolewa tayari. Je huyu ni mtakatifu na hajatumika kuliko mabinti wote 30+ singles?

Mwenyekiti wetu wa dini aliolewa akiwa na miaka 30 na akiwa virgin bado; je alikuwa na tatizo lolote au alichagua chagua sana umri ukaenda? So sio sawa kuconclude kwamba Kila aliye 30+ ni ana ana matatizo na ametumika kuliko wa 20s. Wapo wengi tu wanaojitunza miili yao, wanaamua kuendelea na mambo yanayoadd value kwenye maisha yao huku wakisubiri wakati na bahati zao; yes maisha lazima yaendelee, what if usipokuja kuolewa?. Kuolewa in your 20s sio kwamba ndiyo mtakatifu au unafaa sana kuliko wengine; ni vile tu wakati wako na bahati yako ilifika mapema kabla ya kwa mwenzio.

Tupunguze kuwapa pressure hawa mabinti; hata sisi kuna vitu kibao hatuna na wenzetu walivipata mapema sana. Wakati na Bahati huwapata wote (Mhubiri 9:11). So Kila mtu ataolewa kwa wakati wake; na hata atakayeolewa akiwa na miaka 45 still hiyo ni achievement kwake sawa na ambaye tu alipata achievement yake akiwa 20s. Hakuna Mungu kati yetu; so tusiwekeane Timelines zetu za kibinadamu. Cha muhimu ni kuwasisitiza tu kwamba; wajitunze na waendelee kuserve purpose zao.
Kabisa dada, si vizuri kumuombea mtu mabaya. Na iyo yote inatokana na bado wanawapenda ndiyo maana wanatazamia kupata majanga iwe ndiyo furaha yao Kila siku..... Hakuna sehemu iliyosema kuwa aliyeolewa 20s ndiyo mtakatifu Sana au ndo amejitunza au aliyeolewa 30s basi ni kurubembe.

Kuna watu Wana 3os lakini hawajawahi kuguswa ata mara 1 Ila tu bado hawajapata bahati ya kukutana na wale waliopangiwa kuwa Mume wake.
 
Deby umeongea kitu kikubwa sana. Wengi wanaowangelea maex zao vibaya sana au kuchekelea wakipatwa na mabaya; either bado wanawapenda au bado wapo bitter kwa sababu waliachwa. So kuona kwamba watu waliowaacha bado hawajaolewa; kunaupa raha uchungu uliopo moyoni wao. Shit happens kwenye mahusiano lakini tunasamehe na kusonga kwa amani. Tena kama uliachwa na leo upo mahali pazuri; ndiyo kwanza unashukuru uliachwa maana asingekuacha leo usingekuwa na mahusiano yako unayoyafurahia hivyo. Lakini inaonesha wengi hawana furaha na mahusiano yao, ndiyo maana kila siku kuchungulia na kuwatega maex zao; inawapa ahueni kuona mambo hayajawakalia vizuri.

Hata ulimwengu upinduke Leo; haitotokea kwamba wanawake wote waolewe below 30; Kila mtu ataolewa kwa wakati wake. Na haimaanishi aliyeolewa na miaka 23 ni msafi au hakuwahi kufanya makosa ndiyo maana akaolewa mapema; na hawa 30+ ambao hawajaolewa wote ni wachafu na walifanya makosa makubwa huko nyuma ndiyo maana hawajaolewa hadi leo. Au kwamba waliopo kwenye ndoa wana amani sana na mafanikio kuliko single. Ndiyo maana kuna divorces,separation kutoana roho, cheating kila siku kwa wanandoa n.k; je kuolewa mapema ndiyo guarantee ya kuwa wewe ni wife material na kudumu kwenye ndoa?

Binti wa kwanza kuolewa darasani kwetu (chuo) ni wale mabinti ambao kwa macho yetu ya kibanadamu; unasema hakuna mwanaume mwenye akili timamu atakayemuoa huyu. Anakwambia kabisa Mimi nikimaliza kulala na boyfriend wangu naingia kwenye wallet, nachomoa hela naondoka; sifanywi bure. Hapo ana wanaume zaidi ya watatu na anakwambia kabisa katika hawa wote lazima tu kuna mmoja atakuwa na wazo la ndoa so nitaolewa na huyohuyo; unlike nyie mnaodate mtu mmoja for years afu ukija kuachwa umri unakucheka. Na kweli hatujafanya hata graduation alikuwa ameshaolewa tayari. Je huyu ni mtakatifu na hajatumika kuliko mabinti wote 30+ singles?

