matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
- #21
Vyote kwa Mujibu wa dini hata katika jamii.Kwa mujibu wa dini sio?
Ndio maana watu walikuwa wanashikwa ugoni na sio kushikwa uongo hata kabla ya dini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyote kwa Mujibu wa dini hata katika jamii.Kwa mujibu wa dini sio?
NAKAZIAItafika kipindi itakuwa sio ishu ya kujivunia
Ndoa sio za kizungu, zipo hata kabla ya dini. So wewe utaonekana muhuni tu na kama ni mmoja muda mrefu kisheria anakuwa mke wako japo wewe unaona unajipigiaUgoni ni baada ya kufumaniwa , mfano mimi na pisi yangu najipigia sitaki ndoa hizi za kizungu na kwa binti nafahamika utaniitaje mzinzi?
Ni kweli.Hili wimbi linalovuma lakusema kataa ndoa mzizi mkuu wake mkuu ni sababu ngono inapatikana kirahisi sanaa.
Zamani kulikuwa na viunzi vya kifanikisha sasa hivi mwaaume ndio anatakiwa kuweka viunziKwa hiyo huo uzinzi wanafanya wao kwa wao
Unafikiri hao wanaogawa hawana wazazi? Je wakulaumiwa ni wazazi au ni watoto?Dhambi ya uzinzi imeshushwa hadhi sana na wanawake. Ugumu wa maisha na tamaa zisizona breki zimepelekea wana wa kike kuwa cheap kila siku zinavyokwenda.
Zinaa imeshuka hadhi na sasa imekuwa dhambi kama uongo. Dhambi ya uongo ndio nyepesi kufanyika sana afrika maana maisha yetu yamekaa kisiasasiasa na ujanjaujanja.
Sasa hivi mtu akila tunda kimasihara au kwa kusudiana sio habari ya kujivunia bila kujali ni mke wa mtu, msomi, mwasasiasa, mzungu, mchina, mchungaji au ustaadhat hatushangai ni kawaida kabisa.
Ushauri:
Jitahidi kushughulika na mambo ya maana sio kifukuzia wakina mama au dada maana kwa sasa ni sawa na kuwinda kuku wa kisasa broiler kwa mishale na na mabomu.
Zinaa sio kitu cha kujivunia au kujipongeza. Ni afadhali uokoe Muda kwa kutafuta utakayemvumilia uoe kisha uendelee na harakati nyingine za maisha.
Ni hayo tu.
KumbeNdoa sio za kizungu, zipo hata kabla ya dini. So wewe utaonekana muhuni tu na kama ni mmoja muda mrefu kisheria anakuwa mke wako japo wewe unaona unajipigia
Zaman ngono ilipatikana kwa shida kwani?Hili wimbi linalovuma lakusema kataa ndoa mzizi mkuu wake mkuu ni sababu ngono inapatikana kirahisi sanaa.
Hivi we kwenye akili yako uzito wa kuua na kuiba kuku ni vitu vinavyolingana?Hivi kuna dhambi kubwa na ndogo au mentalities zetu tu?
Hii ni sehemu ambayo watu mnatia akili zenu mfukoni na kukubali unachokiona wazi kabisa kuwa hakiingii akilini.Kwa mtazamo wa Mwenyezi Mungu dhambi zote ni sawa.
Ila kibinadamu Zinaa imepewa hadhi kubwa sana. Ndio maana makanisani unaweza kudanganya hadi unakufa wanakuangalia tu ila siku ukijichanganya ukazini na ukawa wazi lazima wakule kichwa na kukuona kama shetani.
Ulo sahihi dhambi haziwezi kuwa sawa hata kidogo maana hata hao wachamungu wanatenda dhambi ila dhambi wanazotenda wao si sawa na wanazofanya wasio na hofu na munguHii ni sehemu ambayo watu mnatia akili zenu mfukoni na kukubali unachokiona wazi kabisa kuwa hakiingii akilini.
Ukisema kwa Mungu dhambi zote ni sawa unamaanisha Mungu ataadhibu sawa kosa la mauaji na kosa la kijana aliyeiba mkate. Huku ni kumshutumu Mungu kwa ukosefu wa uadilifu wakati sote tunajua hakuna mkamilifu zaidi yake.
Watoto wako tu nyumbani huwezi kuwaadhibu sawa kwa kila kosa, yapo makosa utamsema/kumkosoa na yapo makosa utamuadhibu, na katika hayo kuna mengine utampa adhabu kali kuliko mengine!
Nyie endeleeni tu kutii amri za dola ya kirumi.
Usijiongopee ndugu yangu dhambi haziwezi kuwa sawa hata mara moja, kwa hiyo anayeua watu na anayeiba shambani kwa mtu kwa kuwa alishikwa na njaa ambayo ingepelekea kifo wataadhibiwa sawa??Aliesema usiue ndiye aliesema usizini.
Kwa hiyo aliesema usizini ndiye aliesema usisema uongo,
Dhambi ni ile ile na moto ni ule ule
Mweee ebu wacheni zenu bwana mbususu tamu maana na mihangaiko yote ya kusaka pesa pasipo kula mbususu fofauti tofauti ni nini? That life is just struggle?Dhambi ya uzinzi imeshushwa hadhi sana na wanawake. Ugumu wa maisha na tamaa zisizona breki zimepelekea wana wa kike kuwa cheap kila siku zinavyokwenda.
Zinaa imeshuka hadhi na sasa imekuwa dhambi kama uongo. Dhambi ya uongo ndio nyepesi kufanyika sana afrika maana maisha yetu yamekaa kisiasasiasa na ujanjaujanja.
Sasa hivi mtu akila tunda kimasihara au kwa kusudiana sio habari ya kujivunia bila kujali ni mke wa mtu, msomi, mwasasiasa, mzungu, mchina, mchungaji au ustaadhat hatushangai ni kawaida kabisa.
Ushauri:
Jitahidi kushughulika na mambo ya maana sio kifukuzia wakina mama au dada maana kwa sasa ni sawa na kuwinda kuku wa kisasa broiler kwa mishale na na mabomu.
Zinaa sio kitu cha kujivunia au kujipongeza. Ni afadhali uokoe Muda kwa kutafuta utakayemvumilia uoe kisha uendelee na harakati nyingine za maisha.
Ni hayo tu.
Ndio Moto utakaokula ni moto mmoja ndugu. Kila mtu ambae hajatubu dhambi zake atachomwa.Usijiongopee ndugu yangu dhambi haziwezi kuwa sawa hata mara moja, kwa hiyo anayeua watu na anayeiba shambani kwa mtu kwa kuwa alishikwa na njaa ambayo ingepelekea kifo wataadhibiwa sawa??
Labda nikuelekeze kwa kifupi kwa kupitia maandiko.Usijiongopee ndugu yangu dhambi haziwezi kuwa sawa hata mara moja, kwa hiyo anayeua watu na anayeiba shambani kwa mtu kwa kuwa alishikwa na njaa ambayo ingepelekea kifo wataadhibiwa sawa??
Hapa ndo ambapo hujalewa na bila shaka ndo kwanini jamii nyingi zenye imani kama yako maovu ni mengi kwakuwa watu wanakuwa wameshakata tamaa juu ya kuiepuka dhambi. Hakuna mtu asiyetenda dhambi, ila hutofautiana ni aina ipi ya madhambi mtu hujikuta amefanya.Ndio Moto utakaokula ni moto mmoja ndugu. Kila mtu ambae hajatubu dhambi zake atachomwa.
Kama unaona kuna adhabu nyingine kwa mwenye dhambi labda wale waiba kuku na wasema uongo watakua na adhabu yao na wauaji ndo watachomwa moto haiko ivo ndugu. Wote ni moto tuu
Mada imekaa katika mtazamo wa dhambi machoni petu.Labda nikuelekeze kwa kifupi kwa kupitia maandiko.
Kwanza kabisa ieleweke sote tukifa tunaenda kwenye udongo. (Maana sisi ni mavumbi na mavumbini tutarudi)
Soma mwanzo 3:19
"kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi."
Kisha itakapofika kiama (kurudi kwa Yesu) hapo Yesu anakuja kuwachukuwa walio wake kwanza (watafufuliwa kwanza/ufufuo wa kwanza) kumbuka wenye heli wakishafufuliwa watu wengine ambao hawakutubu dhambi zao watabaki ardhini (hawatufufuliwa), kisha itapita miaka 1000 wenye heli wakiwa mbinguni na wenye dhambi wakiwa ardhini (kifungo cha shetani) Yesu atarudi tena na mji mpya (Yerusalem mpya) hapo ndo utakuepo ufufuo wa pili ( wa wenye dhambi) na wakishafufuliwa watajaribu kuuvamia Yerusalem wauchukue ndipo huo moto utawala wote.
Huo ndio moto ninao ongelea mimi ndugu
Soma kitabu cha Ufunuo kuanzia sura ya 20 pale
"
5 Hao wafu waliosalia hawakuwa hai, hata itimie ile miaka elfu.
6 Huo ndio ufufuo wa kwanza. Heri, na mtakatifu, ni yeye aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; juu ya hao mauti ya pili haina nguvu; bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye hiyo miaka elfu.
7 Na hiyo miaka elfu itakapokwisha, Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake;
8 naye atatoka kuwadanganya mataifa walio katika pembe nne za nchi, Gogu na Magogu, kuwakusanya kwa vita, ambao hesabu yao ni kama mchanga wa bahari.
9 Wakapanda juu ya upana wa nchi, wakaizingira kambi ya watakatifu, na mji huo uliopendwa. Moto ukashuka kutoka mbinguni, ukawala.
UFUNUO 20:5-9
UKisoma kwa umakini hapo unaona moto ni mmoja unaowala wenye dhambi wote ndugu