Wanawake wana visirani sana ila huyu wa leo kazidi

Unaikumbuka hii Dr.
"hamna wa kunigusa hapa wala mwenye hela ya kunishusa,"

Haya mawazo alibadilishaje?
 
Pole kwa kutapeliwa ila principle ya utapeli inasema "ni Tamaa zako ndio zinakuponza"

Wamatumbi wanamsemo wao "Don't hate the Player, hate the Game"
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Dr. Mimi nina tatizo la akili, nimekuja kwako
Otea...?
 
Unaikumbuka hii Dr.
"hamna wa kunigusa hapa wala mwenye hela ya kunishusa,"

Haya mawazo alibadilishaje?
Hahahaha unataka tuanze kulichambua neno moja moja la mtu aliyekosa utimamu wa akili?
Mbona kama na sisi jamii itatushangaa?

Labda wewe useme exactly kwa mada husika, msimamo wako ni upi?
 
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]Dr. Mimi nina tatizo la akili, nimekuja kwako
Otea...?
Unataka niotee utakachosema next, unataka niotee tatizo lako la akili au unataka niotee wewe kuja kwangu?

Funguka vizuri
 
Hahahaha unataka tuanze kulichambua neno moja moja la mtu aliyekosa utimamu wa akili?
Mbona kama na sisi jamii itatushangaa?

Labda wewe useme exactly kwa mada husika, msimamo wako ni upi?
Ni kwamb hakuna uhakika Ya kua yule dada ana Matatizo ya akili.
 
Tumefika mzee alitoa bunda akamuuliza unashuka hushuki, akasema sishukiii, Kugeuka nyuma kuona bunda iliyoshikwa, akageuka akawambia "wanangu amkeni nimechoka hizi kelele"[emoji23]
Hiyo ndio pesa sasa haina maneno mengi mmmk....
 
Alitakiwa atoke kigagula mmoja ampige kizizi aharishe basi zima ndio ajue wa kumgusa wapo
 
.
 
Ni kwamb hakuna uhakika Ya kua yule dada ana Matatizo ya akili.
Rejea kule juu kwenye maana niliyokupa kuhusu Afya ya Akili, ukiielewa ile maana basi moja kwa moja utajua kua huyo dada kwa tukio lile ni wazi ana tatizo la Afya ya akili,

Ni kama kwenye Afya ya Mwili mgonjwa atasema ana pata homa, maumivu ya kichwa, maumivu ya mgongo, kukosa usingizi, kwa maelezo yale daktari atamwambia akapime Malaria na UTI ili ajue anaanzia wapi,

Tukirudi kwa huyo mama, hali iliyojitokeza tayari iliashiria ana tatizo la Afya ya Akili/ kakosa utulivu wa Akili, sasa kama ndio anapelekwa kwa mtaalam, litaanza somo rasmi ili kubaini tatizo lake la Afya ya Akili ni lipi,

NB: Afya ya Akili sio Mtu kua chizi au mwendawazimu, ukishakua na msongo mzito wa mawazo kiasi kwamba ukashindwa kufanya maamuzi yaliyo chanya, tayari wewe Afya yako ya Akili imeshatetereka.
 

Kwahio wale waliokua wanajibishana naye, dereva anyetaka kumpiga nao tunaweza kusema wana tatizo la akili?
 
Sawaa, na kama sikoseni, pia unamanisha hio inaweza ikawa ni hali ya kuja na kupita, kwahio yeyote ukamkuta katika moment kama hio tunaweza jumuisha ana matatizo ya akili.
 
Huyo mwanamke nyama nyama zipo kweli kwa namna ulivyomuona mtoa mada???? [emoji4]
 
Kwahio wale waliokua wanajibishana naye, dereva anyetaka kumpiga nao tunaweza kusema wana tatizo la akili?
Majibizano hua hayana shida ila kitendo cha dereva kutaka kumpiga mwanamke mwenye mtoto mchanga ni wazi kua dereva na yeye ana tatizo la afya ya akili,

Rejea tena maana ya Afya ya Akili,

Si umeona wewe ulikaa kimya? sababu akili yako ilikua na utulivu.
 
Ila mwamba na wewe una kipaji cha umvea,yote haya umekuwa na uwezo wa kuyakariri na kuyaleta hapa jukwaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…