Mwenyekiti wetu wa dini aliolewa akiwa na miaka 30 na akiwa virgin bado; je alikuwa na tatizo lolote au alichagua chagua sana umri ukaenda? So sio sawa kuconclude kwamba Kila aliye 30+ ni ana ana matatizo na ametumika kuliko wa 20s. Wapo wengi tu wanaojitunza miili yao, wanaamua kuendelea na mambo yanayoadd value kwenye maisha yao huku wakisubiri wakati na bahati zao; yes maisha lazima yaendelee, what if usipokuja kuolewa?. Kuolewa in your 20s sio kwamba ndiyo mtakatifu au unafaa sana kuliko wengine; ni vile tu wakati wako na bahati yako ilifika mapema kabla ya kwa mwenzio.

Tupunguze kuwapa pressure hawa mabinti; hata sisi kuna vitu kibao hatuna na wenzetu walivipata mapema sana. Wakati na Bahati huwapata wote (Mhubiri 9:11). So Kila mtu ataolewa kwa wakati wake; na hata atakayeolewa akiwa na miaka 45 still hiyo ni achievement kwake sawa na ambaye tu alipata achievement yake akiwa 20s. Hakuna Mungu kati yetu; so tusiwekeane Timelines zetu za kibinadamu. Cha muhimu ni kuwasisitiza tu kwamba; wajitunze na waendelee kuserve purpose zao.
Mhhh mwanamke Ameongea...sijui kama kuna sehemu umeacha kitu. Wacha tujitafakari na heading na contents zetu.
 
Sio kipaumbele ila ni muhimu
Kama pesa ilivyo na umuhimu kwenye maisha.kama unaweza kufanya kazi usiyoipenda kabisa kwa maisha yako yote kisa upate pesa ndivyo hivyo hivyo watu wanajibebesha mimba ilimradi wapate ndoa/familia

Phd ni muhimu ila ukiwa na familia inayoeleweka inafanya Phd yako iwe nzuri zaidi
Ila ukiwa na Phd bila familia inashusha thamani yako ambayo ulidhani ungeipata kupitia hyo Phd
Ahsante kwa Point muhimu sana. [emoji441][emoji350][emoji351]
 
Kipindi unamfukuzia alisumbua sana mpaka ukata taama kumuoa ikabidi uchukue mwengine. Muda wakati age ina bamba alikuwa anataka vigezo na masharti ni yupi mwanaume gani ampendaye.

Hivi vitu viwili ndivo baadae umri ukifika miaka 30 kwa wanawake wanatia huruma sana yani anaomba hata umzalishe au hawe nyumba ndogo maana hakuna wa kumsimamia kwenye maisha yake.

Ukienda makanisani wakisema watoke mbele wanaotaka maombi ya kuolewa yaani kundi litakalotoka hapo unaweza kusema msafara wa nyumbu na wote age zishakata.

Umri kuanzia miaka 30 kwenda mbele mbwembwe zinakuwa zimepoa sana zile za usumbufu sijui kila dakika kuomba pesa wanapompata mwanaume ili wasije kumkosa.

Umri kuanzia miaka 30 ukimwambie tuzae yani kama umefungulia mnara wa redio tanzania masafa yote ni wewe tu idadi utakayotaka ili mradi matunzo.

Umri kuanzia 30 kwenda mbele ukimtongoza cha kwanza kuna mawili kumuomba mungu sana utulie au kwenda kukupiga ban hata ya Jf ndogo ili usifurukute.

