Wanawake wana visirani sana ila huyu wa leo kazidi

Wanawake wana visirani sana ila huyu wa leo kazidi

Afya ya Akili ni tofauti na Afya ya Mwili,
Afya ya Mwili ni lazima vipimo vya maabara vihusike na Afya ya Akili ina sessions zake japo kuna indicators zinaweza kutokea na ukahisi huyu ana tatizo la afya ya akili utaingia nae kwenye therapy ili kujipa uhakika.
Mtoa mada alisema yule mdada baada ya kupewa pesa nini kiliendelea kwake???
 
"Uzi nimeusoma na kuuelewa vema na ndio maana nikahitimisha kua huyo Mama ana tatizo la Afya ya Akili hakuna timamu angeweza kufanya hayo aliyoyafanya na nikaongezea tena kua huna uelewa wa Afya ya Akili ndio maana umechukulia kiuwepesi,"

Swali lako lilijibiwa hapo

Umegundua mama ana tatizo la akili kwa aliyofanya au kuongea...
Mbona sijaelewaa.
 
Mimi niwe konda ugome kuandika jina nakushusha, maana tiketi haikutambui kwa jina na tiketi naichukua nakurudishia pesa yako
 
[emoji54][emoji54][emoji54] yaani comment hio hio unayojibu unauliza swali liko wapi tena dr wetuu??

Anyway ngoja basi nikuwekee ???
Wewe umajuaje ya kua ana tatizo la kiafya..?
Naomba nikupe maana ya Afya ya Akili

Ni hali ya kuwa sawa kiakili na kisaikolojia na kutokuwepo kabisa kwa usumbufu wa akili ya mtu, mfano msongo wa mawazo, hali ya kuwa na mawazo chanya, kuwa sawa kijamii na kuweza kuchangia katika utendaji wako wa kila siku na uwezo wa kuridhisha wa kimawazo na kitabia.

Naimani hapo umepata mwanga ili kujua kua Mtu ana tatizo la Afya ya Akili basi atakua kinyume kwenye maana hiyo hapo juu,

Kujibu swali lako ni kua huyo Mwanamke alionesha kukosa kufanya matendo ya utimamu au matendo chanya ndio maana akawa anatukana watu na kuwadhalilisha, hapo ndipo aligundulika ana tatizo la Afya ya Akili au Akili yake imekosa utulivu na utimamu.
 
Ahaaa, twende vzr, nakunukuu mwenyeweee

"wewe una tatizo la afya ya akili"

"Kwa kukujibu ni kua sijagundua kama una tatizo la afya ya akili sababu sijaingia kwenye session na wewe"

Haya tumeweka kumbukumbu vizuri, Rudia kama huja ni attack....
Umenilisha maneno,
Sikukwambia "wewe una tatizo la afya ya akili"
Nilikwambia "ITAKUA NA WEWE UNA TATIZO LA AFYA YA AKILI"

Rudi kwenye lugha hiyo 'Itakua' imesimama kwenye kuhisi na sio hitimisho ni kama vile ningesema "Inawezekana na wewe...." au ningesema "labda na wewe..."
 
Naomba nikupe maana ya Afya ya Akili

Ni hali ya kuwa sawa kiakili na kisaikolojia na kutokuwepo kabisa kwa usumbufu wa akili ya mtu, mfano msongo wa mawazo, hali ya kuwa na mawazo chanya, kuwa sawa kijamii na kuweza kuchangia katika utendaji wako wa kila siku na uwezo wa kuridhisha wa kimawazo na kitabia.

Naimani hapo umepata mwanga ili kujua kua Mtu ana tatizo la Afya ya Akili basi atakua kinyume kwenye maana hiyo hapo juu,

Kujibu swali lako ni kua huyo Mwanamke alionesha kukosa kufanya matendo ya utimamu au matendo chanya ndio maana akawa anatukana watu na kuwadhalilisha, hapo ndipo aligundulika ana tatizo la Afya ya Akili au Akili yake imekosa utulivu na utimamu.
Vizurii, na asante kwa elimuu,
Kwahio kumbe katika MAZINGIRA tunayozungumzia kutukan na maongezi yake ndio yalimfanya aonekane ana tatizo la kiafya,
Haya Baada ya kupewa pesa kanyamaza kimyaa, hii imekaaje Dr.?
 
Umegundua mama ana tatizo la akili kwa aliyofanya au kuongea...
Mbona sijaelewaa.
Nadhani mada ililenga maongezi sijui kama kuna tukio alilifanya zaidi ya majibizano kati ya mwanamke, mtoa mada, konda, dereva, na abiria wengine, na kwa mujibu wa mtoa mada.

Jibu lako litakua kuongea
 
Umenilisha maneno,
Sikukwambia "wewe una tatizo la afya ya akili"
Nilikwambia "ITAKUA NA WEWE UNA TATIZO LA AFYA YA AKILI"

Rudi kwenye lugha hiyo 'Itakua' imesimama kwenye kuhisi na sio hitimisho ni kama vile ningesema "Inawezekana na wewe...." au ningesema "labda na wewe..."
Ahaa sawaa, tukiweka neno ITAKUA, inaondoa dhana ya kwamba ume ni attack?
 
