Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

kwa style hii kansa ya kizazi na ya tezi dume vitaongezeka kwa kasi. Wale mnaofira ama kufirwa kuchueni muda mwenda pale Ocen Road Cancer institute mkajionee wenyewe, fanya ujinga leo ila fainali ni uzeeni kuanzia miaka 60+ utatesa ndugu kwa kukuuguza.

Huko nyuma kuna bakteria wengi mno maana ni sehemu ya kinyesi, sasa unavyokwenda kuwatifua tifua kama wewe ni mwanaume wanakuingia na kuanza maisha yao ndani yako, kama wewe ni mwanamke jamaa atatifua tifua mbele kisha nyuma, sasa mbele maambukizi ya mlango wa kizazi yanakuhusu majibu utayapata baada ya miaka 50+ utasumbua wanao kwa matibabu.
 

Miaka yote 60 y nn?
 
acha watu wale raha
 
Acha kulinganisha mknd wa Mwanamke na mambo ya kipuuzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee si utuliee hukoo.
Km umepankck vile vipi, hupati utamuu unako kulagaa.

Poleeeeeeh.
 
Uongo mtupuuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mada hizi ndizo maboss wa JF wanazipenda.
 
Sasa procedure zote hizo za nn? It means it's not a normal thing, mbona kwenye uke hakuna procedure zote hizo why? Anal it's not meant for sex, thats simple reality
Tusijitoe ufahamu tukawashinda uhayawani hata wanyama

Kwa taarifa yako, ukeni kama kuna magonjwa unapata bila kufanya maandalizi, hauko salama, tofauti ni kuwa ukeni kuna natural lubricant.. Ila vingine kama magonjwa bila kinga unapata kama kwenye anal..

So you are not safe ikiwa kuna mmoja ni mgonjwa na hakuna kinga.
 
Vijana wa sodomamunajitahidi kijitetea
Kiufupi sehemu ya uke ndio kwa ajili ya sex kwa mafundisho ya dini hata ukija kisayansi uke ndio unafaa kwa sex sio kinyume na maumbile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…