Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Jamii ya Kitanzania ni ya kinafiki mno

Karibu 100% ya wapumbavu humu wanafanya ushoga according to their comments herein

Cha ajabu ukiwakuta kwenye threads za siasa na USA/Russia yanapanua madomo yao eti yanapinga ushoga kumbe manafiki matupu

Kama jamii tuna unafiki kiwango cha lami...

Ndio maana Tundu Lissu watu wanamkubali sana kama statesman wa nchi....anasema "kama wanadamu hatujui wala hatuna haki ya kufatili kinachoendelea vyumbani mwa watu kati ya wanadamu wawili watu wazima wanachofanya"

Cha ajabu ukikutana na taahira kama Mzabzab kwenye thread za CCM huko anatanua meno "kama nchi hatutaki mashoga" ..."kama nchi tuue mashoga wote" na kumbe lenyewe shoga namba moja
 

Mbona hili jambo kama linakusumbua akili sana? wamekuingilia au mkeo kasharukiwa dirisha??…
maisha magumu lete idea za ela ww
 
Basi kama ni hivyo simamia kutangaza injili sio kusimamia kuongelea dhambi ambayo haitaokoa watu
wafundishe watu umuhimu wa mungu kumtii na kumfuata nakujua kanuni zake alishajua yeye binafsi atajua asimame katika msingi gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…