Wanawake Wananichosha Hapa Tu..!!

Wanawake Wananichosha Hapa Tu..!!

Ukitaka kujua mkeo hakupendi mtanie Mwambie siku ukifa yeye atarithi kila kitu na pesa iliyoko Benki... Hata km huna pesa benki. Akitabasamu kwa kauli yako hiyo ujue huna mke hapo na akisikitika ujue anakupenda sana hataki akupoteze
bingo[emoji122]
 
Ukitaka kujua mkeo hakupendi mtanie Mwambie siku ukifa yeye atarithi kila kitu na pesa iliyoko Benki... Hata km huna pesa benki. Akitabasamu kwa kauli yako hiyo ujue huna mke hapo na akisikitika ujue anakupenda sana hataki akupoteze
Mie siombi afe ili nirithi.., ila namuombea uzima aendelee kuzitafuta ziendelee kuwepo za kutosheleza matumizi bila kujibana
 
Kuna watoto wajingawajinga kama wanne iv sisomagi nyuz zao ukiwepo wewe maana mmejaa ujinga na matope kichwani
 
Kuna Madem ni shidaaa Msione wanasali makanisani
kwa Kulia hadi makamasi mkajua wanaombea Nchi
yetu isiingie Vitani,au wanaombea Mayatima,Kuna
Madem wanalia na
kulia na Mengi,Wengine wanaomba Waume Zao
wafe ili Warithi Nyumba..Huwa Nikiwaza Kuoa natetemeka mpaka najisikia kunena kwa Lugha
RikababantarikatakayasatahabatarekisataraKANT
ANGAZEshataayahma
MUNGU SAIDIA KIZAZI HIKI!
umaezidisha sasa,hakuna mwanamke wa kulia kukuombea ufe ili arithi nyumba,labda umeoa shetani ukafananisha na binadamu
 
Back
Top Bottom