Yaani wale wote waliokukataa ukikutana nao wanitia huruma.
Sio vibaya kuwasaidia wawili watatu mkuu
 
Deby umeongea kitu kikubwa sana. Wengi wanaowangelea maex zao vibaya sana au kuchekelea wakipatwa na mabaya; either bado wanawapenda au bado wapo bitter kwa sababu waliachwa. So kuona kwamba watu waliowaacha bado hawajaolewa; kunaupa raha uchungu uliopo moyoni wao. Shit happens kwenye mahusiano lakini tunasamehe na kusonga kwa amani. Tena kama uliachwa na leo upo mahali pazuri; ndiyo kwanza unashukuru uliachwa maana asingekuacha leo usingekuwa na mahusiano yako unayoyafurahia hivyo. Lakini inaonesha wengi hawana furaha na mahusiano yao, ndiyo maana kila siku kuchungulia na kuwatega maex zao; inawapa ahueni kuona mambo hayajawakalia vizuri.

Hata ulimwengu upinduke Leo; haitotokea kwamba wanawake wote waolewe below 30; Kila mtu ataolewa kwa wakati wake. Na haimaanishi aliyeolewa na miaka 23 ni msafi au hakuwahi kufanya makosa ndiyo maana akaolewa mapema; na hawa 30+ ambao hawajaolewa wote ni wachafu na walifanya makosa makubwa huko nyuma ndiyo maana hawajaolewa hadi leo. Au kwamba waliopo kwenye ndoa wana amani sana na mafanikio kuliko single. Ndiyo maana kuna divorces,separation kutoana roho, cheating kila siku kwa wanandoa n.k; je kuolewa mapema ndiyo guarantee ya kuwa wewe ni wife material na kudumu kwenye ndoa?

Binti wa kwanza kuolewa darasani kwetu (chuo) ni wale mabinti ambao kwa macho yetu ya kibanadamu; unasema hakuna mwanaume mwenye akili timamu atakayemuoa huyu. Anakwambia kabisa Mimi nikimaliza kulala na boyfriend wangu naingia kwenye wallet, nachomoa hela naondoka; sifanywi bure. Hapo ana wanaume zaidi ya watatu na anakwambia kabisa katika hawa wote lazima tu kuna mmoja atakuwa na wazo la ndoa so nitaolewa na huyohuyo; unlike nyie mnaodate mtu mmoja for years afu ukija kuachwa umri unakucheka. Na kweli hatujafanya hata graduation alikuwa ameshaolewa tayari. Je huyu ni mtakatifu na hajatumika kuliko mabinti wote 30+ singles?

Mwenyekiti wetu wa dini aliolewa akiwa na miaka 30 na akiwa virgin bado; je alikuwa na tatizo lolote au alichagua chagua sana umri ukaenda? So sio sawa kuconclude kwamba Kila aliye 30+ ni ana ana matatizo na ametumika kuliko wa 20s. Wapo wengi tu wanaojitunza miili yao, wanaamua kuendelea na mambo yanayoadd value kwenye maisha yao huku wakisubiri wakati na bahati zao; yes maisha lazima yaendelee, what if usipokuja kuolewa?. Kuolewa in your 20s sio kwamba ndiyo mtakatifu au unafaa sana kuliko wengine; ni vile tu wakati wako na bahati yako ilifika mapema kabla ya kwa mwenzio.

Tupunguze kuwapa pressure hawa mabinti; hata sisi kuna vitu kibao hatuna na wenzetu walivipata mapema sana. Wakati na Bahati huwapata wote (Mhubiri 9:11). So Kila mtu ataolewa kwa wakati wake; na hata atakayeolewa akiwa na miaka 45 still hiyo ni achievement kwake sawa na ambaye tu alipata achievement yake akiwa 20s. Hakuna Mungu kati yetu; so tusiwekeane Timelines zetu za kibinadamu. Cha muhimu ni kuwasisitiza tu kwamba; wajitunze na waendelee kuserve purpose zao.
Safi sana. Mhubiri 9: 11. Nimeipenda sana.
 
[emoji3][emoji3] apo kwenye uelekeo Kuna aina 2 bhana. Kuna yule unamuona kabisa yupo vyema kiuchumi na uwezo wa kulea familia anao lakini Hana Muda wa kukwambia nataka kwenda kwenu, apa Sasa Binti anatakiwa kukimbia vizuri tuu, maana uwenda yupo mwengine aayetarajiwa kuolewa. Na siku ya kugundua ni ndoa ya huyo mwenzie. Haiwezekani 6 yrs unagegedwa tu na mwanaume uwezo anao wa kukuoa na kulea familia.

