Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Yoyote anayetangaza biashara ni mdau wa hiyo biashara japo kuna wanaofanya biashara bila matangazo.aah jamani watu wasi twerk kwa raha zao khaaa unaweza kuta anaevaa sketi za marinda anainama hata hachezi ndo ameoza huko nyuma 😅😅hizi mambo hazinaga formula
Huwezi rusha rusha makalio kwamba unawaburudisha wasioyatumia.