Wanawake wananigombania, nisaidieni kutoka katika hili. Nimejitahidi, nimeshindwa

Nakumbuka nikiwa mdogo kabisa na nikiwa sijui chochote, kuna Binti wa F4 alinilazinisha nilale naye, alipoona Sina mwitikio alibadili mawazo badala yake akaanza kutumia vidole vyangu kujiridhisha.
🤣Nachoka mimi😥😥
 
Mkuu Mimi nikifungua mdomo tu Kila demu anasema Mimi mtu mwema sana, sijui kwanini.
Neno Moja tu linalegeza vyupi vyao
 
Waambie kwanza mods wakubadilishie taito isomeke ''Wauza sukari wananigombania, nisaidieni..." kisha ndipo tukushauri sasa bwa'mdogo. 😎

-Kaveli-
 
Sio UTI tu, ni UTI sugu ambayo mpaka wadunge power safe za kutosha
😀Eeh bana power safe ni kikombe kigumu sana kukiepuka kwa hivi vitoto vya buku 2! Nilijichanganya mahali ikabidi nianze kudungwa maana nilihisi kama figo zimeanza kufeli. Vichomi vya ajabu chini ya mbavu alma nusura niandike wosia kabisa nikaambiwa kijana cheza na jaba la maji kila baada ya sindano kupigwa.🤣
 
UTI ya watoto wa 2000 ni noma hiyo mpaka upone cha moto unakua umekiona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…