Wanawake walivyoishusha hadhi dhambi ya uzinzi kuwa sawa na dhambi maarufu Afrika ya Uongo

Wanawake walivyoishusha hadhi dhambi ya uzinzi kuwa sawa na dhambi maarufu Afrika ya Uongo

Hapa ndo ambapo hujalewa na bila shaka ndo kwanini jamii nyingi zenye imani kama yako maovu ni mengi kwakuwa watu wanakuwa wameshakata tamaa juu ya kuiepuka dhambi. Hakuna mtu asiyetenda dhambi, ila hutofautiana ni aina ipi ya madhambi mtu hujikuta amefanya.

Dhambi/thawabu ni uzito wa kosa/jema ulilofanya. Chukulia thawabu ni +positive na dhambi ni -ve. Baada ya hapo pia tambua kuwa hizi dhambi zimegawanyika pande mbili, kuna dhambi dhidi ya haki ya mtu na dhambi dhidi ya haki ya Mungu kwako, mfano kutomshirikisha Mungu ni haki ya Mungu kutoka kwako wakati kuiba ni haki ya mtu uliyoichukua kutoka kwake. Mungu anasemehe tunayomkosea tukiomba toba lakini yapo mengine pia anasamehe hata bila ya kumuomba toba, as long as umejiepusha na madhambi makubwa i.e. Kuua, kumshirkisha yeye na miungu mengine n.k. Kwa upande haki ya mtu, hii utailipa tu either uilipe hapa duniani kwa kumrudishia haki yake au uilipe siku ya hukumu, otherwise huyo mtu akusamehe akiwa yeye bado yupo duniani, na akifanya hivo Mungu pia humsamehe na yeye madhambi yake kwa kiwango kikubwa zaidi ya kile alicho samehe yeye, na ndio maana tunahimizwa tusameheane. Sasa basi, Ikiwa umekufa na hujalipa haki ya mtu then yatachukuliwa mema katika mizani yako kwa kiwango cha uzani wa kosa ulilomfanyia na ataongezewa yeye katika mizani yake ya mema. Na ikiwa katika mizani yako mema yote yameisha (labda ulidhulumu wengi na hukuwa mtenda mema kwa wingi) basi yatachukuliwa madhambi ya yule uliyemdhulumu kwa uzito wa kosa ulilomtendea na utawekewa katika mizani yako.

Kwakuwa Mungu ni mwenye huruma, ikiwa uzito wa mema yako katika mizani ni mkubwa kuliko mabaya yako basi wewe utaingizwa peponi, as long as umejiepusha na madhambi makubwa ambayo yameanishwa adhabu zake na hapo ni kama umekufa hujatubia hayo madhambi.

Sasa ukubwa wa adhabu utatofautiana na uzito wa mizani yako katika mabaya yako. Miongoni mwa watakaokuwa na adhabu kali zaidi kuliko wengine ni Iblis (Lucifer) na Firauni.

Allahu aalam.
Boss kwa maelezo unayotoa hapo kwanza kabisa inaonyesha wew ni muislamu.

Basi sasa wakati unatoa maelezo kama hayo ungekuwa una rifaa kutoka kwenye Quran tukufu, maana tutajuaje kama unatunga stori tuu. Tupe mafungu ya Quran tukufu na sisi tufatilie kama mim nilivotoa kwenye mafungu ya Biblia

Asante.
 
Mada imekaa katika mtazamo wa dhambi machoni petu.
Maana hata makanisa huwa yanafuta watu ushirika wakizini na kugundulika
Huwa wanafutwa kabisa ushirika wakati watu wanatoa ahadi za uongo au kuongopa wanaonekana nj kitu cha kawaida.

Mfano Paulo anawaambia wakorinto wale wazinzi wa kanisani watengwe kwa shetani. Musa aliagizwa wapigwe mawe hadi kufa. Lakini sio wangu.

Msingi wa mada ni kwamba kiwango cha uzinzi kimefikia machoni pa watu kuwa kawaida karibu na dhambi ya uongo au kimevuka.
Watu wanaweza kuzini bila hata kuongea kwa kuangaliana machoni tu.
Yah sasa mtoa mada kasema Uzinzi umekua kama kudanganya kwa kutoa kauli kama hiyo inamaanisha Kudanganya kama ni dhambi fulani ambayo yeye binafsi ameshaizoea sana na ni ndogo sana.

Ndo tunamwambia dhambi zote ni sawa. Aliesema usizini ndiye aliesema usiseme uongo. Kwa hiyo moto utakuwa ni ule ule
 
Yah sasa mtoa mada kasema Uzinzi umekua kama kudanganya kwa kutoa kauli kama hiyo inamaanisha Kudanganya kama ni dhambi fulani ambayo yeye binafsi ameshaizoea sana na ni ndogo sana.

Ndo tunamwambia dhambi zote ni sawa. Aliesema usizini ndiye aliesema usiseme uongo. Kwa hiyo moto utakuwa ni ule ule
Bongo uongo ni jambo la kawaida na uzinzi ulikuwaga ni kitu cha ajabu sana.
Kwa ulaya uzinzi ulianza kuwa kitu cha kawaida miaka mingi iila uongo ni jambo la ajabu.

Development ya zinaa duniani kwa sasa uzito wake kwenye jamii zetu za kibongo unakaribia au umevuka ukawaida wa uongo na umbea.
 
Hapa ndo ambapo hujalewa na bila shaka ndo kwanini jamii nyingi zenye imani kama yako maovu ni mengi kwakuwa watu wanakuwa wameshakata tamaa juu ya kuiepuka dhambi. Hakuna mtu asiyetenda dhambi, ila hutofautiana ni aina ipi ya madhambi mtu hujikuta amefanya.

Dhambi/thawabu ni uzito wa kosa/jema ulilofanya. Chukulia thawabu ni +positive na dhambi ni -ve. Baada ya hapo pia tambua kuwa hizi dhambi zimegawanyika pande mbili, kuna dhambi dhidi ya haki ya mtu na dhambi dhidi ya haki ya Mungu kwako, mfano kutomshirikisha Mungu ni haki ya Mungu kutoka kwako wakati kuiba ni haki ya mtu uliyoichukua kutoka kwake. Mungu anasemehe tunayomkosea tukiomba toba lakini yapo mengine pia anasamehe hata bila ya kumuomba toba, as long as umejiepusha na madhambi makubwa i.e. Kuua, kumshirkisha yeye na miungu mengine n.k. Kwa upande haki ya mtu, hii utailipa tu either uilipe hapa duniani kwa kumrudishia haki yake au uilipe siku ya hukumu, otherwise huyo mtu akusamehe akiwa yeye bado yupo duniani, na akifanya hivo Mungu pia humsamehe na yeye madhambi yake kwa kiwango kikubwa zaidi ya kile alicho samehe yeye, na ndio maana tunahimizwa tusameheane. Sasa basi, Ikiwa umekufa na hujalipa haki ya mtu then yatachukuliwa mema katika mizani yako kwa kiwango cha uzani wa kosa ulilomfanyia na ataongezewa yeye katika mizani yake ya mema. Na ikiwa katika mizani yako mema yote yameisha (labda ulidhulumu wengi na hukuwa mtenda mema kwa wingi) basi yatachukuliwa madhambi ya yule uliyemdhulumu kwa uzito wa kosa ulilomtendea na utawekewa katika mizani yako.

Kwakuwa Mungu ni mwenye huruma, ikiwa uzito wa mema yako katika mizani ni mkubwa kuliko mabaya yako basi wewe utaingizwa peponi, as long as umejiepusha na madhambi makubwa ambayo yameanishwa adhabu zake na hapo ni kama umekufa hujatubia hayo madhambi.

Sasa ukubwa wa adhabu utatofautiana na uzito wa mizani yako katika mabaya yako. Miongoni mwa watakaokuwa na adhabu kali zaidi kuliko wengine ni Iblis (Lucifer) na Firauni.

Allahu aalam.
Na hapo sijaelewa vizuri maana ya kunijibu maana mimi nimesema moto ni mmoja na nimetoa maelezo yangu hapo chini kuwa itakuaje kulingana na Maandiko ya Biblia.

Sasa wakati huo na wew ungetoa maelezo yako kwamba labda kwenye Quran tukufu inasema kutakuwa na moto zaidi ya mmoja.

Hapo naona umeelezea namna hukumu itakavokuwa, sasa baada ya hiyo hukumu wale waliohukumiwa mauti ya pili au kuangamia milele watauliwa na nini?

Tupe maandiko ndugu tujifunze
 
Bongo uongo ni jambo la kawaida na uzinzi ulikuwaga ni kitu cha ajabu sana.
Kwa ulaya uzinzi ulianza kuwa kitu cha kawaida miaka mingi iila uongo ni jambo la ajabu.

Development ya zinaa duniani kwa sasa uzito wake kwenye jamii zetu za kibongo unakaribia au umevuka ukawaida wa uongo na umbea.
Mmh hapo kwenye dhambi kuwa jambo la ajabu na kuwa jambo la kawaida mimi naona ni kwa mtu mtu binafsi

Maana kwa mtu ambaye unamfata Muumba wako kila siku na upo thabiti inakuaje dhambi ya kudanganya ikawa ya kawaida na kuzini ikawa ajabu.

Mimi naona vyote vitakuwa ni ajabu tuu maana haujavizoea

Ila mim naamini ukawaida unakuja kwenye mazoea, ukizoea dhambi fulani inakua ya kawaida kwako.
 
Dhambi ya uzinzi imeshushwa hadhi sana na wanawake. Ugumu wa maisha na tamaa zisizona breki zimepelekea wana wa kike kuwa cheap kila siku zinavyokwenda.

Zinaa imeshuka hadhi na sasa imekuwa dhambi kama uongo. Dhambi ya uongo ndio nyepesi kufanyika sana afrika maana maisha yetu yamekaa kisiasasiasa na ujanjaujanja.

Sasa hivi mtu akila tunda kimasihara au kwa kusudiana sio habari ya kujivunia bila kujali ni mke wa mtu, msomi, mwasasiasa, mzungu, mchina, mchungaji au ustaadhat hatushangai ni kawaida kabisa.

Ushauri:
Jitahidi kushughulika na mambo ya maana sio kifukuzia wakina mama au dada maana kwa sasa ni sawa na kuwinda kuku wa kisasa broiler kwa mishale na na mabomu.

Zinaa sio kitu cha kujivunia au kujipongeza. Ni afadhali uokoe Muda kwa kutafuta utakayemvumilia uoe kisha uendelee na harakati nyingine za maisha.

Ni hayo tu.
Mkuu dhambi si ni kila mtu na msalaba wake? Kulikoni tena dhambi ipi kushushwa hadhi na nani?
 
Dhambi ya uzinzi imeshushwa hadhi sana na wanawake. Ugumu wa maisha na tamaa zisizona breki zimepelekea wana wa kike kuwa cheap kila siku zinavyokwenda.

Zinaa imeshuka hadhi na sasa imekuwa dhambi kama uongo. Dhambi ya uongo ndio nyepesi kufanyika sana afrika maana maisha yetu yamekaa kisiasasiasa na ujanjaujanja.

Sasa hivi mtu akila tunda kimasihara au kwa kusudiana sio habari ya kujivunia bila kujali ni mke wa mtu, msomi, mwasasiasa, mzungu, mchina, mchungaji au ustaadhat hatushangai ni kawaida kabisa.

Ushauri:
Jitahidi kushughulika na mambo ya maana sio kifukuzia wakina mama au dada maana kwa sasa ni sawa na kuwinda kuku wa kisasa broiler kwa mishale na na mabomu.

Zinaa sio kitu cha kujivunia au kujipongeza. Ni afadhali uokoe Muda kwa kutafuta utakayemvumilia uoe kisha uendelee na harakati nyingine za maisha.

Ni hayo tu.
Ha ha ha ha
 
Na hapo sijaelewa vizuri maana ya kunijibu maana mimi nimesema moto ni mmoja na nimetoa maelezo yangu hapo chini kuwa itakuaje kulingana na Maandiko ya Biblia.

Sasa wakati huo na wew ungetoa maelezo yako kwamba labda kwenye Quran tukufu inasema kutakuwa na moto zaidi ya mmoja.

Hapo naona umeelezea namna hukumu itakavokuwa, sasa baada ya hiyo hukumu wale waliohukumiwa mauti ya pili au kuangamia milele watauliwa na nini?

Tupe maandiko ndugu tujifunze
Moto umeitwa majina tofauti tofauti katika Quran kutokana na sifa husika zilizoongelewa, either ya hao watakaoingia motoni (Allah atuepushe) au kutokana na msisitizo wa sifa iliyokusudiwa ya huo moto. Majina hayo ni pamoja na Jahim, Jahannam, Laza', Sa'ir, Saqar, Hutama na Hawiya. Kuhusu uwepo wa levels tofauti tofauti za moto hiii aya chini inatunesha dalili hiyo:-

(Quran 4:145) Indeed, the hypocrites will be in the lowest depths of the Fire – and never will you find for them a helper.

Hii ni moja katika ishara ya kuwepo viwango tofauti ya adhabu ndani ya hiyo adhabu ya moto yenyewe.
 
Back
Top Bottom