Wanawake wanamidomo michafu sana

Wanawake wanamidomo michafu sana

Pole sana...

Wanaume tumejaliwa nguvu lakini ushawishi waaneno ya kujibizana sifuri... Kwenye ugomvi wa mwanaume maneno ni machache sana vitendo zaidi...


Wanawake wamenyimwa nguvu, ila wamebarikiwa maneno ya kujibizana... Kwenye ugomvi wa mwanamke, maneno zaidi vitendo sifuri...


Cc: mahondaw
 
Unaongea usioyajua.

Mara sijui Mama, sijui blah blah!

Hapa anayezungumziwa ni Mwanamke haijalishi yupo katika nafasi gani.
Sijui Mama, sijui Bibi au Shangazi haiwaondolei uanamke wao.

Pia zipo Sifa mbaya za wanaume kama Ubabe, au uchepukaji. Haijalishi ni Babaangu au Ankoo haiondoi uanaume wao.

Kwa vile ni Mama au ni Baba akiwa na mapungufu ndio tukae kimya.

Zama hizo zilipita Mkuu.
Uko sahihi sanaaa mkuu!!!!!
 
Ulipaswa useme "baadhi ya wanawake" sio Wanawake.

Kwasababu kuna wanawake wamefunzwa vizuri adabu kwao na hana uhusiano na mashost wa kiswahili.

Ukimzingua anaishia kulia.
 
Napata ukakasi wa kung'amua akili ya wanawake ilivyoumbwa,usiombee siku moja ujichanganye kwenye kumi na nane za hawa watu wakiwa wamechafuka nyongo zao,hakika utajuta kuwepo kwenye huu ulimwengu.
Maneno yatokayo kwenye vinywa vyao hayafahi kunukuliwa,ni matusi makali ambapo ukitupiwa moja tu unaweza kujikuta upo kwenye wodi za agakhan bila kujitambua
Pole sana kwa yaliyokukuta weekend tamu tamu kiasi hiki.....!!!
 
Ila kuna mda pia jmn mwanume anakukwaza hadi unahisi kupasuka na hata maneno yanapotokea hapajulikani[emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56]
 
Pole sana kwa yaliyokukuta weekend tamu tamu kiasi hiki.....!!!
Kuanzia leo wanawake wenye sifa hiz ndizo wenye midomo michafu, hawanachura,wembamba,wanapenda kusuka rasta,mashav yao yameingia ndani na ole wako umkute amevaa kisuruali na ka-khang amefungia kwa juu siku hiyo utakiona cha mtema kuni
 
Pole sana...

Wanaume tumejaliwa nguvu lakini ushawishi waaneno ya kujibizana sifuri... Kwenye ugomvi wa mwanaume maneno ni machache sana vitendo zaidi...


Wanawake wamenyimwa nguvu, ila wamebarikiwa maneno ya kujibizana... Kwenye ugomvi wa mwanamke, maneno zaidi vitendo sifuri...


Cc: mahondaw

Tehtehteh sikuhizi nimeokoka love Sinaga maneno mkeo
 
Ulipaswa useme "baadhi ya wanawake" sio Wanawake.

Kwasababu kuna wanawake wamefunzwa vizuri adabu kwao na hana uhusiano na mashost wa kiswahili.

Ukimzingua anaishia kulia.

sure
 
Baadhi yao wana midomo sana

Ila kupiga Mwanamke ni dhambi.
 
Back
Top Bottom