UongoDaaah ila ukimfira ke ni sawa tu unazini na me mwenzako. Mikundu ni sawa yote.
KabisaDuh, hao mabasha waongo, waache kufananisha tigo za wadada na vitu vya kipumbavu cocastic
kwa style hii kansa ya kizazi na ya tezi dume vitaongezeka kwa kasi. Wale mnaofira ama kufirwa kuchueni muda mwenda pale Ocen Road Cancer institute mkajionee wenyewe, fanya ujinga leo ila fainali ni uzeeni kuanzia miaka 60+ utatesa ndugu kwa kukuuguza.
Huko nyuma kuna bakteria wengi mno maana ni sehemu ya kinyesi, sasa unavyokwenda kuwatifua tifua kama wewe ni mwanaume wanakuingia na kuanza maisha yao ndani yako, kama wewe ni mwanamke jamaa atatifua tifua mbele kisha nyuma, sasa mbele maambukizi ya mlango wa kizazi yanakuhusu majibu utayapata baada ya miaka 50+ utasumbua wanao kwa matibabu.
acha watu wale rahaMtu yeyote anayefanywa nyuma anavunja sheria za asili na za Kimungu.
Mwanaume anayefanywa nyuma na mwanamke anayefanywa kinyume nyume wote ni walewale, yaani wote ni mashoga.
Kama mwanaume na akili zako timamu unaweza kumfanya mwanamke kinyume na maumbile usiwadharau mashoga wa kiume, hao pia ni wake zako.
Jamii inapokemea mashoga isibebe picha za wafanyaji kinyume na maumbile wanaume tu, wapo wanawake pia tena ni maelfu kwa maelfu nao wakemewe ikiwezekana watengwe.
Sheria za Tanzania mapenzi kinyume na maumbile ni mwiko kwa jinsia zote.
Na ndoa yoyote inakuwa batili pindi tu wanandoa wanapofanya kinyume na maumbile.
Hata kumwomba mke wako makalio hapo tayari ndoa imekuwa haramu, au mke wako akikuomba umfanye matakoni pia hapo mwanaume una haki ya kuvunja ndoa.
100%Wako ni mtamu kiasi gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee si utuliee hukoo.Acha kulinganisha mknd wa Mwanamke na mambo ya kipuuzi.
Uongo mtupuuuu.kwa style hii kansa ya kizazi na ya tezi dume vitaongezeka kwa kasi. Wale mnaofira ama kufirwa kuchueni muda mwenda pale Ocen Road Cancer institute mkajionee wenyewe, fanya ujinga leo ila fainali ni uzeeni kuanzia miaka 60+ utatesa ndugu kwa kukuuguza.
Huko nyuma kuna bakteria wengi mno maana ni sehemu ya kinyesi, sasa unavyokwenda kuwatifua tifua kama wewe ni mwanaume wanakuingia na kuanza maisha yao ndani yako, kama wewe ni mwanamke jamaa atatifua tifua mbele kisha nyuma, sasa mbele maambukizi ya mlango wa kizazi yanakuhusu majibu utayapata baada ya miaka 50+ utasumbua wanao kwa matibabu.
Unamjua jamaa CocaKumbe ndivyo wanavyokusifia hivyo wakikuinamisha, mtoto wa kiume unaigiza ukike ili iweje?
Namjua, ni dume lililoasi.Unamjua jamaa Coca
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu waeleze vizuri wakueleweee.Namjua, ni dume lililoasi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] soWewe usha kua sikio la kufa
Mada hizi ndizo maboss wa JF wanazipenda.Mbona hizi maada za nyuma nyuma zimekuwa nyingi Sana hiki kipindi.
Kwani nyie x mmeanza kuangalia lini? Anal ipo tokea enzi za sodoma mpk enzi za watimoteo.
Mpaka enzi za wagalatia,mpk enzi za yohana, mpk enzi za tigo mpk enzi za google.
Hakuna jipya NI wewe kuamua tu usijaribu visivyojaribika ila kiuhalisia nahisi watu wengi Sana washaonjana huko NI Basi TU chumba kinaficha mengi.
Mimi mwenyewe nikikiri hapa sijawahi kula tigo najua watu watabisha tu
Sasa procedure zote hizo za nn? It means it's not a normal thing, mbona kwenye uke hakuna procedure zote hizo why? Anal it's not meant for sex, thats simple reality
Tusijitoe ufahamu tukawashinda uhayawani hata wanyama
Vijana wa sodomamunajitahidi kijiteteaKwa taarifa yako, ukeni kama kuna magonjwa unapata bila kufanya maandalizi, hauko salama, tofauti ni kuwa ukeni kuna natural lubricant.. Ila vingine kama magonjwa bila kinga unapata kama kwenye anal..
So you are not safe ikiwa kuna mmoja ni mgonjwa na hakuna kinga.