Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

Hivi ukichungulia unaiona[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sijui kwa nini unenichekesha hivi.

Hivi ni kweli upo so desperate kama ninavyokusoma, ama unatuchangamsha tu jamvini?
Mkuu wewe sitanii mimi ila sipo desperate hivo bana.

Mbususu inaonekana ndiyo, sometimes huwa nasahau kama ipo inabidi niwe naichungulia chungulia kama ipo kweli 😄 🤣
 
Kipindi unamfukuzia alisumbua sana mpaka ukata taama kumuoa ikabidi uchukue mwengine. Muda wakati age ina bamba alikuwa anataka vigezo na masharti ni yupi mwanaume gani ampendaye.

Hivi vitu viwili ndivo baadae umri ukifika miaka 30 kwa wanawake wanatia huruma sana yani anaomba hata umzalishe au hawe nyumba ndogo maana hakuna wa kumsimamia kwenye maisha yake.

Ukienda makanisani wakisema watoke mbele wanaotaka maombi ya kuolewa yaani kundi litakalotoka hapo unaweza kusema msafara wa nyumbu na wote age zishakata.

Umri kuanzia miaka 30 kwenda mbele mbwembwe zinakuwa zimepoa sana zile za usumbufu sijui kila dakika kuomba pesa wanapompata mwanaume ili wasije kumkosa.

Umri kuanzia miaka 30 ukimwambie tuzae yani kama umefungulia mnara wa redio tanzania masafa yote ni wewe tu idadi utakayotaka ili mradi matunzo.

Umri kuanzia 30 kwenda mbele ukimtongoza cha kwanza kuna mawili kumuomba mungu sana utulie au kwenda kukupiga ban hata ya Jf ndogo ili usifurukute.

Yaani wale wote waliokukataa ukikutana nao wanitia huruma.
Ebu tuwekee picha za dada zako na Mama yako tuwaone kabla ya kuwajadili wengine.
 
Kipindi unamfukuzia alisumbua sana mpaka ukata taama kumuoa ikabidi uchukue mwengine. Muda wakati age ina bamba alikuwa anataka vigezo na masharti ni yupi mwanaume gani ampendaye.

Hivi vitu viwili ndivo baadae umri ukifika miaka 30 kwa wanawake wanatia huruma sana yani anaomba hata umzalishe au hawe nyumba ndogo maana hakuna wa kumsimamia kwenye maisha yake.

Ukienda makanisani wakisema watoke mbele wanaotaka maombi ya kuolewa yaani kundi litakalotoka hapo unaweza kusema msafara wa nyumbu na wote age zishakata.

Umri kuanzia miaka 30 kwenda mbele mbwembwe zinakuwa zimepoa sana zile za usumbufu sijui kila dakika kuomba pesa wanapompata mwanaume ili wasije kumkosa.

Umri kuanzia miaka 30 ukimwambie tuzae yani kama umefungulia mnara wa redio tanzania masafa yote ni wewe tu idadi utakayotaka ili mradi matunzo.

Umri kuanzia 30 kwenda mbele ukimtongoza cha kwanza kuna mawili kumuomba mungu sana utulie au kwenda kukupiga ban hata ya Jf ndogo ili usifurukute.

Yaani wale wote waliokukataa ukikutana nao wanitia huruma.
Kuna mmoja anasema eti ndoa ni utumwa. Yuko 32 ana Ph
, wanazengo hawakumng'unya ngeli wakamwambia jua lishachowea
 
Tatzo lao kubwa wanatka wanaumme waliokwisha fanikiwa. Ndo umemaliza masomo bado mambo hayajakaa sawa hawataki kuskia hicho kitu. Japo wapo wachache wanaowaelewa.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Hapo umegonga penyewe mkuu. Na waliofanijiwa tayari wana watu wao. Na ndio maana wanaishia kupelekewa moto na kubadilisha wanaume kila leo.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Umasikini ndio chanzo, wao upambana kutafuta mume mwenye gari na nyumba na wengi wenye navyo huwa tayari washaoa
 
Nafikiri wachangiaji wengi ni wavulana.
Hii inamaanisha mwanamke akitongozwa tu atoe mzigo. Hii sio sahihi, mwanamke ni lazima abane mapaje ili aheshimike sio kumpa kila mtu.
Mimi nafikiri hapa mkuu. Lengo sio waweke mapaja wazi kwa kila mtu, kujubali au kujataa ni uamuzi wao. Ila kumkataa mtu kwa kumshushia matusi.mbele A watu au kwa kashfa nyingi mfano "wewe unanipa nini" au una hela za kunitunza" na n.k. hayo sio maneno ya busara. Kataa tu vizuri kwa point za msingi mtu ataelewa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom