Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile ni mashoga waliosahaulika

Sisi tumeshajua
 
Tamaa wanawake zinawaponza.
 
His people are perishing due to lack of wisdom n knowledge

By the way ukisharuhusu pleassure za mapenzi zikukontro haya ndo matokeo yake

Pole yao sana wanafanya hizi gabia wanapitia mengi mno, pole yao sana MUNGU awaokoe na kuwafanyia wepesi

Wote ruseme Ameni
 
hahaha hii kaliii!
 
Ntakutana nao na shoo ya kwanza huwa nataka dog style ya kuwakunja akikataa naghaili namwambia basi hunipendi haina haja na game naishia hapo hata akibembeleza nakagoma, namtoa naita pisi ingine sitaki ujinga nakagua kabisa kwa macho ya darubini kali
Eti hunipendi

I just pray, MUNGU awape wanawake mioyo migumu to the extent wakikutana na watu wa type yake wa move on upesi sana

Maana wanaowaingilia walianza na ile 'Kama unanipenda' na wao walivo foolish waka sacrifie their all to nyie wajinga

When will GOD help my fellow jamani 😒😒😒😒😒
 
Na Bado hatujajua, hujasema popote
 
Hakika hili swala , nilimsikiliza BINT MALKIZ alichoeleza ni kitu makini sana.

Yeye katengwa na jamii yake sababu ya U TOMBOY!! na katengwa zaidi baada ya kuingia KANISANI.

LKN yy hana chuki na familia yake anasema amewasamehe sababu WAMEKOSA ELIMU.

Na anasisitiza jamii yetu inakosa ELIMU. Anaomba serikali izidishe mkazo kwa jamii juu ya hii Elimu ya mafunzo ya familia.

Anasema wapo watu wanafanya matendo ya ushoga kwa TAMAA zao za KIMAISHA kupenda slope.

Lkn wapo ambao wameharibiwa wakiwa WATOTO hawajui chochote , hawa ni kuzidi kuwaunga UKUBWANI kwa matendo ya USHOGA.

Hii DUNIA kama kungetokea MASHOGA wakusanywe na kila shoga aeleze kwa ukweli na dhati ya moyo wake. ALIFIKAJE katika hali hiyo.

Wako watu ambao wananyazifa kubwa, wanaheshimika na jamii, viongozi wa dini, wazazi bora, Matajiri wakubwa, wafanyabishara wakubwa, wasanii wakubwa.

Tungewapiga MAWE kwa uchafu waliofanya mpaka leo tunalalamika juu ya hali hii ya ushoga na mambo yanayofanana na HAYO.

VIBINTI vidogo vinalawitiwa na viongozi wetu. Wazee wamechoka pesa inawatuma na kushawishi kuharibu mabinti MARINDA YAO.

MASHOGA wahojiwe HADHARANI majina ya waliowaanzishaa na wateja wao , jamii ITAPASUKA .

MVUA itanyesha , radi zitapiga pasina msimu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…