R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,178
Kote kuna "risk" za uso zipo ila uhalisia haujifichi, Kwenye vicoba kuna "Uwezekano / probability" kubwa kuzidi betting
Betting ni janga kubwa sana hapa nchini kwa wanaume, watu wanakula sana za uso hadi huruma, lakini ndio wanazama kabisa uraibu inakuwa ngumu kuacha kama ilivyo ulevi wa pombe ama uvutaji wa sigara, mtu anaweza kubeti mwaka mzima milioni lakini ni siku moja ama mbili tu kaotea elf 80 atajiona mwamba mpaka basi. Wengi huwa wanadanganya wanashinda ila uhalisia wanakula sana za vichwa, inabidi wadanganye tu ili kuondokana na aibu,
Tukija kwa wanawake nao kuna michezo yao huwa wanacheza na vicobba, na huku wapo wanaokula za uso ila kuna nafuu maana huwa ni kawaida kuona kuna wanaonufaika na kufanya maendeleo, ni kawaida kuona wanawake wa huku wananunua kiwanja, mashamba, magari, kuoata mitaji, n.k. wala si habari za kustukiza kama ilivyo kwenye kubeti.
Je ni Muda umefika kwa wanaume kukubaliana na uhalisia kwamba waachane na betting wahamie vicoba ?
Betting ni janga kubwa sana hapa nchini kwa wanaume, watu wanakula sana za uso hadi huruma, lakini ndio wanazama kabisa uraibu inakuwa ngumu kuacha kama ilivyo ulevi wa pombe ama uvutaji wa sigara, mtu anaweza kubeti mwaka mzima milioni lakini ni siku moja ama mbili tu kaotea elf 80 atajiona mwamba mpaka basi. Wengi huwa wanadanganya wanashinda ila uhalisia wanakula sana za vichwa, inabidi wadanganye tu ili kuondokana na aibu,
Tukija kwa wanawake nao kuna michezo yao huwa wanacheza na vicobba, na huku wapo wanaokula za uso ila kuna nafuu maana huwa ni kawaida kuona kuna wanaonufaika na kufanya maendeleo, ni kawaida kuona wanawake wa huku wananunua kiwanja, mashamba, magari, kuoata mitaji, n.k. wala si habari za kustukiza kama ilivyo kwenye kubeti.
Je ni Muda umefika kwa wanaume kukubaliana na uhalisia kwamba waachane na betting wahamie vicoba ?