Vizurii, na asante kwa elimuu,
Kwahio kumbe katika MAZINGIRA tunayozungumzia kutukan na maongezi yake ndio yalimfanya aonekane ana tatizo la kiafya,
Haya Baada ya kupewa pesa kanyamaza kimyaa, hii imekaaje Dr.?


Nikirejea kwa mtoa mada alisema Dereva alitaka kumshusha mara ya kwanza, akatetewa, na baadae abiria wote wakakubali ashushwe na kuna mzee alijitolea kumpa pesa za kukidhi safari yake na za ziada hivyo Bus lilivyosimama akapokea pesa na kushuka na akaonekana anaongea na konda wa Bus lingine,

Sidhani kama alikua ana sababu ya kuendelea kuongea wakati ameshapata refund,

Ama wewe ulikua na maoni gani kwenye hilo?
 
Nadhani mada ililenga maongezi sijui kama kuna tukio alilifanya zaidi ya majibizano kati ya mwanamke, mtoa mada, konda, dereva, na abiria wengine, na kwa mujibu wa mtoa mada.

Jibu lako litakua kuongea
Hiki ndio nilikua nataka, kumbe maongezi ndio yamemfanya aonekane ana tatizo la kiakili, baadae alivyoshuka chini wa nje hata hakuweza kumjua, jee ni kwa nini alitulia.
 
Nikirejea kwa mtoa mada alisema Dereva alitaka kumshusha mara ya kwanza, akatetewa, na baadae abiria wote wakakubali ashushwe na kuna mzee alijitolea kumpa pesa za kukidhi safari yake na za ziada hivyo Bus lilivyosimama akapokea pesa na kushuka na akaonekana anaongea na konda wa Bus lingine,

Sidhani kama alikua ana sababu ya kuendelea kuongea wakati ameshapata refund,

Ama wewe ulikua na maoni gani kwenye hilo?
Kumbuka dr yule hakua anaongea sbb ya kutaka refund, ila maongezi yake yalikatishwa na ile pesaa.

Labda uniambie tatizo lake la akili linasababishwa na pesa akipata anapona.
Hapo Nakubalii.
 
Ahaa sawaa, tukiweka neno ITAKUA, inaondoa dhana ya kwamba ume ni attack?
Yes, sijaku attack na ni vema tukarejea kwenye convo ilipoanzia pale nilipokukwoti na kukuelewesha kua na positive mind badala ya negative mind, huko ndipo yalianzia lakini nilikutaka radhi kama ulihisi umekua attacked sijajua kwanini umelileta tena,
[emoji38]
 
Hiki ndio nilikua nataka, kumbe maongezi ndio yamemfanya aonekane ana tatizo la kiakili, baadae alivyoshuka chini wa nje hata hakuweza kumjua, jee ni kwa nini alitulia.
Ulitaka afanye nini akiwa nje wakati wabaya wake aliwaacha kwenye gari?
Na hapo hatujui kwenye hilo bus lingine nini kilitokea ama kuna muendelezo wake?
 
Kumbuka dr yule hakua anaongea sbb ya kutaka refund, ila maongezi yake yalikatishwa na ile pesaa.

Labda uniambie tatizo lake la akili linasababishwa na pesa akipata anapona.
Hapo Nakubalii.
Inawezekana tatizo lake la akili lilitulizwa na Pesa,
Mtu mwenye tatizo la Afya ya Akili hua kuna kitu kina trigger anaripuka na hua kuna kitu kina mcalm down,

Kwa kua hatujui historia yake tunaweza kusema labda Pesa ndio ilimcalm down.
 
Tupo tunasafiri, kuna mdada mmoja mzuri, body si haba na kavaa smart kabisaaa, Wakati yupo chini konda akamuomba jina ili amuandikie tiketi.

Ninukuu baadhi ya majibizano, sio yote kisa ni kirefuu.

Akajibu "Niache nitulie andika hao wengine"

Akaachwa, tupo ndani konda akamfuata akamuambia naomba nitajie jina mbele kuna traffic na wewe umekaa mbele anaweza ashtukie tiketi iwe faini.

Akajibu "Wee naweee, haya andika..."

Alitaja jina moja tena la kiume, konda akumuomba jina la pili.

Akajibu "Andika hilo, kama hutaki acha"

Konda akaandika, akamuoma jina la mwanae angalau mmoja maana wamekaa kwenye siti ili nalo liandikwe kwenye ticket yao,

Akajibu "Wanangu majina yao sio ya kukaa kwenye magazeti..... braa braa na maneno mengi nishasahau"

Akaulizwa "mbona wewe msumbufu sanaa wenzako wameonesha ushirikiano hili ni jambo la kawaidaa

Akajibu "wao ni wao mimi nina taratibu zangu, wengi waoga"

Hapo ndio watu wakacharukwa, majibishano yakawa makubwaa, mimi nilikua nimekaa naye, mwenyewe nina mambo yangu nimevurugwa kuepuka mavurugo, nikamwambia

Ngoja mimi niende pale wanao waje hapa ukae nao,
(wakati anakata ticke mi nilishawahi ile siti hakupata duble).