Na Kuna aina ya 2, ndo hii ya mtoa mada, kwamba bado hajajitengemaa kimaisha, ndo anatafuta, apo ni haki ya mwanamke kukusubiria wewe maana anakupenda kiukweli, kwa iyo usije ukamcheka Kwa kukaa 4 yrs akikusubiri ww upande kiuchumi na huo ndiyo upendo wa kweli. Si kwasbb Hana ndiyo umkimbie.
Nimesoma Comments zote mpaka hapa.

Wengi wao wangekuwa na Akili hiyo labda wengi wangekua wameshaolewa.

Aina ya kwanza: Wakimbie waende wapi, wengi hawana pa kwenda. Hivyo, nyuma nzuri na kilakitu aache amuachie nani? Nani anataka kurudi kwao kuanza upya na kukutana na Manyanyaso ya kuulizwa kilasiku unaolewa lini au kutangaziwa kuwa ameachika.

Bora tu abaki kwa maumivu huku akijifikiria nini cha kufanya huku mwishowe anajikuta ameamua kubeba mimba na kuzaa na kuingia kwenye lile kundi la kuzalishwa na kuishi pamoja hata kufikia watoro 4 bila ndoa na bado mnaishi pamoja.

Aina ya Pili: Wanaume wengi wana huruma na huwakumbuka waliowavumilia na kuwasaidia kipindi wako katika Msoto wa kuinuka kiuchumi hivyo wengi huolewa au kutunukiwa Zawadi za Mtoto/ Watoto shida inaanza pale baada ya kuanza kuona Mafanikio basi na wewe Mwanamke kwa kigezo cha kuwa ulivumilia miaka yote hiyo ndiyo ufungulie Bomba la Mahitaji yaani inakua kama ulikua unasubiria sasa nimepata Ubunge ndiyo unataka Ndoa, Nyuma, Watoto Mapacha na Mabiashara na Makorokoro chungu mzima ili uwakomeshe wenzako.

Huo ni utoto na ujinga na ndiyo maana ukianza kuleta Depo hizo; wanaume wengi wanapiga chini na kuchukua chombo kipya.

Kila kitu hutokea kwasababu.

Maisha ni kama Squid Game. Don't trust anyone just listen to your inner instincts.

Mwanamke ni Kiumbe Dhaifu play part yako utavuna matunda, Jitutumue uvune maumivu.
 
Nimekutana nao kwenye semina ya afya mmoja amesema kwa uchungu nanukuu "Wanawake tupo wengi kuliko wanaume, inatulazimu tukubali tu hata kama ni waume za watu maana mahitaji ya kimaumbile hatuwezi kushindana nayo, lakini tunaumizwa sana, huko tukienda inabidi tujikinge, kinga zenyewe zinatupa mateso maana sijui zinapitia wapi zinatuwasha ni majanga tu" alisikika mhanga akilalamika
Hii habari ya kwamba wanawake ni wengi kuliko wanaume si kweli.

Mwaka 2020, takwimu zinaonesha kwamba Tanzania kwa kila wanawake 99.9 kulikuwa na wanaume 100. Statistically the same.

 
Nimeshuhudia mara 2, ya kwanza ana miaka 40 kaolewa tena ndoa ya kanisani Kwa mara ya kwanza, Hana mtoto ata 1.

Mara ya 2 ndoa ni mwaka huu mwez wa 10, mwanamke ana miaka 33 Ila ana mtoto mmoja. Haya mambo hayatabiriki bhn lkn kutwa kukaa na kuwasema wanawake kuwa walipoteza bahati

Je wale ambao wanavumiliwa Toka hawana kitu, mpaka anakuja kuwa na kitu, alafu akishainuka anakuja kuolewa mtu mwengine, yule aliyevumilia tabu na shida anaonekana mchafu ananuka, Hana thamani tena. Lkn hili wanaume hawaliongelei kbs. Unamsubiri Mtu 5 to 6 yrs unavumilia shda zote lkn siku akipata mafanikio unastukia anaolewa mwenzio, tumeshuhudia sn tu izi mambo lkn si wanaume wote Wana hizi tabia.

