Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Piga chini kama huna ndoa kma una ndoa jipange kunyang'anywa kila kitu, yani ukiwa na ndoa kesi inageuzwa ww ndo ulitaka kinyume ili akufilisi , kijana kataa ndoa ili kesi kama hizi uzimalize kibingwa.
Anaanzaje kukufilisi ilhali mali zina majina yako? Wewe utakuwaje bwege mpaka ajue investment zako zote?
 
Mtu yeyote anayefanywa nyuma anavunja sheria za asili na za Kimungu.

Mwanaume anayefanywa nyuma na mwanamke anayefanywa kinyume nyume wote ni walewale, yaani wote ni mashoga.

Kama mwanaume na akili zako timamu unaweza kumfanya mwanamke kinyume na maumbile usiwadharau mashoga wa kiume, hao pia ni wake zako.

Jamii inapokemea mashoga isibebe picha za wafanyaji kinyume na maumbile wanaume tu, wapo wanawake pia tena ni maelfu kwa maelfu nao wakemewe ikiwezekana watengwe.

Sheria za Tanzania mapenzi kinyume na maumbile ni mwiko kwa jinsia zote.

Na ndoa yoyote inakuwa batili pindi tu wanandoa wanapofanya kinyume na maumbile.
Hata kumwomba mke wako makalio hapo tayari ndoa imekuwa haramu, au mke wako akikuomba umfanye matakoni pia hapo mwanaume una haki ya kuvunja ndoa.
Kiukweli cha kusema ni kwamba hauwez kumuxhukulu kuwa mtu ni shoga hàta kàma utajua hautakuwa na ushaid wa kutoshà kwahyo kikubwa ni kuwashauli ambao hawajaanza hiyo tabia wasijalibu na wasiige tabia za wenzetu
 
Mtu yeyote anayefanywa nyuma anavunja sheria za asili na za Kimungu.

Mwanaume anayefanywa nyuma na mwanamke anayefanywa kinyume nyume wote ni walewale, yaani wote ni mashoga.

Kama mwanaume na akili zako timamu unaweza kumfanya mwanamke kinyume na maumbile usiwadharau mashoga wa kiume, hao pia ni wake zako.

Jamii inapokemea mashoga isibebe picha za wafanyaji kinyume na maumbile wanaume tu, wapo wanawake pia tena ni maelfu kwa maelfu nao wakemewe ikiwezekana watengwe.

Sheria za Tanzania mapenzi kinyume na maumbile ni mwiko kwa jinsia zote.

Na ndoa yoyote inakuwa batili pindi tu wanandoa wanapofanya kinyume na maumbile.
Hata kumwomba mke wako makalio hapo tayari ndoa imekuwa haramu, au mke wako akikuomba umfanye matakoni pia hapo mwanaume una haki ya kuvunja ndoa.
Na wale wanaume lijali wanaowaingilia mashoga yaani mabasha si ndio chimbuko la shida yote ya ushoga? Ukweli mtu hazaliwi shoga ila akiwa mtoto au kijana mchanga anapata bahati mbaya kuingiliwa na hawa wafiraji. Wakisha mzoesha basi mtoto au kijana kashaharibiwa.
Naona jamii iangaze macho kwa hawa mabasha na kuwabaini ili watupwe jela mahali wanastahili kuwepo. Vinginevyo watoto na vijana wako hatarini.
 
Na wale wanaume lijali wanaowaingilia mashoga yaani mabasha si ndio chimbuko la shida yote ya ushoga? Ukweli mtu hazaliwi shoga ila akiwa mtoto au kijana mchanga anapata bahati mbaya kuingiliwa na hawa wafiraji. Wakisha mzoesha basi mtoto au kijana kashaharibiwa.
Naona jamii iangaze macho kwa hawa mabasha na kuwabaini ili watupwe jela mahali wanastahili kuwepo. Vinginevyo watoto na vijana wako hatarini.
Kila siku nasemaga Mabasha ndo wakamatwe, hawa ndo wanaharibu jamii, wanaachwa ndo wansazidi kuongeza wigo wa ushoga.
 
Back
Top Bottom