Akaanigeuzia mimi ( "Yaani umenionaje? Kwa nn mda wote usiseme? Mi nakupigia kelele hapa? Nanuka?)

Sikumjibu nikaweka earphones nikaegamia zangu dirishani (nikaomba tuu hapa asije akatuma tusi tu) akageukia wengine, kila anayemuongelesha anapita naye kwa kila lugha chafu.

Watu wakasema kama vipi ashushwe asituletee nuksi humu, akasemaa,"nani anishushe...? Kwa kosa ganii...? hakuna anayenijua humu ulizieniii"

Gari ikasimama kweli, mimi nikawa nawaza huyu kashanitibua nimtetee?

Nikasema haina haja mtu mwenyewe kwa mawasiliano tuu aliyokua akifanya ni kama ana matatizo nyumbani.

Nikashauri "huyu tukimshusha katikati huku jua hili na watoto wadogo ni hatari hasa kwa hivi vitoto", wapo 3 kimoja kichanga.

Akanigeukia, "wewe ndio una akili akilituu sijui ulikua wapi wengine maboksi"

Daa nilichoka, dereva akafunga blek akaamka aje kumzibua, watu wakamzuia, tusije pata mikosi.

Akaanza "hamna wa kunigusa hapa wala mwenye hela ya kunishusa, hii gari nimepanda tu, ila ningekua na uwezo wa kuja na gari yangu ila sababu ya huyu mtoto mdogo, Hata kukodi sishindwii".

Mzee mmoja akawa kama kamaindi hivi, akamuuliza

"Una hela wewe, hivi unajua pesaaa? Yaani, yaanniii....."

ikawa kama mtu flani ile kauli imemuuma anataka aprove kama hana pesa wenye pesa wapo kimya ila anshindwa kumalizia.

Akamuambia konda, tukifika kituoni tunamshusha nitamlipa hela zake asitupigie kelele, halafu ampigie yeyote anayedai anamfahamu.

Akasema, "hamna wa kunishusha" ,akaambiwa
"wewe nakulipia nauli yako, wanao wote siti, hela ya kula, kulala, dharura na inabaki".

Tumefika mzee alitoa bunda akamuuliza unashuka hushuki, akasema sishukiii, Kugeuka nyuma kuona bunda iliyoshikwa, akageuka akawambia "wanangu amkeni nimechoka hizi kelele" akapewa akamtuma mwanae aje kuzipokea, alivyomfikia tuu akazikwapua akaweka kwenye pochi.

Wote tulichokaa, kwanza tulijua atakataa, alishuka fasta hakuongea kitu tena tukamuona anaongea na konda wa gari nyingine inayoenda tulikotoka kama vile anataka kurudi, kwa ufupi ilikua ni maneno mengi ya kukera mengi nimesahau na hivyo niliamua kusikiliza mziki, kuna jama wa watu alimuwakia kwa kumuangalia tuu.... ila mwisho ikawa hivyo.

Sisi tukasepaa.
Matatizo ya akili is real
 
Yes, sijaku attack na ni vema tukarejea kwenye convo ilipoanzia pale nilipokukwoti na kukuelewesha kua na positive mind badala ya negative mind, huko ndipo yalianzia lakini nilikutaka radhi kama ulihisi umekua attacked sijajua kwanini umelileta tena,
[emoji38]
Ahaa kule ndio kuna chanzo
Hii ndio comment niliyo i quote na wewe ndio ukaiingilia

"hakuna ata mmoja wenu alijaribu kufahamu anasumbuliwa na nini hadi yeye kufanya au kujibu hivyo.

Ukute kuna tatizo binafsi limenfanya asafiri. Umeishia kuhukumu tuu mkuu"

Mimi nika mjibu

"mtoa mada kama sikosei kaandika ya kua ali note kupitia mawasiliano yake kabla, ya kua ana matatizo ndio maana akajiwa na nia ya kumsaidia na kweli alisaidia kwa mawazo lakini pia kukaa kimya, nampongeza kwa utulivu, mwingine angemkaba koo..... oohoooo"

Kumbe mimi nilimquote huyu sbb alikua kama amemlaumu mtoa mada,

Jee wewe ulini quote kwa sbb ganii?
 
Ulitaka afanye nini akiwa nje wakati wabaya wake aliwaacha kwenye gari?
Na hapo hatujui kwenye hilo bus lingine nini kilitokea ama kuna muendelezo wake?
Pesa alipokea ndani ya gari na kuanzia pale akaa kimya, kumbuka alikua alikua ana react kwa kila kile.., iweje tuu achukue watoto akae kimya baada ya pesa?
 
Back
Top Bottom