Wanawake wengine mnawasingizia tu kuwa eti alikuacha kisa huna kitu, je? Hao wote mlikuwa na Nia ya kuwaoa jamani?, Sio mwsho wa siku umepata mafanikio unamuona hajui kutumia unamtft yule mtu ambaye hajui ata izo pesa umetumia nguvu gani kuzitafuta.

Na elewa kuwa usitake Kila mwanamke akakuelewa maana Kila mtu ana aina ya mtu anayemtaka, maana ata wanaume Wana watu wanaowataka, mala namtaka mwenye kiuno mbinuko, mala namtaka mwenye wowowo, mala namtaka mwembamba na apo Kuna wengine mnawachezea tu. Anafikisha mpk 28 yrs anakusubr ww but end of the day unamkacha unaenda oa mwengine.
Hao wengine mnaumia kwasbb mliwapenda, laiti ungekuwa humpendi bs ata usingekuwa na muda wa kumkumbuka usingekuwa nao. Ni kweli Kuna wadada Wana majibu machafu ambayo si vzr kumjibu mtu km humpendi na Kuna wengine huwa wanapoteza bahati wenyewe Kwa kuwakataa hao wanaume wenye malengo nao kiukweli. Uwe unacho, uwe huna km amekukataa bs jua hakupendi na hukupangwa kuwa nae usifosi, lakini km umempata wa kupendana nae Dunia hii ni jambo la kushukuru Mungu, dumisheni penzi lenu tu lkn mambo ya kuzogoana kuhusu umri si vyema. Kila mtu ana wkt wake wa kuanzisha familia yake.
Umeandika kwa kirefu sana. Pole bibie.
Njoo pm tuweke mambo sawa
 
Naendelea...

Sisi Wanaume wengi wetu tuna mahitaji madogo na machache yanayofanana linapokuja suala la Ndoa. Lakini sio kwa nyinyi wenzetu Wanawake kwakua mna mahitaji mengi tena makubwa na yanayokinzana na wengine hivyo kupeleka mchafuko na vurugu sana.

Mimi binafsi nina 36 now na sijaoa mpaka sasa. Ila ninayempenda na kutamani kumuoa na kuishi nae ana 42 na ameshaolewa na mtu mkubwa tu Serikalini kwasababu ya ushawishi wa Wazazi na Nguvu ya Fedha.

Ni miaka 14 sasa tupo kwenye Mahusiano ya Siri tena yenye Mapenzi Mazito na Makubwa Mno. Tulikutana mimi nikiwa University nna 22 na yeye akiwa na 27/28.

Tulipenda sana na hasa ukizingatia yeye alikua jamaa ya watu wa nje hawa Waarabu hawa lakini ni Full Wife Material kabisa yaani Msafi sana Aaf, yule ambaye anakua kama BiMkubwa wako full kukulea, shughuli zote za nyumbani anajituma sana alafu Mkimya sana yaani Dini kwa sana na anajua kujistiri mno na chumbani ni Motoo kama ana jini Mahaba.

Taikon nlikua sina maisha at that time... Chuo kigumu na ukizingatia home kwetu kawaida sana. Akanitangazia kuwa anatakiwa aolewe na kwao yeye ndiye 1st born kwahiyo hawezi kurukwa lazima aanze na Mzee wake keshapokea barua 3 za wenye Nia. Daah!! Ilikua habari mbaya lakini sikua na budi nikakubali tukakubaliana 'Mambo flani flani' hata uchaguzi wa nani kati ya hao wa3 nikamwambia yupi atatufaa katika misheni zetu.

Mungu Mkubwa Wajameni: 2cut the story short ni kwamba sasa hivi ana watoto 4, wawili wangu na wawili wa Jamaa na maisha na Mapenzi yanaendelea vizuri sana, kila siku ni bora kuliko jana.

Hatumuombei Jamaa mabaya ila akidanja mimi ndiyo ntachukua Mwali wangu mapema sana maana sasahivi niko Njema Alhamdulillah.

Kwenye haya Maisha kilamtu ana Kipaumbele Chake.

Tuheshimu vipaumbele vya wengine.


Nowadays she's looking like this. How would I resist the feeling of waiting.[emoji8][emoji3531][emoji257]View attachment 2204873
 
Back
Top Bottom