Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Achana na upromoter please
 
Dunia Ina mambo mengi sanaa duuu.....
 
NDIO tumejua Sasa...acha mara Moja huo usodoma na gomora mara Moja.....
 
Mnaona imekaa poa kbs kulana mitaro
 
Wewe na huyo rafiki yako ni wapumbavu. Kama bado wanafunzi kwanini mnaendekeza huo ushenzi? Halafu inawezekanaje ufanye mapenzi kisha uende kusimulia? Ndo maana vijana wengi mnaingia kwenye ushoga kirahisi.
 
Wewe na huyo rafiki yako ni wapumbavu. Kama bado wanafunzi kwanini mnaendekeza huo ushenzi? Halafu inawezekanaje ufanye mapenzi kisha uende kusimulia? Ndo maana vijana wengi mnaingia kwenye ushoga kirahisi.
Ni baada ya kukutana na jambo ambalo ni geni akaniambia Mimi kaka yake😃 usijifanye uko matured kwenye kila kitu boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…