Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Ahna nimeonaHujaona mistari mama[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahna nimeonaHujaona mistari mama[emoji848]
Sawa kama unakijana wako wa 30 nipe Mimi Sasa 😀😀Hao wa 35+ tuachieni sie, tunaijua thamani yao. Huwa nasema, huwezi kuelewa kama huna experience, the older they get, the sweeter they become.
Kijana Machachari sana huyoo lakini namuonea huruma coz anajitengenezea depression tu 😂😂😅😅Dah😅😅
😅Unamchokoza eehKijana Machachari sana huyoo lakini namuonea huruma coz anajitengenezea depression tu 😂😂😅😅
Mimi atanichukia becoz of You. But ni Kijana poa sana na wish one day kumuona 😂😂😂😂Mimi sinuniwi atacheka mwenyew tu 😂😂😂
Usichochee moto hebu mpetipeti basi apate faraja 😅😅Unamchokoza eeh
Utakuwa unawaringia sana vijana wa 30 wewe!!Sawa kama unakijana wako wa 30 nipe Mimi Sasa 😀😀
Nitafanyaje Sasa, na mmeamua kunikaba Koo🤒.Dah😅😅
Kijana kesho naenda CCBRTsitaingia JF kwa muda mrefu. Nikuache Ujidai kidogo 🤣🤣😂😂Nitafanyaje Sasa, na mmeamua kunikaba Koo🤒.
Mtoto wa mtu akijitoa kwangu namganda kama wengine siwaoni vile. Hisia za Mwanamke sio za kucheza nazo kabisa,hawakawii kupata magonjwa ya akili hawa kisha kudevelop tabia za ajabu ajabu[emoji3]Ila sio siri huwa wanatia huruma sana akikuona una mwelekeo yaani anajitahidi kukuonyesha upendo, asikukwaze na anakupea yote usimkimbie
Mimi naamini wengi wanaowaoa hawa wa 30+ pamoja na wale wa 30+ na singo maza huwa wanawaoa kwa kuwaonea huruma
Kama ulimuahidi ndoa halafu ukamuacha huwa inauma sana ukiona jinsi alijitoa kwako
Huu upanga 😁😁, Kuna Watu Wana maneno kushinda ukali wake🤣😂
Una umwa macho🤔, itakuwa kibomu changu kime fanya kazi😂🤣.Kijana kesho naenda CCBRTsitaingia JF kwa muda mrefu. Nikuache Ujidai kidogo 🤣🤣😂😂
Hahahaaa mtata sana wewe kyutkyut[emoji3590][emoji3590][emoji3590]Sitaki bwana mfupi km kikombe cha kahawa
Ana kitambi km jeneza la mtoto
Bichwa kubwa km debe la unga la UN
Vidole vibaya km tangawizi
Akicheka sauti km radi la sumbawanga
Sura imegwaduka km avatar ya NALIA NGWENA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi situmi vocha natuma vifurushi tu chagua kifurushi unachotaka nilipie.[emoji817][emoji817]Afu wewe nimekuona pm tuma vocha nikujibu msg yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nawaheshimu wanaume sana, binafsi maringo yameniponza kwaio huaga simlaumu mtu hata, wapo wanaume wazuri na wapambanaji niliwaumiza sababu ya maringo, Kuna umri jamani acheni tuuu, ni maombi ya wazazi na kumjua Mungu sana,na busara itumike....
Hua nashukuru kwa baraka chache nilizopata maishani, naombaga Toba kwa wale wanaume waliomaanisha kwangu na nikawaumiza, I hope wapo na furaha, nami napambana kutafuta furaha yangu....mekosa ndoa ila naamini vipo vingi vya kunipa furaha...am happy, am blessed ...
Hongera kwa hii mada, mabinti mjifunze....
Usikute tamaa bidada who knows?Nawaheshimu wanaume sana, binafsi maringo yameniponza kwaio huaga simlaumu mtu hata, wapo wanaume wazuri na wapambanaji niliwaumiza sababu ya maringo, Kuna umri jamani acheni tuuu, ni maombi ya wazazi na kumjua Mungu sana,na busara itumike....
Hua nashukuru kwa baraka chache nilizopata maishani, naombaga Toba kwa wale wanaume waliomaanisha kwangu na nikawaumiza, I hope wapo na furaha, nami napambana kutafuta furaha yangu....mekosa ndoa ila naamini vipo vingi vya kunipa furaha...am happy, am blessed ...
Hongera kwa hii mada, mabinti mjifunze....